Pre GE2025 Picha ya Samia kwenye mitungi ya gesi ni ya nini? Haya ndio mambo CHADEMA wanapinga. Msimamizi wa vyama vya siasa yupo kama kipofu na kiziwi

Pre GE2025 Picha ya Samia kwenye mitungi ya gesi ni ya nini? Haya ndio mambo CHADEMA wanapinga. Msimamizi wa vyama vya siasa yupo kama kipofu na kiziwi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Kama lengo ni kuwatoa wananchi kutoka kutumia kuni na wahamie kwenye nishati safi, picha ya Samia inafanya nini kwenye mitungi hiyo?


Picha ya Samia ipo kwenye mitungi sababu yeye ndio mtengenezaji wa mitungi hiyo? Au kampuni yake ndio inafanya usambazaji? Yeye ndio kanunua mitungi hiyo kwa pesa yake mfukoni? Yaani pointi ni nini kuweke sura yake hapo?

Msimamizi wa vyama vya siasa kazi yako ni nini? Au majukumu yako yanaishia kwa wapinzani pekee? CCM wanaenda kinyume na sheria left and right lakini kimyaaa mmeufyata. Halafu mnashangaa CHADEMA kutaka mabadiliko ya sheria, sheria ambazo hata mtoto anaona aibu kwa yanayofanyika!

Chawa ndio mmeona hii ndio njia bora kabisa ya kumfanya mama apendwe baada ya njia zote kubuma? :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:

Bado moja haisomi wala mbili haisimami?:BearLaugh::BearLaugh::KEKLaugh:

Ni shida sana kuwa na washauri ambao kichwani ni poda... kila siku ni kuaibika tu:BearLaugh::BearLaugh:
Hii nchi tangu awamu ya 5 imeshakuwa kama ya wehu. Na kwa trend hii tunakoelekea itakuwa ya wehu kamili
 
Wananchi wa Kanda ya Ziwa na Kanda ya Kaskazini mwa Tanzania wameeleza kukerwa na mitungi ya gesi yenye picha ya Rais Samia Suluhu Hassan, wakisema inashawishiwa na rushwa katika mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Wanasisitiza kuwa picha hizi ni alama ya juhudi za kisiasa za kumtangaza Rais Samia, ambaye wanadai hakubaliki miongoni mwao.

Wakazi hawa wamesema kuwa, licha ya jitihada za kuhamasisha matumizi ya gesi ya kupikia, mitungi hiyo inakuja na malengo yasiyo ya kweli.

Wanaonyesha wasiwasi kuhusu utata wa kisiasa unaohusiana na matumizi ya mitungi hiyo.

Wengi wanasema kuwa ni vigumu kuelewa ni kwa nini serikali inatumia rasilimali hizi kujaribu kuimarisha picha ya kiongozi, wakati matatizo makubwa kama umaskini, ukosefu wa ajira na huduma duni za jamii yanayowakabili wananchi hayapatiwi kipaumbele.

Maswali mengi yanaibuka kutoka kwa wananchi kuhusu mustakabali wa mitungi hiyo ya gesi.

Wanauliza, ikiwa mitungi hiyo itakamilika, ni nani atakayewajazia gesi, hasa wanapokosa uwezo wa kifedha wa kununua.

Hali hii inadhihirisha ukosefu wa mipango ya muda mrefu ya kuhakikisha upatikanaji wa nishati hii muhimu.

Wananchi hawa wanashindwa kuona mantiki ya kupokea mitungi ya gesi wakati hakuna uhakika wa kuweza kuendelea kutumia gesi hiyo kwa sababu ya hali yao ya kiuchumi.

Wakati huo huo, wananchi wanasisitiza kuwa mitungi ya gesi si kipaumbele chao. Wana matatizo mengi yanayohitaji umakini, kama vile huduma za afya, elimu, na miundombinu.

