Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Jina lako linasadifu na ulichokiandika🤣🤣🤣Ni sahihi. Serikali iruhusu na irahisishe upatikanaji wa Silaha kwetu wananchi ili tuanze kujilinda wenyewe.
Naambiwa zilirushwa mingu za maana hawakuamini na ule ubonge wake kifoo akirudi tenaBoni alipambana sana, mpaka qakaomba back up ya Askari wenye sare.
Safi sn, kwanini hawataki kuvaa uniform kama wana nia njema?View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Hao inawezekana sio askari. Wawahoji vizuri na ikiwezekana wawakamate na kuwapeleka hapo centre wakawashtaki na wasiachiwe mpaka mkuu wa kituo cha polisi Magomeni apige simu kutoa maelezo. Na aeleze ni kwanini amevuka himaya yake ya kazi na kwenda kumkamata mtu katima himaya ya wengine.Hiliswali ndio nilitaka kuuliza hata amm wasingentoa
Safi sana, yaani sasa hivi wananchi wenyewe tufanye kazi ya kujirinda . Hao polisi wamechaguwa kuwa walinzi wa CCM na serikali yake .View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Aisee inashangaza sana.Bongo mambo ni shagala baghala taratibu zipo lakini hazifuatwi.
Ndio vibaka wa CCM hao jamani tuwakatae na kuwafukuza!View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Wakichomwa wawili ..watatu sikumoja hizi mambo ndio zitakuww mwisho wake ...Hao inawezekana sio askari. Wawahoji vizuri na ikiwezekana wawakamate na kuwapeleka hapo centre wakawashtaki na wasiachiwe mpaka mkuu wa kituo cha polisi Magomeni apige simu kutoa maelezo. Na aeleze ni kwanini amevuka himaya yake ya kazi na kwenda kumkamata mtu katima himaya ya wengine.
Alikuwa anapambana pekee yake wananchi wako pembeni wanatazama tu! Ilipaswa atleast hata wangekuwa wanarekodi na simu zao kichukua ushahidiBoni alipambana sana, mpaka qakaomba back up ya Askari wenye sare.
Utaratibu wa ukamataji ukifuatwa vizuri tutaepusha hofu na wasiwasi kwa wananchi, na siyo tu mtu kujivalia kiraia na bila kufuata utaratibu anakwenda tu kukamata watu na kuwapoteza na hatuna namna ya kuwa'trace' au hata kum'trace' mwenyewe.Safi sana! This is the way to make systems work.
Nyie furahieni hiyo hali tu, mtakuja kupatwa maswaibu ya kucharangwa na mwizi halafu unamkuta sehemu unamuomba askari akukamatie atakataa uone tutakuwa tunaishije!View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Polisi wanaaminika kwa wana CCM tu....raia mwenye akili timamu hawezi kumuamini polisiView attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Mhu! Yaani askari atoke kituo cha Buguruni aje kukamata mtu Kariakoo? Inawezekanaje, wakati Kariakoo kuna kituo kikubwa cha polisi? Mbona inatia mashaka, labda kama sheria ya ukamataji imenipita.View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Tunamtegemea Mungu tu, Askari hawajawahi kua Msaada kwetu zaidi ya kututeka na kuua.Nyie furahieni hiyo hali tu, mtakuja kupatwa maswaibu ya kucharangwa na mwizi halafu unamkuta sehemu unamuomba askari akukamatie atakataa uone tutakuwa tunaishije!