Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa wa rombo huyu kbs nawajua pia ndugu zake aseeg
kwan chuo si Kuna wachafu
gadna si mchaga mkuu hamna mchaga wa hvi wachaga wajanja wanawaza ela hamna mchaga Mario anaetegemea Wanawake wamlishe huyu ni mvulana wa dar
Mwenye Stress hujamuona kila siku anaropoka hovyo kwenye mitandao ya kijamii kumhusu bwana'ake hadi nyimbo kstunga ,
Au na wewe ndio wale mmedandia treni kwa mbele hujui kitu
BayaHAHAHAHA HAAAAAAAAAAAAAAAAA MBONA LAINA BHANA?
NDO KAANDIKA NINI HAPO ITAKUWA AKILI NDOGO SANA NDO MAANA ANATAFUTA KIKI KUANIKA MA TA NGO YAKEhapo alishikwa kiuno na idris sasa timu sepenga ika linukisha[emoji23]![]()
KHAAAAAAAAAAAAAAJamaa wa rombo huyu kbs nawajua pia ndugu zake asee
CAREN MWENYEWE ANALINGANA NA HUYU GG JAMANI WABABA WENGINE KUZALIWA NAO NI LAANA MOJA KWA MOJAMama Karen alivumilia sana matokeo yake ilifika mwisho wakaachana,naona tatizo lipo vipi kama Gardner ukabadilika,Karen ashakuwa bint sasa alafu baba unafanya upuuzi huo nini umemuandalia kwa maisha yake ya baadae?au kumbukumbu mbaya maishani mwake ,jichunguze upya Gardner.
rombo ipi mkuu yenye mwanaume kama gadnaJamaa wa rombo huyu kbs nawajua pia ndugu zake asee
Rombo mkuurombo ipi mkuu yenye mwanaume kama gadna
daa kweli ndio maana rombo inadharaulika marangu huwezi Pata mwanaume type ya gadna
[emoji1] [emoji1] [emoji1] G anawaangusha wchga Na misifa waliojimwagia kwenye thread zizilopita.[emoji15]daa kweli ndio maana rombo inadharaulika marangu huwezi Pata mwanaume type ya gadna
siyo mchaga yule[emoji1] [emoji1] [emoji1] G anawaangusha wchga Na misifa waliojimwagia kwenye thread zizilopita.[emoji15]
Ana umri ganiHili jamaa bado linalijiona kijana asee sijui mchaga huyu ndezi hivi.
Sijui alifkiria nn kupiga hyo picha kilichonikera ni umri wake na mambo anafanya hata haviendani.
huyu jamaa ni mzee eti hivyo vitu angewaachia kina ommy dimpoz