View attachment 2801742
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na Uenezi, Paul Makonda kabla ya mazungumzo yao ofisini kwa Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma.
View attachment 2801743
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na Uenezi, Paul Makonda, ofisini kwa Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2023. (Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu)
Sent from my SM-A260F using
JamiiForums mobile app