Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
- Thread starter
-
- #21
Kuna watu wanaamini uwepo wa UFOsHata dunia nzima tukimkataa Mungu sio kesi, dunia ni kijisehemu tu cha galaxy ambazo zipo nyingi Sana kuliko hizi zilizogundulika na zina viumbe wanamtukuza MUNGU. Ujanja wetu na technology yetu still ni duni ukilinganisha na hizo galaxy.
UFO tu tumeshindwa kugundua wanatokea galaxy ipi.
Na hakuna chombo chochote cha mwanadamu kinaweza fukuzia chombo cha UFO.
Story kwa hisani ya watu wa marekani 🤣Kama huna ufahamu huwezi amini
Ni chombo cha anga za mbali ndio kilipiga hio pichaHiyo Picha aliyepiga alisimama wapi?
Basi sawa......Ni chombo cha anga za mbali ndio kilipiga hio picha
Mambo yasiyo kuwa na majibu?Uwezo wako mfupi wa kuchanganua mambo unayoona hayana majibu siyo uthibitisho wa uwepo wa mungu.
Kina nani?Kuna wapumbavu wengine wanaambiana jua linazama kwenye matope
Sio marekani,hii ni kweli kwa watu wenye maarifa juu nje ya ufahamu wa dunia wanathibitisha hili.Kuna watu wanaamini uwepo wa UFOs
Story kwa hisani ya watu wa marekani 🤣
Dini gani inakataza kwenda anga za mbaliWatu wangeendekeza kuamini upumbavu wa dini wasingeweza kwenda huko juu
🤣🤣Hizo ni propaganda za NASA
Umeelewa nilichoandika?Mambo yasiyo kuwa na majibu?
Umeulewa uzi kweli?
Ulielewa uzi wangu kwanza?Umeelewa nilichoandika?
Una imply kwamba uwepo wa dunia hauwezi kuwa coincidence sababu complexity level yake ni unfathomable kiasi cha akili yako kushindwa kugrasp such concept. Lakini uhalisia ni kwamba uwepo wa dunia sio unexplainable bali tatizo ni uwezo wako mdogo wa kuchanganua mambo na kupelekea kuja na unrelated conclusion kwamba Mungu ndio chanzo ya yote.Ulielewa uzi wangu kwanza?
Unasema mambo nayoona hayana majibu wakati jibu nishatoa na lipo wazi
MkuuUna imply kwamba uwepo wa dunia hauwezi kuwa coincidence sababu complexity level yake ni unconformable kiasi cha akili yako kushindwa kugrasp such concept. Lakini uhalisia ni kwamba uwepo wa dunia sio unexplainable bali tatizo ni uwezo wako mdogo wa kuchanganua mambo na kupelekea kuja na unrelated conclusion kwamba Mungu ndio chanzo ya yote.
Mimi situmii imani bali natumia logic na facts.Mkuu
Una kichwa kigumu sana
All in all hutoweza ku capture the essence of that thing kwa imani yako uliyo nayo sasa hvi