Mtu mmoja alieleza, "Kwa nini tunpewe mitungi ya gesi wakati hatuna chakula mezani? Tunahitaji msaada wa dharura katika nyanja za msingi za maisha yetu."

Wakazi hawa wanajitahidi kuelewa ni kwa nini serikali inatumia rasilimali za umma kwa ajili ya kampeni za kisiasa badala ya kutatua matatizo halisi yanayowakabili.

Wanajua kuwa mitungi hiyo ni sehemu ya mkakati wa kisiasa wa kufanikisha malengo ya Rais, lakini wanataka viongozi wao wazingatie masuala ya msingi yanayohitaji uangalizi wa haraka.

Mitungi hiyo ya gesi imekuwa ikikumbwa na malalamiko kutoka kila pembe, huku wengi wakisema ni sehemu ya mbinu za kisiasa za kumwonyesha Rais Samia kama kiongozi anayejali maslahi ya wananchi.

Hata hivyo, wananchi wanabainisha kuwa si picha ya Rais inayohitajika, bali ni vitendo vinavyoweza kuboresha maisha yao ya kila siku.

Wakati wa mkutano mmoja wa jamii, wananchi walionesha hasira zao kwa kuandika mabango yanayoonesha kukataa mitungi hiyo.

Walisema, "Sisi ni wapiga kura, sio wapokeaji wa rushwa." Kauli hii ilionyesha hisia zao za kutokufurahishwa na hatua hii ya kisiasa na jinsi inavyoweza kuathiri uchaguzi ujao.

Katika hali hii, ni wazi kuwa wanahitaji kushiriki katika maamuzi yanayohusu maisha yao. Wananchi wanataka kujua ni nani anawawakilisha na ni kwa namna gani wanavyoweza kuchangia katika kupanga mipango ya maendeleo.
Wanasisitiza kuwa ni lazima viongozi wawajibike kwa mahitaji ya watu badala ya kujenga picha za kisiasa.

Miongoni mwa maoni mengine, baadhi ya wananchi walikumbusha kuwa ni muhimu kwa viongozi kuzingatia mahitaji halisi ya jamii.

Wanasema, "Tunahitaji viongozi wanaotujali na kutafuta suluhisho la kudumu, sio wale wanaotafuta umaarufu kupitia matangazo yasiyo na maana."

Kwa hivyo, mitungi ya gesi yenye picha ya Rais Samia imekuwa sehemu ya mjadala mpana wa kisiasa, huku wananchi wakipaza sauti zao kukataa mbinu hizi wanazoziona kama za kisiasa zaidi kuliko za kusaidia.

Wanataka kuona mabadiliko halisi katika maisha yao, badala ya ahadi zisizotekelezwa.

Screenshot_20250213_083034_Instagram.jpg

Screenshot_20250213_083039_Instagram.jpg
 
Rais Samia ni Kama Maji usipoyanywa utayaoga tuuu. Picha ya Rais Samia ipo hadi kwenye Mioyo ya watanzania. Sasa unashangaa vipi kuona picha kwenye mitungi ya Gas. Huyu Mama ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu Mwenyewe.huwezi kushindana naye
Kama picha ipo kwenye mioyo, nini haja ya kuingia gharama za kuchapa picha nyingine kwenye mitungi.
 
Naona kwenye picha wamehakikisha picha ya mama inawekwa kwa mbele kabisa😏
Samia humjui ni nani kwenye nishati safi ya kupikia duniani? Ikiwemo.gesi

Anahangaika kutafuta misaada ya gesi
 
Rais Samia ni Kama Maji usipoyanywa utayaoga tuuu. Picha ya Rais Samia ipo hadi kwenye Mioyo ya watanzania. Sasa unashangaa vipi kuona picha kwenye mitungi ya Gas. Huyu Mama ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu Mwenyewe.huwezi kushindana naye
Ninyi ni wajinga na malimbukeni kukubali kubebwa na ujinga wa mwanamke mmoja
 
Wakuu,

Kama lengo ni kuwatoa wananchi kutoka kutumia kuni na wahamie kwenye nishati safi, picha ya Samia inafanya nini kwenye mitungi hiyo?


