Picha ya dunia kutoka umbali wa Kilomita Bilioni Sita (06). Halafu kuna watu wanafikiri uwepo wao duniani ni kwa bahati mbaya

Picha ya dunia kutoka umbali wa Kilomita Bilioni Sita (06). Halafu kuna watu wanafikiri uwepo wao duniani ni kwa bahati mbaya

Hata dunia nzima tukimkataa Mungu sio kesi, dunia ni kijisehemu tu cha galaxy ambazo zipo nyingi Sana kuliko hizi zilizogundulika na zina viumbe wanamtukuza MUNGU. Ujanja wetu na technology yetu still ni duni ukilinganisha na hizo galaxy.
UFO tu tumeshindwa kugundua wanatokea galaxy ipi.
Na hakuna chombo chochote cha mwanadamu kinaweza fukuzia chombo cha UFO.
Kuna watu wanaamini uwepo wa UFOs
Kama huna ufahamu huwezi amini
Story kwa hisani ya watu wa marekani 🤣
 
Ni mungu ndo alipiga hii picha? Watu wangeendekeza kuamini upumbavu wa dini wasingeweza kwenda huko juu na kuweza kupiga picha kama hizi. It’s only through science. Kuna wapumbavu wengine wanaambiana jua linazama kwenye matope
 
Ulielewa uzi wangu kwanza?
Unasema mambo nayoona hayana majibu wakati jibu nishatoa na lipo wazi
Una imply kwamba uwepo wa dunia hauwezi kuwa coincidence sababu complexity level yake ni unfathomable kiasi cha akili yako kushindwa kugrasp such concept. Lakini uhalisia ni kwamba uwepo wa dunia sio unexplainable bali tatizo ni uwezo wako mdogo wa kuchanganua mambo na kupelekea kuja na unrelated conclusion kwamba Mungu ndio chanzo ya yote.
 
Una imply kwamba uwepo wa dunia hauwezi kuwa coincidence sababu complexity level yake ni unconformable kiasi cha akili yako kushindwa kugrasp such concept. Lakini uhalisia ni kwamba uwepo wa dunia sio unexplainable bali tatizo ni uwezo wako mdogo wa kuchanganua mambo na kupelekea kuja na unrelated conclusion kwamba Mungu ndio chanzo ya yote.
Mkuu
Una kichwa kigumu sana
All in all hutoweza ku capture the essence of that thing kwa imani yako uliyo nayo sasa hvi
 
Back
Top Bottom