Nini kilisababisha kuthibitisha kua hicho kidot ndio dunia na sio sayari nyingine yoyote au gimba la jiwe au nyota!!!?Picha hii iliyopewa jina la "kitone cha samawati (The blue dot)" ilipigwa na Voyager 1 mwaka wa 1990. Chombo hicho kilipo kimbia kuelekea anga za juu, kiliikamata Dunia kutoka umbali wa maili bilioni 3.7 (kilomita bilioni 6).
Nb:
Atheists mrudieni mungu bado hamjachelewaView attachment 2519274 View attachment 2519274
Dini ya wapumbavu, wajinga! Wenye akili finyu. Fatilia matokeo ya form 2,form 4 na form 6. Waliofeli sana wajinga wasiopenda sayansi ndo hao wenye hiyo dini. Wao wanaambiana wakifa watapewa mito ya wine na mabikra 72Dini gani inakataza kwenda anga za mbali
Hujaeleweka hapo.Picha hii iliyopewa jina la "kitone cha samawati (The blue dot)" ilipigwa na Voyager 1 mwaka wa 1990. Chombo hicho kilipo kimbia kuelekea anga za juu, kiliikamata Dunia kutoka umbali wa maili bilioni 3.7 (kilomita bilioni 6).
Nb:
Atheists mrudieni mungu bado hamjachelewaView attachment 2519274 View attachment 2519274
Kuna watu wanajifanya wansjua ku anslyze mambo kuliko kina Albert Einstein,Schrodinger,Elon Musk nk.Hiyo picha kuna nafasi kubwa ikawa imepigwa na Atheist
Atheist ambaye amekuwa akizurula huko angani kukusanya taarifa ili ashee nasisi
Kwa hiyo yeye ndio alikuwa mtu wa kwanza kuanza kufikiria complex ya hiyo picha kabla yako.
Picha imemfikia mtu ambaye hajawahi hata kaa kwenye kilele cha ghorofa kupata view ya mji, anaanza kuitolea picha maelezo kuwa ni Mungu
Punguza hasira na matusi. Watu watakupuuza!Atheist wote ni mashoga na wasagaji
Juu ya ndoo ya plastic...Hiyo Picha aliyepiga alisimama wapi?
Kama ni mungu kwa kutumia hivi vitabu vinavyoitwa vya mungu basi mungu hayupo.Ndani ya hicho kidoti kuna watu wana jimwambafai kila kukicha wakidai hamna mungu muweza aliye umba hivo
M/mungu atunusuru
Ndio hawa ? maana nimewaona wajinga na wapumbavu na wajinga sana haijawahi kutokeaDini ya wapumbavu, wajinga! Wenye akili finyu. Fatilia matokeo ya form 2,form 4 na form 6. Waliofeli sana wajinga wasiopenda sayansi ndo hao wenye hiyo dini. Wao wanaambiana wakifa watapewa mito ya wine na mabikra 72
Huna hoja za kuwajibu Atheist unatumia "ushoga na usagaji" kama kichaka cha kujificha kukwepa kujibu hoja za Atheist.Atheist wote ni mashoga na wasagaji
Una kipimo cha Akili kubwa na ndogo?Akili ndogo haiwezi kuelewa
Binadamu ni viumbe viburi Sana brother [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Lakini hata kanyoka tu kanawaua, Lakini wako busy kutengenezea nuclear weapons for Mass destruction [emoji24][emoji24][emoji24]Ndani ya hicho kidoti kuna watu wana jimwambafai kila kukicha wakidai hamna mungu muweza aliye umba hivo
M/mungu atunusuru
Vile vinyumba vya gongolamboto,ukiwa unakaribia kutua Julius Nyerere international airport,vinaonekana kama viberiti tuu [emoji1787][emoji1787]Hata ukiwa hewani na ndege halafu ukachungulia ardhini utagundua sisi ni kama vinukta tu
Sio hao. Wenyewe ni wapumbavu zaidi ya hao. Mazezeta na mafala hayo majamaa. Majinga majinga. Watu wa kuvaa mabomu na kwenda kujilipua.Ndio hawa ? maana nimewaona wajinga na wapumbavu na wajinga sana haijawahi kutokeaView attachment 2519950sana kupindukia haijawahi kutokea
Kwenye engoHiyo Picha aliyepiga alisimama wapi?
Huyu mleta mada ni Muongo...Kilomita bilioni 6 dunia haiwezi kuonekana tusidanganyane!
Kama jua tu lipo umbali wa kilomita milioni kadhaa alafu tunaliona dogo vile iweje dunia iliyoko umbali wa kilomita bilioni 6 ionekane?
View attachment 2519943
Hapa dunia ipo umbali wa kilomita 610,858 lakini imekuwa ndogo hivi. Vipi ikiwa kilomita milioni moja au ikiwa umbali wa kilomita milioni 149.6 ambao ni umbali kutoka kwenye uso wa jua hadi uso wa dunia?
Kama dunia ni ndogo kiasi cha kuonekana kama tone kulinganisha na jua, alafu jua hili tunaliona dogo kama embe tukiwa kwenye dunia hii iliyo umbali wa kilomita milioni 149,600,000; vipi tungeiona dunia tukiwa kwenye uso wa jua?
Dunia yenyewe ingekuwa umbali wa kilomita bilioni 6 tusingepata hata jua tunalolifaidi now. Sanasana kwenye macho yetu tungeliona jua likifanana na nyota zingine angani