Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Asante Sana SanaPolisi aliejitambulisha wa kituo cha Magomeni wamefika Kariakoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi, RB namba hawana wananchi wamegoma Askari kuodoka na mtuhumiwa huyo
Katika picha hizi mtu aliyevaa Kofia ndiye Askari na mwenzake ni huyo mweupe aliye simama ukutani.
Hiyo ni kawaida kwa kazi za polisi hasa wapelelezi au askari kanzuHao inawezekana sio askari. Wawahoji vizuri na ikiwezekana wawakamate na kuwapeleka hapo centre wakawashtaki na wasiachiwe mpaka mkuu wa kituo cha polisi Magomeni apige simu kutoa maelezo. Na aeleze ni kwanini amevuka himaya yake ya kazi na kwenda kumkamata mtu katima himaya ya wengine.
Waliokamatwa hawana shida ila raia waliowazunguka labda washitakiwe hao.Hao wafunguliwe kesi ya kukataa kutii amri halali ya polisi na kuzuia polisi wasifanye kazi yao
Uniform haitoshiWavae uniform, kama sheria zinaruhus bas warekebishe wakamataji wawe na uniform na vitambulisho vya wazi.
Kwani lini kifo hakijawa kifo?Safi sana, baada ya kumsikia amiri jeshi mkuu akiwapa kichwa askari wake waendelee na matendo yao ya kupoteza na kuua watu huku akikazia kuwa "Kifo ni Kifo tu", naona sasa raia wameamua kujilinda.
Polisi wameyaanzisha wenyewe. Tunakoelekea wataanza kudhuriwa.Haya mambo yapatiwe ufumbuzi Ili pasiwepo hofu katika Kukamata na Kukamatwa
Hiyo ni kawaida kwa kazi za polisi hasa wapelelezi au askari kanzu
Halafu mnawapa taarifa wawape ulinzi au ndiyo "mpe mchawi akulelee mwanao"?Polisi wameyaanzisha wenyewe. Tunakoelekea wataanza kudhuriwa.
Btw, unasimamiaje utii wa sheria kwa kuvunja sheria?
Asante Sana SanaPolisi aliejitambulisha wa kituo cha Magomeni wamefika Kariakoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi, RB namba hawana wananchi wamegoma Askari kuodoka na mtuhumiwa huyo
Katika picha hizi mtu aliyevaa Kofia ndiye Askari na mwenzake ni huyo mweupe aliye simama ukutani.
Mavi mama yako mzazi na mk...n.d wa mama yako.Wewe ni mpumbavu hao vibaka wakijiita polisi wanafanya kazi bure ? ,
Yaani wanayoyafanya wewe unaona ni sawa si ndio ?
Mavi kabisa wewe
Si ndio maana wanateka na kuua na hamuwajui ..... sasa wananchi wanataka wajulikane ama laah waache kuteka na kuua..askari kanzu / mpelelezi hatakiwi kujulikana wakati wowote ule ktk majukumu yake.
..akianza kubeba bunduki na kutembea na pingu dhana nzima ya uaskari kanzu inakuwa imepoteza maana.
Polisi wameyaanzisha wenyewe. Tunakoelekea wataanza kudhuriwa.
Btw, unasimamiaje utii wa sheria kwa kuvunja sheria?
Wanatakiwa kujitasmini kazi imeshawawea ngumu aisee.Polisi aliejitambulisha wa kituo cha Magomeni wamefika Kariakoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi, RB namba hawana wananchi wamegoma Askari kuodoka na mtuhumiwa huyo
Katika picha hizi mtu aliyevaa Kofia ndiye Askari na mwenzake ni huyo mweupe aliye simama ukutani.
Si wange watekenya kidgo. WakalainikaPolisi aliejitambulisha wa kituo cha Magomeni wamefika Kariakoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi, RB namba hawana wananchi wamegoma Askari kuodoka na mtuhumiwa huyo
Katika picha hizi mtu aliyevaa Kofia ndiye Askari na mwenzake ni huyo mweupe aliye simama ukutani.
Polisi aliejitambulisha wa kituo cha Magomeni wamefika Kariakoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi, RB namba hawana wananchi wamegoma Askari kuodoka na mtuhumiwa huyo
Katika picha hizi mtu aliyevaa Kofia ndiye Askari na mwenzake ni huyo mweupe aliye simama ukutani.