SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Muonekano huu ni sayansi kweli kweli.Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
Sijui Pope ana interest gani na ushoga? 😂 😂 😂 😂 . wanamkatalia anakomaa tu. Ila akiondoka na hizo documents zake zinaondoka.Papa anaonekana kumshawishi Rais wetu akubali ushoga lakini Rais anakataa😁
Naona kama mama anawaka hapo...Wajuzi wa usomaji wa picha na matukio, hapa namuona madame president ameketi pamoja na ndugu Papa ila kuna tukio sijalielewa kwa mkao wa madame president kutokana na uwekaji wa mikono hapo kwenye meza.
View attachment 2901910
Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
Kwahio vijambio vyetu haviko salama? [emoji23][emoji23]Tena hapo pembeni ya samia kuna kalamu kabisa, si ajabu ametoka kusaini makubaliano ya kutoa ruksa tutafunane vinyeo kikamilifu.
Asante sana samia, hakikisha unatii na kufuata maelekezo yote uliyopewa na bosi wako papa.
Roma ikisema imesema. Vijambio.
cocastic
Waraka wa maaskofu ulishaweka wazi msimamo juu ya ugawaji wa bandari za Tanganyika bure kwa waarabu...Wajuzi wa usomaji wa picha na matukio, hapa namuona madame president ameketi pamoja na ndugu Papa ila kuna tukio sijalielewa kwa mkao wa madame president kutokana na uwekaji wa mikono hapo kwenye meza.
View attachment 2901910
Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
Wajuzi wa usomaji wa picha na matukio, hapa namuona madame president ameketi pamoja na ndugu Papa ila kuna tukio sijalielewa kwa mkao wa madame president kutokana na uwekaji wa mikono hapo kwenye meza.
View attachment 2901910
Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. kama ni diplomasia ya kuifungua nchi, kuitangaza, huyu mama kafanya kuliko kikwete, popote anapoona anaweza kwenda akaitangaza nchi, ameenda.Wajuzi wa usomaji wa picha na matukio, hapa namuona madame president ameketi pamoja na ndugu Papa ila kuna tukio sijalielewa kwa mkao wa madame president kutokana na uwekaji wa mikono hapo kwenye meza.
View attachment 2901910
Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
Mama asingeenda nakukutana na huyu jamaa yani anazingua hadi anawaona promo kina Bwana Utam international forum kutudhibiti kwenye mada tukabarikiwe.Wajuzi wa usomaji wa picha na matukio, hapa namuona madame president ameketi pamoja na ndugu Papa ila kuna tukio sijalielewa kwa mkao wa madame president kutokana na uwekaji wa mikono hapo kwenye meza.
View attachment 2901910
Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
Pure SatanismWajuzi wa usomaji wa picha na matukio, hapa namuona madame president ameketi pamoja na ndugu Papa ila kuna tukio sijalielewa kwa mkao wa madame president kutokana na uwekaji wa mikono hapo kwenye meza.
View attachment 2901910
Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
nakaziaAkili zako za Mende, kwani huwezi kuwaza mambo ya maana zaidi ya huo ushoga wako? Samia ni rais wa nchi lazima papa amheshimu rais Samia. Mambo ya ushoga kawaagiza makasisi wakatoliki tuu hajaagiza makasisi wa madhehebu yasiyo ya katoliki. Hakuna muislam yeyote huagizwa na papa kufuata mafundisho yake hata awe mtoto wa madrasa Papa hana amri wala uwezo wa kumpa amri.
Ndio ajue kwamba Uislam ulitengenezwa na kanisa KatolikiWajuzi wa usomaji wa picha na matukio, hapa namuona madame president ameketi pamoja na ndugu Papa ila kuna tukio sijalielewa kwa mkao wa madame president kutokana na uwekaji wa mikono hapo kwenye meza.
View attachment 2901910
Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
Asingeweza kuweka sauti kwani hiyo ilikuwa faragha ya watu wawili tu, vinginevyo ungewaona na akina Makamba.Ila binadamu Kwa uchonganishi hamjambo.
Aliepiga picha,c angetuwekea sauti ya maongezi.
👆Mambo ya ushoga kawaagiza makasisi wakatoliki tuu hajaagiza makasisi wa madhehebu yasiyo ya katoliki.