PICHA: Wabunge wakishiriki shindano la kula kwenye Bunge Bonanza 2025

Hawamu hii ya 6 itakumbukwa kuwa na viongozi wajinga kuwahi kutokea Tz
 
Watu wa hovyo sana hawa usikute walipomaliza kushindana ulafi wakaanza na mashindano ya kujamba
 
Wakimaliza hapo wanarudi kwenye mashindano ya kila siku ya uchawa na kula Kodi za wananchi🐼
 
Mzee Hashim akileta sera yake ya ubwabwa hawataki kumuunga mkono.kumbe ubwabwa wanaupenda
 
Tanzania neno wabunge kwa sasa ni sawa na kusema vilaza!
Wabunge = Vilaza
 
Mama atakuja kuwajibu hapa... Wabunge wana haki ya kurefresh mind sio bunge na hoja plus kupuga meza tu πŸ˜…
 
Nchi hiii!!!!!!!!!
Bungenu kuna kundi la wapumbavu wanaoitwa wawakilishi wa wananchi.
Sasa hayo mambo kweli relevance yake ni nini?
Huwez kuta ushenzi kama huo kwenye Congress au Dumas
Na ndiyo wamejazwaaa huko na wanataka kumuongeza manara huko bunge lizidi kuwa la lopolopooo

Ova
 
Na hii ni habari ya kujadili kweli?
 
Eeeh, hii ni AIBU ya dunia aiseeh , wabunge wa kujadili taabu za wapiga kura !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…