Alimgalagaza Mzee Wassira KESI ya Uchaguzi dhidi ya Bulaya 2015 πHv jamaa bado anaendaga makamani? Mm ninacho fahamu pamoja na maigizo mengi ya serikali kuu ila mahakama huwa inamuelewa sana tundu lissu.
Picha ni ya zamani, sasa hivi Lissu mvi zishaanza kumtokaIla Lissu ana hekaheka jamani!!
Hivi ameshakua stable kiasi cha kuweza kuhandle hizo purukushani???
Cc Smart911