Picha ya Samia ipo kwenye mitungi sababu yeye ndio mtengenezaji wa mitungi hiyo? Au kampuni yake ndio inafanya usambazaji? Yeye ndio kanunua mitungi hiyo kwa pesa yake mfukoni? Yaani pointi ni nini kuweke sura yake hapo?

Msimamizi wa vyama vya siasa kazi yako ni nini? Au majukumu yako yanaishia kwa wapinzani pekee? CCM wanaenda kinyume na sheria left and right lakini kimyaaa mmeufyata. Halafu mnashangaa CHADEMA kutaka mabadiliko ya sheria, sheria ambazo hata mtoto anaona aibu kwa yanayofanyika!

Chawa ndio mmeona hii ndio njia bora kabisa ya kumfanya mama apendwe baada ya njia zote kubuma? :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:

Bado moja haisomi wala mbili haisimami?:BearLaugh::BearLaugh::KEKLaugh:

Ni shida sana kuwa na washauri ambao kichwani ni poda... kila siku ni kuaibika tu:BearLaugh::BearLaugh:
Kuna tofauti gani picha ya Samia au Kikwete kuwa nyuma ya Bajaj au Daladala na kuwa kwenye mtungi wa Gas?
Gas ni biashara ya mtu huwezi ukamuamulia namna anavyofanya matangazo ya bidhaa zake; that is pure marketing. By the way, wewe umesomea nini?
 
Rais Samia ni Kama Maji usipoyanywa utayaoga tuuu. Picha ya Rais Samia ipo hadi kwenye Mioyo ya watanzania. Sasa unashangaa vipi kuona picha kwenye mitungi ya Gas. Huyu Mama ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu Mwenyewe.huwezi kushindana naye
Ulikaa na Mungu ukakubaliana naye kwamba Samia ndo mpango wa Mungu?
 
Kuna tofauti gani picha ya Samia au Kikwete kuwa nyuma ya Bajaj au Daladala na kuwa kwenye mtungi wa Gas?
Swali zuri.

Jambo huamuliwa na mtendaji na dhumuni la kutenda jambo fulani.

Kwa mfano ngono ni ngono, lakini mtu akingonoka na mzazi ama mtoto wake huwa inakuwa siyo sawa.

Jee CCM inaweza kusema ni kwa nini wanaweka picha ya Samia kwenye hiyo mitungi?
 
Hii nchi ni ya kipuuzi sana
Wakuu,

Kama lengo ni kuwatoa wananchi kutoka kutumia kuni na wahamie kwenye nishati safi, picha ya Samia inafanya nini kwenye mitungi hiyo?


Picha ya Samia ipo kwenye mitungi sababu yeye ndio mtengenezaji wa mitungi hiyo? Au kampuni yake ndio inafanya usambazaji? Yeye ndio kanunua mitungi hiyo kwa pesa yake mfukoni? Yaani pointi ni nini kuweke sura yake hapo?

Msimamizi wa vyama vya siasa kazi yako ni nini? Au majukumu yako yanaishia kwa wapinzani pekee? CCM wanaenda kinyume na sheria left and right lakini kimyaaa mmeufyata. Halafu mnashangaa CHADEMA kutaka mabadiliko ya sheria, sheria ambazo hata mtoto anaona aibu kwa yanayofanyika!

Chawa ndio mmeona hii ndio njia bora kabisa ya kumfanya mama apendwe baada ya njia zote kubuma? :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:

Bado moja haisomi wala mbili haisimami?:BearLaugh::BearLaugh::KEKLaugh:

Ni shida sana kuwa na washauri ambao kichwani ni poda... kila siku ni kuaibika tu:BearLaugh::BearLaugh:
 
Back
Top Bottom