Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
- Thread starter
- #121
Ushanipuuza na huku umenijibu?
Au na wewe ulikojozwa miaka 15?!
Ushanipuuza na huku umenijibu?
Au na wewe ulikojozwa miaka 15?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushanipuuza na huku umenijibu?
Au na wewe ulikojozwa miaka 15?!
Ushanipuuza na huku umenijibu?
Au na wewe ulikojozwa miaka 15?!
Akina Le Mutuz wako wengiKama Lemutuz vile
Ni wimbo sio nyimboGadner kwa hili amechemka, karuka majivu kakanyaga moto, tatizo amejikita kujibu NDI NDI NDI naona nyimbo ya NDI NDI NDI ya jide inamtesa sana Gadner
😛😛Hiv mdogo wang lemtuz bado sijamuona akipiga picha na huyu mrembo au yeye dau lake dogo maana yeye ndio bingwa wa kusaminisha warembo bongo![]()
![]()
Kwani huyu jamaa mchagha?me nikijua mtu was Tanga mzigua au mbondei!Anatuabisha wachaga
Ni mrombo brazaKwani huyu jamaa mchagha?me nikijua mtu was Tanga mzigua au mbondei!
Una wivu wa kikeHAHAHAHA WEWE KAMA NANI KWA MFANO UNAYENITUMA CLAUZ ACHA UMBEYA NA KUJIFANYA UNAJUA SANA MAMBO YA MACHOZI BENDI KWANINI YEYE HUU USHAURI ALIOMPA JIDE ASINGEFANYA HAYA MAMBO YEYE MWENYEWE AKATOKA..................................................................................
HANA LOLOTE LABDA UKOJOZAJI TENA USIO NA MAANA
Aiseeee..damn[emoji16] [emoji16] [emoji16]..
Mmeumizwa sana na Gadner timu kukojozwa hamuamini kama alikuwa na uwezo wa kujibu shombo zenu sasa mnatafuta chochote cha kusuuza nafsi zenu na leo mmekipata mtakesha hapa
Poleni sana ze ndi ndi ndi
Supu ni nini mkuu?
Mkuu usisahau huyudaa kweli ndio maana rombo inadharaulika marangu huwezi Pata mwanaume type ya gadna
duu mkuu na huyu ni mchaga? wanatudhalilisha sana wachagaMkuu usisahau huyuView attachment 346949sio Mrombo.hawa wapumbavu kote kote wapo hakuna kabila lililokuwa halina watu dizain hii.Japo huyu Gardner bado siamini kama ni mchagha.
Mmmh. Maneno ya mjini magumu aiseeeSupu ni mchemsho ambao huwekwa kitinya, yaan mafta ya ndani. Ukiletewa mafta huwa yanaeleaelea juu juu. Huoni hayo yalivyoelea juu kwa juu mpaka yanaonekana? Puchi nani anahangaika nazo mujini? Twanywa supu bahnaaaa
Huyu mchagha kaka kwao Marangu,hawa jamaa wanatuharibia sana asili yetu.duu mkuu na huyu ni mchaga? wanatudhalilisha sana wachaga