Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Kuna cyber law inayotakiwa kupitishwa bungeni, yeyote atakayekuwa anasambaza picha za namna hii atachukuliwa sheria. hata kama ulitumiwa wewe utakaye-resend pia utakuwa responsible. FUTA DELETE KABISA
We nae una mabalaa, yani nakutamanisha kuona uchi wa mama wa mwenzio?? Aahahah aaha kweli majanga, kuna rafiki yangu nae anakwambia kila siku anaipigia punyeto dah, kwel vijana nuksi, aya ngoja tuone tunafanyaje na sisi tuipate uko PM, maana nikiweka humu hali ya hewa itachafuka
Nimeshawek bwana mchunguz kaz kwako
Tuongee ukweli...between Wolper, Uwoya, Wema...nani Diva? Surely, Wema ain't above them ila timu zake tu ndizo zinampa support. Aunt mwenyewe yuko better looking than Wema ila kwa kuwa anajidharau amekubali kufanywa msukule wa Wema kwa kubeba mizigo yake. Shida kweli kweli.
umeiweka wapi mkuu? mbona siioni
Kwenye thread ya homa ya jiji
wala sijaiona mkuu, fanya uniwekee link
nimeweka jana watu wamejionea ,toka usiku had hasubuh ndo wametoa
nimeweka jana watu wamejionea ,toka usiku had hasubuh ndo wametoa
Aunty ni bonge la kifaa, sijui kwa nini amekubali kutumikishwa hivyo, yani ni kama kim kardashian ajipendekeze kwa beyonce. Yaan aunty siku izi kawa dereva wa wema, niliwaona juzi quality centre nikasema dah huyu aunty ajitambui
Aunty ni bonge la kifaa, sijui kwa nini amekubali kutumikishwa hivyo, yani ni kama kim kardashian ajipendekeze kwa beyonce. Yaan aunty siku izi kawa dereva wa wema, niliwaona juzi quality centre nikasema dah huyu aunty ajitambui
Wema si mjinga, ana akili yule na anafanya vile kumtumikisha Aunt kwani anataka Aunt achakae, yeye aonekane yupo juu. Mi nafikiri Aunt atakuwa msukule tu, we mtu gani mwenye akili timamu anakubali kutumikishwa halafu mshahara kumwendesha Wema na kubeba pochi lake? Waswahili wanasema akili mukichwa.
Anamchagulia hadi na watu wa kuongea nae, na had nguo wanavaaga sare, yaani akili zao sijui zipoje
Aunty ni bonge la kifaa, sijui kwa nini amekubali kutumikishwa hivyo, yani ni kama kim kardashian ajipendekeze kwa beyonce. Yaan aunty siku izi kawa dereva wa wema, niliwaona juzi quality centre nikasema dah huyu aunty ajitambui
nimeweka jana watu wamejionea ,toka usiku had hasubuh ndo wametoa
Binam ule uzi siouniiii bado unaliaa tu pole binamu!!!
Boko haramu washauteka uzi wetu binamu, ila wamechelewa watu washajionea mambo mpaka wamechoka
Leo binamu nimejifungia ndani tu namlilia aunty ezekeil anavyofanywa na wema, yaan huyu we muache tu, naona team dengue hamtoshi
Mimi urafiki wa hivyoo never labda aunt kafuliaa etiii
Boko haramu washauteka uzi wetu binamu, ila wamechelewa watu washajionea mambo mpaka wamechoka
Leo binamu nimejifungia ndani tu namlilia aunty ezekeil anavyofanywa na wema, yaan huyu we muache tu, naona team dengue hamtoshi
Boko haramu washauteka uzi wetu binamu, ila wamechelewa watu washajionea mambo mpaka wamechoka
Leo binamu nimejifungia ndani tu namlilia aunty ezekeil anavyofanywa na wema, yaan huyu we muache tu, naona team dengue hamtoshi