Picha ya Gigy Money na mtangazaji Gardner G Habash yazua utata

Picha ya Gigy Money na mtangazaji Gardner G Habash yazua utata

Sijui kwanini watu na akili zenu mnapiga picha na huyo Gigy..yuko desperate na ustar, kila kitu kwake ni fursa matokeo yake Gadna unazidi kudhalilika hasa ukizingatia huo mlupo umerusha hizi picha kipindi hiki wakati mambo hayapo njema kwako loh[emoji35]
Hahaaaaaa eti mlupo lol
 
Picha ya Gigy Money na Mtangazaji Gadner G Habash Yazua Utata....



Mrembo Gigy Money Anaesifika kwa Bongeo la t***o Bongo ameweka picha kwenye page yake ya Instagram na kuandika maneno haya;
Gigy_money:
Baby chukua #supu
Sinaaa tatzooo na huyu mzeeee mwenzangu amesh......... takriban miez6 @captaintanzania


Hizi Hapa ni Baadhi ya Comments:

Precioussada
Dada jide ulifanya la maana kuondoka maana huyu sio mwanaume ni maradhi

Mudy_makinga
Umekojoleshwa six months mama tukomeshe @gigy_money tem hii na ww endelea kukojoleshwa naww miaka 20 ila ss mwambie akujoleshe mmelala sio mmesimama hutozaa nae na ww! Take care.

Raymondo_soundo
Brother nahisi kama haupo sawa @captaintanzania maisha gani haya???? Basi ata kama unafanya kuwe na mipaka unajizalilisha sana. Nimekumind sanaaaaa..

saraphinam4
MLIMA KITONGA.......lol mwanaume mpenda mtelemko.

nancygodwintillya
Kweli umechanganyikiwa mzee, ulivyokuwa unajiheshimu ukiwa na jide leo umefika huko.
Dah....hiyo sura ya huyo lady Jay dee inatisha balaa.

Gadna atakuwa mwanaume mvumilivu sana.....

Alifikiria nini kuoa mtu mwenye sura kaa ya ng'ombe?
cow??? u can't be serious man hahahahahh ze fesi of ze ng'ombezzz!!!
 
Kinyaiya mkuu..ana asili ya Marangu Mtoni huyu Gardner wadau wanasema ni mchagha but sijaamini bado hata ukiangalia ubini wake.
Kinyainya ni mmachame ......kuna rafiki yangu amekua nae kijijini machame ......garder ni mchaga bt cjui wa wapi
 
Kinyainya ni mmachame ......kuna rafiki yangu amekua nae kijijini machame ......garder ni mchaga bt cjui wa wapi
Nimekupata kaka...huyu jamaa anazeeka vibaya mambo haya angeyafanya 20yrs nyuma sio sasa umri umeshaenda.
 
0137882977533cdca54e598c78bd15a1.jpg
 
Nimekupata kaka...huyu jamaa anazeeka vibaya mambo haya angeyafanya 20yrs nyuma sio sasa umri umeshaenda.
Watu wanahukumu bila kujua hiyo picha kapiga kwenye mazingira yapi labda studio au club.....sioni ubaya wa picha hiyo na wabongo wanajua kuhukumu kma wao ni malaika
 
Watu wanahukumu bila kujua hiyo picha kapiga kwenye mazingira yapi labda studio au club.....sioni ubaya wa picha hiyo na wabongo wanajua kuhukumu kma wao ni malaika
Sure mkuu....na huyu gigy anatafuta sana kick inawezekana aliomba tu kupiga nae picha ila ndo kazionyesha hadharani kujitafutia umaarufu.
 
Back
Top Bottom