Pre GE2025 Picha ya Samia kwenye mitungi ya gesi ni ya nini? Haya ndio mambo CHADEMA wanapinga. Msimamizi wa vyama vya siasa yupo kama kipofu na kiziwi

Pre GE2025 Picha ya Samia kwenye mitungi ya gesi ni ya nini? Haya ndio mambo CHADEMA wanapinga. Msimamizi wa vyama vya siasa yupo kama kipofu na kiziwi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Gharama ya hizo picha wangeweka kwenye ruzuku na kupunguza bei ya hiyo gesi ingekua ni debe nzuri ila lengo sio kupunguza gharama ni kupiga tu hizo hela za stika wanaona bora iwe hivyo...
 
Upendo haulizimshwi. mama anapendwa na watanzania mpaka wanashindwa kujizuia hisia zao za upendo.
Tunazungumzia CCM rushwa imewakolea hadi mnaihalalisha Kwa watanzania wengine.

Mmewafanya wawe maskini hadi wanashukuru Kwa kupewa mtungi wa shilingi 20,000.
 
Wakuu,

Kama lengo ni kuwatoa wananchi kutoka kutumia kuni na wahamie kwenye nishati safi, picha ya Samia inafanya nini kwenye mitungi hiyo?


Picha ya Samia ipo kwenye mitungi sababu yeye ndio mtengenezaji wa mitungi hiyo? Au kampuni yake ndio inafanya usambazaji? Yeye ndio kanunua mitungi hiyo kwa pesa yake mfukoni? Yaani pointi ni nini kuweke sura yake hapo?

Msimamizi wa vyama vya siasa kazi yako ni nini? Au majukumu yako yanaishia kwa wapinzani pekee? CCM wanaenda kinyume na sheria left and right lakini kimyaaa mmeufyata. Halafu mnashangaa CHADEMA kutaka mabadiliko ya sheria, sheria ambazo hata mtoto anaona aibu kwa yanayofanyika!

Chawa ndio mmeona hii ndio njia bora kabisa ya kumfanya mama apendwe baada ya njia zote kubuma? :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:

Bado moja haisomi wala mbili haisimami?:BearLaugh::BearLaugh::KEKLaugh:

Ni shida sana kuwa na washauri ambao kichwani ni poda... kila siku ni kuaibika tu:BearLaugh::BearLaugh:
Ndio champion wa Nishati safi
 
Tunazungumzia CCM rushwa imewakolea hadi mnaihalalisha Kwa watanzania wengine.

Mmewafanya wawe maskini hadi wanashukuru Kwa kupewa mtungi wa shilingi 20,000.
Na wewe peleka ukagawe kama una ubavu. Ninyi si mnawaza kujaza matumbo yenu kama nguruwe.Mama anawaza namna ya kuwainua watanzania na kuwapa tabasamu.ndio maana anakubalika na kupendwa na watanzania
 
Rais Samia ni Kama Maji usipoyanywa utayaoga tuuu. Picha ya Rais Samia ipo hadi kwenye Mioyo ya watanzania. Sasa unashangaa vipi kuona picha kwenye mitungi ya Gas. Huyu Mama ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu Mwenyewe.huwezi kushindana naye
Mkuu ni mwaka gani ulianza kumiliki card ya Chama cha mapinduzi hadi Sasa?
 
Hata ungekuwa wewe ungekuwa huna ushawishi ungefanyaje? Ndio rais wa kwqnza ambaye apendwi hadi na ccm wenzake.
 
msimulaumu
Wakuu,

Kama lengo ni kuwatoa wananchi kutoka kutumia kuni na wahamie kwenye nishati safi, picha ya Samia inafanya nini kwenye mitungi hiyo?


Picha ya Samia ipo kwenye mitungi sababu yeye ndio mtengenezaji wa mitungi hiyo? Au kampuni yake ndio inafanya usambazaji? Yeye ndio kanunua mitungi hiyo kwa pesa yake mfukoni? Yaani pointi ni nini kuweke sura yake hapo?

Msimamizi wa vyama vya siasa kazi yako ni nini? Au majukumu yako yanaishia kwa wapinzani pekee? CCM wanaenda kinyume na sheria left and right lakini kimyaaa mmeufyata. Halafu mnashangaa CHADEMA kutaka mabadiliko ya sheria, sheria ambazo hata mtoto anaona aibu kwa yanayofanyika!

Chawa ndio mmeona hii ndio njia bora kabisa ya kumfanya mama apendwe baada ya njia zote kubuma? :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:

Bado moja haisomi wala mbili haisimami?:BearLaugh::BearLaugh::KEKLaugh:

Ni shida sana kuwa na washauri ambao kichwani ni poda... kila siku ni kuaibika tu:BearLaugh::BearLaugh:
Ma
Wakuu,

Kama lengo ni kuwatoa wananchi kutoka kutumia kuni na wahamie kwenye nishati safi, picha ya Samia inafanya nini kwenye mitungi hiyo?


Picha ya Samia ipo kwenye mitungi sababu yeye ndio mtengenezaji wa mitungi hiyo? Au kampuni yake ndio inafanya usambazaji? Yeye ndio kanunua mitungi hiyo kwa pesa yake mfukoni? Yaani pointi ni nini kuweke sura yake hapo?

Msimamizi wa vyama vya siasa kazi yako ni nini? Au majukumu yako yanaishia kwa wapinzani pekee? CCM wanaenda kinyume na sheria left and right lakini kimyaaa mmeufyata. Halafu mnashangaa CHADEMA kutaka mabadiliko ya sheria, sheria ambazo hata mtoto anaona aibu kwa yanayofanyika!

Chawa ndio mmeona hii ndio njia bora kabisa ya kumfanya mama apendwe baada ya njia zote kubuma? :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:

Bado moja haisomi wala mbili haisimami?:BearLaugh::BearLaugh::KEKLaugh:

Ni shida sana kuwa na washauri ambao kichwani ni poda... kila siku ni kuaibika tu:BearLaugh::BearLaugh:
msimulaumu MAMA, sasa hivi CHAWA wamekuwa formalized mpaka mfumo umekuwa overwhelmed 😀
 
Back
Top Bottom