Picha ya vatican: Nini kinaendelea hapa?

Picha ya vatican: Nini kinaendelea hapa?

Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
Muonekano huu ni sayansi kweli kweli.

img_20240212_180006-jpg.2901910

Sidhani kama nitakosea nikisema picha hii imepigwa na Mwandishi wa Vatican?


Na kama ndiyo hivyo, basi wameweza kutengeneza narrative hapa. Kwao, poa.

Yaani, muonekano huo, kwa maoni yangu, ni kama mwanafunzi aliyeenda kuonana na Mwalimu mkuu, au Bosi wake..

Anyways, zipo picha nyingine zenye muonekano 'rafiki'


...eti anaapishwa 😅 ehe, kwa maan hiyo ni mpaka 2030? Au?
 
Wanabishania pale St. Joseph pabomolewe apewe mwekezaji au hapana.

Pale mama Abdul anasema investa yes yes ,

Papa anasema investa no no.
 
Tena hapo pembeni ya samia kuna kalamu kabisa, si ajabu ametoka kusaini makubaliano ya kutoa ruksa tutafunane vinyeo kikamilifu.

Asante sana samia, hakikisha unatii na kufuata maelekezo yote uliyopewa na bosi wako papa.

Roma ikisema imesema.

cocastic
 
Tena hapo pembeni ya samia kuna kalamu kabisa, si ajabu ametoka kusaini makubaliano ya kutoa ruksa tutafunane vinyeo kikamilifu.

Asante sana samia, hakikisha unatii na kufuata maelekezo yote uliyopewa na bosi wako papa.

Roma ikisema imesema. Vijambio.

cocastic
Kwahio vijambio vyetu haviko salama? [emoji23][emoji23]

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Wajuzi wa usomaji wa picha na matukio, hapa namuona madame president ameketi pamoja na ndugu Papa ila kuna tukio sijalielewa kwa mkao wa madame president kutokana na uwekaji wa mikono hapo kwenye meza.

View attachment 2901910

Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
Waraka wa maaskofu ulishaweka wazi msimamo juu ya ugawaji wa bandari za Tanganyika bure kwa waarabu...
 
Wajuzi wa usomaji wa picha na matukio, hapa namuona madame president ameketi pamoja na ndugu Papa ila kuna tukio sijalielewa kwa mkao wa madame president kutokana na uwekaji wa mikono hapo kwenye meza.

View attachment 2901910

Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
 
Wajuzi wa usomaji wa picha na matukio, hapa namuona madame president ameketi pamoja na ndugu Papa ila kuna tukio sijalielewa kwa mkao wa madame president kutokana na uwekaji wa mikono hapo kwenye meza.

View attachment 2901910

Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. kama ni diplomasia ya kuifungua nchi, kuitangaza, huyu mama kafanya kuliko kikwete, popote anapoona anaweza kwenda akaitangaza nchi, ameenda.
 
Wajuzi wa usomaji wa picha na matukio, hapa namuona madame president ameketi pamoja na ndugu Papa ila kuna tukio sijalielewa kwa mkao wa madame president kutokana na uwekaji wa mikono hapo kwenye meza.

View attachment 2901910

Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
Mama asingeenda nakukutana na huyu jamaa yani anazingua hadi anawaona promo kina Bwana Utam international forum kutudhibiti kwenye mada tukabarikiwe.
 
Akili zako za Mende, kwani huwezi kuwaza mambo ya maana zaidi ya huo ushoga wako? Samia ni rais wa nchi lazima papa amheshimu rais Samia. Mambo ya ushoga kawaagiza makasisi wakatoliki tuu hajaagiza makasisi wa madhehebu yasiyo ya katoliki. Hakuna muislam yeyote huagizwa na papa kufuata mafundisho yake hata awe mtoto wa madrasa Papa hana amri wala uwezo wa kumpa amri.
nakazia
 
Wajuzi wa usomaji wa picha na matukio, hapa namuona madame president ameketi pamoja na ndugu Papa ila kuna tukio sijalielewa kwa mkao wa madame president kutokana na uwekaji wa mikono hapo kwenye meza.

View attachment 2901910

Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
Ndio ajue kwamba Uislam ulitengenezwa na kanisa Katoliki
 
Back
Top Bottom