Picha: Waziri Mkuu Kassimu Majilwa akiwa na Paul Makonda mwenezi wa CCM taifa

Picha: Waziri Mkuu Kassimu Majilwa akiwa na Paul Makonda mwenezi wa CCM taifa

1698949477503.png

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na Uenezi, Paul Makonda kabla ya mazungumzo yao ofisini kwa Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma.

1698949535509.png

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na Uenezi, Paul Makonda, ofisini kwa Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2023. (Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu)​
 
Ni kuchekeana ki ufitna tu hamna lolote.
 
View attachment 2801742
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na Uenezi, Paul Makonda kabla ya mazungumzo yao ofisini kwa Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma.

View attachment 2801743
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na Uenezi, Paul Makonda, ofisini kwa Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2023. (Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu)​

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Kessy anazungumza na boss wake
 
Sisi wanaccm ni wazee wa drama hapa ni drama tupu

USSR
 
Back
Top Bottom