TULISTAHILI KUMUABUDU MUNGU MMOJA LAKINI UKWELI NI KWAMBA HATUFANYI IVYO.mkuu haya maandiko ni kwemye biblia tu au hata quaran na kama wote tunaabudu Mungu moja kwa nini maandiko yatofautiane kati ya dini na dini?
Nisaidieni mawasiliano ya huyo mwenye top ya njano nipunguze wasioolewa mtaani.Picha ya Wasichana kwenye "KONGAMANO LA WASIOOLEWA" lililoandaliwa na Mtumishi wa Mungu Colle Karyn, inaelezwa umri huwa ni miongoni mwa vitu vinavyowanyima usingizi na hupata wasiwasi wanapofikisha miaka 25 hawajaolewa.
Jambo jingine ambalo huwanyima usingizi Wasichana wengi ni maswali ya "unaolewa lini" kutoka kwenye Jamii zinazowazunguka. via BBC
View attachment 769257
Umethibitishaje?Kweli kabisaaa wala si uongo..
Hahaaa.Inategemea ntu na ntu. Mimi kukuoa lazima. Labda wewe tu unikimbie kanisani.
Sema kahaba wako yupo hapo hao asilimia 95 ni Watoto wa kimboka aka makahabaLinafanyika wapi aisee?nikacheze maeneo hayoo!
Mke wangu inawezekana yupo hapo!
Asubuhi wakati nasikiliza dondoo za magazeti nikasikia kuna bride amemkimbia bridegroom kanisani. Nikawa najisemea kimya kimya taarifa kama hizi znapunguza mood ya kuoa.Hahaaa.
Duuu..usiombe yakukute.Asubuhi wakati nasikiliza dondoo za magazeti nikasikia kuna bride amemkimbia bridegroom kanisani. Nikawa najisemea kimya kimya taarifa kama hizi znapunguza mood ya kuoa.
hahahaha kumbe ni nini?Hapo ndo huwa naamini uzuri wa mwanamke sio sura!
Unaweza ukarara mberee na shingo ya mtu [emoji2][emoji2][emoji2]Duuu..usiombe yakukute.
Nnaona washageuzwa fursa. Hauchelewi kusikia hilo kongamano kulikuwa na kiingilio cha elfu 10-30 kumsikiliza main speaker akiongeaPicha ya Wasichana kwenye "KONGAMANO LA WASIOOLEWA" lililoandaliwa na Mtumishi wa Mungu Colle Karyn, inaelezwa umri huwa ni miongoni mwa vitu vinavyowanyima usingizi na hupata wasiwasi wanapofikisha miaka 25 hawajaolewa.
Jambo jingine ambalo huwanyima usingizi Wasichana wengi ni maswali ya "unaolewa lini" kutoka kwenye Jamii zinazowazunguka. via BBC
View attachment 769257
Afu ukute ye mwenyewe hajaolewa..ttz women are raised to aspire marriage contrary to men wkt ndoa ni ya wawiliNnaona washageuzwa fursa. Hauchelewi kusikia hilo kongamano kulikuwa na kiingilio cha elfu 10-30 kumsikiliza main speaker akiongea
Tatizo limeletwa na sis wenyewe tunachagua mno,Waliochangia wengine wavulana kukacha kuoa ni Wazazi wamewageuza mabinti zao mitaji yani hawakupi mke bila mamilioni ya shilingiwatu wanapenda vya kimboka, na kisumu buku mbili tu hamna shida-unakuwa free na stress
Nyotahahahaha kumbe ni nini?
ahaaa.., nikajua mnataka kusema ni wowowowoNyota