ππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈ mm hii nch bhana dah! Bora mkolon arud tuOnly in TZ huyu ni waziri wetu wa ulinzi kutumia hadubini hajui halafu ni PHd
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈ mm hii nch bhana dah! Bora mkolon arud tuOnly in TZ huyu ni waziri wetu wa ulinzi kutumia hadubini hajui halafu ni PHd
Hii pia ni kufanya kinyume na maumbileπNyuki wa Mama mpo?
Kama mnavyomuona kwenye picha Waziri wa Ulinzi akiwa beneti na Mama wakiangalia kwa makini hicho walichoambiwa ni cha kutazama katika ufunguzi wa zoezi la medani katika kuazimisha miaka 60 ya JWTZ, Msata-Pwani
Kwa utaalamu mkubwa alionao Bi Stergomena Tax akatumia kifaa tofauti na kwa ustadi mkubwa sana. Hata alikiona kweli alichokuwa anakiangalia?
Jambo ukiwa ulijui si unauliza tu, au nimekosea nyuki wa Mama mwenzangu Lucas Mwashambwa?
Narudisha mpira kwenu nyuk
Hii pia ni kufanya kinyume na maumbileπNyuki wa Mama mpo?
Kama mnavyomuona kwenye picha Waziri wa Ulinzi akiwa beneti na Mama wakiangalia kwa makini hicho walichoambiwa ni cha kutazama katika ufunguzi wa zoezi la medani katika kuazimisha miaka 60 ya JWTZ, Msata-Pwani
Kwa utaalamu mkubwa alionao Bi Stergomena Tax akatumia kifaa tofauti na kwa ustadi mkubwa sana. Hata alikiona kweli alichokuwa anakiangalia?
Jambo ukiwa ulijui si unauliza tu, au nimekosea nyuki wa Mama mwenzangu Lucas Mwashambwa?
Narudisha mpira kwenu nyuk
Ina Mbele na NyumaSio kwamba huwa inatumika mbele na nyuma?
Jamani!!! Macho nyuma kioo mbele! Eti huyo ndo waziri wetu wa ulinzi!Nyuki wa Mama mpo?
Kama mnavyomuona kwenye picha Waziri wa Ulinzi akiwa beneti na Mama wakiangalia kwa makini hicho walichoambiwa ni cha kutazama katika ufunguzi wa zoezi la medani katika kuazimisha miaka 60 ya JWTZ, Msata-Pwani
Kwa utaalamu mkubwa alionao Bi Stergomena Tax akatumia kifaa tofauti na kwa ustadi mkubwa sana. Hata alikiona kweli alichokuwa anakiangalia?
Jambo ukiwa ulijui si unauliza tu, au nimekosea nyuki wa Mama mwenzangu Lucas Mwashambwa?
Narudisha mpira kwenu nyuk
Ni kweli kabisaWalitakiwa kumuelekeza jinsi ya kukitumia kuwa PhD haimaanishi unajua kutumia kila kitu.
Hahahahaha kama kuna taarifa wanategemea kutoka kwake imekula kwaoMh Waziri katupiga kamba hapa. Haoni kitu bila shaka
Kuna mtu macho yameziba tundu lotw na hataona kitubalivyo na macho makubwaNyuki wa Mama mpo?
Kama mnavyomuona kwenye picha Waziri wa Ulinzi akiwa beneti na Mama wakiangalia kwa makini hicho walichoambiwa ni cha kutazama katika ufunguzi wa zoezi la medani katika kuazimisha miaka 60 ya JWTZ, Msata-Pwani
Kwa utaalamu mkubwa alionao Bi Stergomena Tax akatumia kifaa tofauti na kwa ustadi mkubwa sana. Hata alikiona kweli alichokuwa anakiangalia?
Jambo ukiwa ulijui si unauliza tu, au nimekosea nyuki wa Mama mwenzangu Lucas Mwashambwa?
Narudisha mpira kwenu nyuk
Ukiigeuza nyuma unachokiangalia kitaonekana kidogo sana na mbali mara dufu.Sio kwamba huwa inatumika mbele na nyuma?
Nimecheka kijinga sana, wenda kifaa chake kopo na uwezo wa kutumika pande zote mbili, dunia inaenda kasi , amepatia kama Rais wa N.Korea , mwacheni mama wa watu, tuishi humoNyuki wa Mama mpo?
Kama mnavyomuona kwenye picha Waziri wa Ulinzi akiwa beneti na Mama wakiangalia kwa makini hicho walichoambiwa ni cha kutazama katika ufunguzi wa zoezi la medani katika kuazimisha miaka 60 ya JWTZ, Msata-Pwani
Kwa utaalamu mkubwa alionao Bi Stergomena Tax akatumia kifaa tofauti na kwa ustadi mkubwa sana. Hata alikiona kweli alichokuwa anakiangalia?
Jambo ukiwa ulijui si unauliza tu, au nimekosea nyuki wa Mama mwenzangu Lucas Mwashambwa?
Narudisha mpira kwenu nyuk
Hii koment nimejikuta naangua kicheko , watu mpaka wamegeukia meza yangu , kuitetea ccm na watu wake ni kazi sana aiseee ,Mungu anakuonamipiga picha na mtoa hoja wameingizwa chaka vizuri sana...
mambo ya kiusalama hupumbaza sana maadui π
ndivyo ambavyo maofisa wa jwz wanavyowacheka wale mnao ona ati hiyo kitu imegeuzwa πHii koment nimejikuta naangua kicheko , watu mpaka wamegeukia meza yangu , kuitetea ccm na watu wake ni kazi sana aiseee ,Mungu anakuona
Wenda umri pia unachangia, mfano Prof Kabudi na sheria zake leo nikimtungia mtiani hachomoi , lazima nimlambe sup, kama anabisha nimtungie kama atachomoa , wazee wanatakiwa kutulia ila hawatakiNadhani ndiyo alikuwa anakisogeza mahali pake kwa ajali kamerq ikamnasa.
Namfahamu huyo mama si mshamba wa mambo hayo hata kidogo