Pre GE2025 Picha ya Samia kwenye mitungi ya gesi ni ya nini? Haya ndio mambo CHADEMA wanapinga. Msimamizi wa vyama vya siasa yupo kama kipofu na kiziwi

Pre GE2025 Picha ya Samia kwenye mitungi ya gesi ni ya nini? Haya ndio mambo CHADEMA wanapinga. Msimamizi wa vyama vya siasa yupo kama kipofu na kiziwi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Kama lengo ni kuwatoa wananchi kutoka kutumia kuni na wahamie kwenye nishati safi, picha ya Samia inafanya nini kwenye mitungi hiyo?


Picha ya Samia ipo kwenye mitungi sababu yeye ndio mtengenezaji wa mitungi hiyo? Au kampuni yake ndio inafanya usambazaji? Yeye ndio kanunua mitungi hiyo kwa pesa yake mfukoni? Yaani pointi ni nini kuweke sura yake hapo?

Msimamizi wa vyama vya siasa kazi yako ni nini? Au majukumu yako yanaishia kwa wapinzani pekee? CCM wanaenda kinyume na sheria left and right lakini kimyaaa mmeufyata. Halafu mnashangaa CHADEMA kutaka mabadiliko ya sheria, sheria ambazo hata mtoto anaona aibu kwa yanayofanyika!

Chawa ndio mmeona hii ndio njia bora kabisa ya kumfanya mama apendwe baada ya njia zote kubuma? :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:

Bado moja haisomi wala mbili haisimami?:BearLaugh::BearLaugh::KEKLaugh:

Ni shida sana kuwa na washauri ambao kichwani ni poda... kila siku ni kuaibika tu:BearLaugh::BearLaugh:
Kwenye picha tu kuna mtu kashaingiza hela za kutosha. Hii ni miradi ya watu
 
Lucas ungekuwa na kipato hata kidogo usingekuwa unajitweza utu wako hapa siku hiz umekuwa na vijitabia vya kike kike, vijimaneno vya taarabu, haya siyo maneno ya kuandika mbele ya wanaume wenzio na nakushauri kaa hukohuko Mwakaleli ukithubutu kutia mguu pwani na hizi
 
Lucas ungekuwa na kipato hata kidogo usingekuwa unajitweza utu wako hapa siku hiz umekuwa na vijitabia vya kike kike, vijimaneno vya taarabu, haya siyo maneno ya kuandika mbele ya wanaume wenzio na nakushauri kaa hukohuko Mwakaleli ukithubutu kutia mguu pwani na hizi
Upendo wa watanzania kwa Rais Samia ni kama chafya ambayo huwezi kuizuia. Mama anapendwa na watanzania sana.
 
Mmdharaulika Ninyi Omba omba mnaoshindwa kuweka mikakati ya kufanya chama kujitegemee
Afadhali omba omba maana kupewa ni hiyari ya mtaji. ila wahongaji ni dalili ya ufisadi. Mmewaona watanzania maskini sana hadi muwahonge mitungi ya gesi ya shilingi 20,000?
 
Huyu mama anatoa rushwa waziwazi.
Halafu anaforce kupendwa
Kama ni rushwa nenda mahakamani mjinga wewe. Mama anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania kwa namna anavyoendelea kugusa Maisha ya watanzania. Analeta tabasamu katika kaya za watanzania
 
Afadhali omba omba maana kupewa ni hiyari ya mtaji. ila wahongaji ni dalili ya ufisadi. Mmewaona watanzania maskini sana hadi muwahonge mitungi ya gesi ya shilingi 20,000?
Upendo haulizimshwi. mama anapendwa na watanzania mpaka wanashindwa kujizuia hisia zao za upendo.
 
Back
Top Bottom