Picha ya dunia kutoka umbali wa Kilomita Bilioni Sita (06). Halafu kuna watu wanafikiri uwepo wao duniani ni kwa bahati mbaya

Picha ya dunia kutoka umbali wa Kilomita Bilioni Sita (06). Halafu kuna watu wanafikiri uwepo wao duniani ni kwa bahati mbaya

Mufti kuku The Infinity

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2019
Posts
6,053
Reaction score
10,032
Picha hii iliyopewa jina la "kitone cha samawati (The blue dot)" ilipigwa na Voyager 1 mwaka wa 1990. Chombo hicho kilipo kimbia kuelekea anga za juu, kiliikamata Dunia kutoka umbali wa maili bilioni 3.7 (kilomita bilioni 6).

Nb:
Atheists mrudieni mungu bado hamjachelewa
1676548866110.jpg
1676548866110.jpg
 
Hiyo picha kuna nafasi kubwa ikawa imepigwa na Atheist

Atheist ambaye amekuwa akizurula huko angani kukusanya taarifa ili ashee nasisi

Kwa hiyo yeye ndio alikuwa mtu wa kwanza kuanza kufikiria complex ya hiyo picha kabla yako.

Picha imemfikia mtu ambaye hajawahi hata kaa kwenye kilele cha ghorofa kupata view ya mji, anaanza kuitolea picha maelezo kuwa ni Mungu
 
Hiyo picha kuna nafasi kubwa ikawa imepigwa na Atheist

Atheist ambaye amekuwa akizurula huko angani kukusanya taarifa ili ashee nasisi

Kwa hiyo yeye ndio alikuwa mtu wa kwanza kuanza kufikiria complex ya hiyo picha kabla yako.

Picha imemfikia mtu ambaye hajawahi hata kaa kwenye kilele cha ghorofa kupata view ya mji, anaanza kuitolea picha maelezo kuwa ni Mungu
Picha ipigwe na atheist au la, haitobadilisha chochote juu ya hoja tajwa iliyo tolewa hapo juu
 
Hata dunia nzima tukimkataa Mungu sio kesi, dunia ni kijisehemu tu cha galaxy ambazo zipo nyingi Sana kuliko hizi zilizogundulika na zina viumbe wanamtukuza MUNGU. Ujanja wetu na technology yetu still ni duni ukilinganisha na hizo galaxy.
UFO tu tumeshindwa kugundua wanatokea galaxy ipi.
Na hakuna chombo chochote cha mwanadamu kinaweza fukuzia chombo cha UFO.
 
Hata dunia nzima tukimkataa Mungu sio kesi, dunia ni kijisehemu tu cha galaxy ambazo zipo nyingi Sana kuliko hizi zilizogundulika na zina viumbe wanamtukuza MUNGU. Ujanja wetu na technology yetu still ni duni ukilinganisha na hizo galaxy.
UFO tu tumeshindwa kugundua wanatokea galaxy ipi.
Na hakuna chombo chochote cha mwanadamu kinaweza fukuzia chombo cha UFO.
Kuna watu wanaamini story za UFOs??
 
Back
Top Bottom