FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hiyo picha ni ya mdada / Mbibi anaitwa Maria, ni mjane mwenye watoto wa 4
===========================
Update: 08/11/2023
www.jamiiforums.com
==========================
Haya, huyu hapa, Anaitwa Hakimu Mfawidhi Said Ally Mkasiwa
=========================
Update: 10/11/2023
==========================
Update: 16/02/2024
===========================
Update: 08/11/2023
TLS kumsaidia aliyefungwa Miaka 22 kisa nyama ya Swala
CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Kanda ya Iringa wameanzisha kampeni ya kumsaidia kisheria mjane Maria Emirio Ngoda aliyehukumiwa na Mahakama ya Mkoa wa Iringa kifungo cha miaka 22 kwa kosa la kukutwa na ndoo yenye vipande 12 vya nyama ya swala kinyume na sheria. Hukumu hiyo ilitolewa...
==========================
Haya, huyu hapa, Anaitwa Hakimu Mfawidhi Said Ally Mkasiwa
=========================
Update: 10/11/2023
Mawakili 10 TLS kumtetea mjane aliyehukumiwa miaka 22 kwa kuuza nyama ya swala
Spread the love
mwanahalisionline.com
==========================
Update: 16/02/2024