Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisadada ake akiachika. aishi kwako au? uo mzigo abebe nani?? its fun and games ila omba isitokee kwenye familia yako.
kwa ground kugumu sana. hata ukiwa na pesa. single parent wana challenges money can't solve na wengi hiv positive for a reason. ajichanganye
AnafrwWewe ni ke au me.
Kama ni me kwanini unamuonea wivu dada ako?
unawaza jinsi ya kuanza kukemea uchafu? we jamaa mzima kweli?Nawaza namna ya kumuanza
Hujajibu swali wewe ni ke au meMi simuonei wivu ame zingua kwa jinsi nilivyo kuwa na ishi nae sikutarajia kuona akifanya hivyo
kaka ni kama baba ko nazan unajua nini cha kufanya kama baba.Ndugu zangu leo sister alikuja kunitembbelea home nikamuomba simu nipige picha maana camera yake ninzuri.
Sasa nimemaliza kupiga picha nika jirushia na kuzifuta nika enda kwenye recycle bin nikzifute jumla ndipo nikakuta mambo yaliyo nitoa kwenye mood.
Maana nilikuta picja kama kumi za dada yangu akiwa na jamaa chumbani, wakilana mate ambae sio shemeji yangu ninae mjua duh,
Nimeishiwa na pozi nikaanza kumuwaza alivyo kuwa mstaarabu na kunipa ushauri wa kubaki njia kuu, Kumbe yeye ana zagamuliwa nje ya ndoa yake.
Nikamrudishia simu lakini nimebaki namuwaza dada yangu anavyo msaliti shemeji yangu yaani roho inaniuma kama nasalitiwa mimi,
Ushauri wenu ninawaza nimwabie au nikae kimya sina hata jibu.
unamuogopa sister yako?Ntaangalia namna mkuu
Nadhani ulichokitaka umekipata sasa. Unawezaje kupekua simu ya dada yako hadi mbali kote huko? Siku zote ukipekua unapata vilivyofichwa.Ndugu zangu leo sister alikuja kunitembbelea home nikamuomba simu nipige picha maana camera yake ninzuri.
Sasa nimemaliza kupiga picha nika jirushia na kuzifuta nika enda kwenye recycle bin nikzifute jumla ndipo nikakuta mambo yaliyo nitoa kwenye mood.
Maana nilikuta picja kama kumi za dada yangu akiwa na jamaa chumbani, wakilana mate ambae sio shemeji yangu ninae mjua duh,
Nimeishiwa na pozi nikaanza kumuwaza alivyo kuwa mstaarabu na kunipa ushauri wa kubaki njia kuu, Kumbe yeye ana zagamuliwa nje ya ndoa yake.
Nikamrudishia simu lakini nimebaki namuwaza dada yangu anavyo msaliti shemeji yangu yaani roho inaniuma kama nasalitiwa mimi,
Ushauri wenu ninawaza nimwabie au nikae kimya sina hata jibu.
inaonekana kichwani ni zero kabisa kwahyo wewe upoteyari ndugu yako aende njia ambayo si sahihi wakati unajua anapotea. je, ukisikia taarifa za mauaji kwa mapanga kwa wivu wa mapenzi na alieuwawa ni dada ako utajisikiaje na ulikua na nafasi ya kumweleza kwa nafasi yako au napo utaendelea na shughuli zako ukidai mambo ya watu hayakuhusu? samahan kama kunasehem nimetumia lugha kali.Hakuna mke wa mtu ambaye haliwi siku hizi so potezea usijipe mda na mambo ya watu
KATAA NDOAAinaonekana kichwani ni zero kabisa kwahyo wewe upoteyari ndugu yako aende njia ambayo si sahihi wakati unajua anapotea. je, ukisikia taarifa za mauaji kwa mapanga kwa wivu wa mapenzi na alieuwawa ni dada ako utajisikiaje na ulikua na nafasi ya kumweleza kwa nafasi yako au napo utaendelea na shughuli zako ukidai mambo ya watu hayakuhusu? samahan kama kunasehem nimetumia lugha kali.
wala hujatumia lugha kali, ulichomwambia huyo mjinga mmoja ni sahihi kabisa.inaonekana kichwani ni zero kabisa kwahyo wewe upoteyari ndugu yako aende njia ambayo si sahihi wakati unajua anapotea. je, ukisikia taarifa za mauaji kwa mapanga kwa wivu wa mapenzi na alieuwawa ni dada ako utajisikiaje na ulikua na nafasi ya kumweleza kwa nafasi yako au napo utaendelea na shughuli zako ukidai mambo ya watu hayakuhusu? samahan kama kunasehem nimetumia lugha kali.