Picha za dada na mchepuko wake zimenivuruga

Picha za dada na mchepuko wake zimenivuruga

K
dada ake akiachika. aishi kwako au? uo mzigo abebe nani?? its fun and games ila omba isitokee kwenye familia yako.
kwa ground kugumu sana. hata ukiwa na pesa. single parent wana challenges money can't solve na wengi hiv positive for a reason. ajichanganye
Kweli kabisa
 
Ndugu zangu leo sister alikuja kunitembbelea home nikamuomba simu nipige picha maana camera yake ninzuri.

Sasa nimemaliza kupiga picha nika jirushia na kuzifuta nika enda kwenye recycle bin nikzifute jumla ndipo nikakuta mambo yaliyo nitoa kwenye mood.
Maana nilikuta picja kama kumi za dada yangu akiwa na jamaa chumbani, wakilana mate ambae sio shemeji yangu ninae mjua duh,

Nimeishiwa na pozi nikaanza kumuwaza alivyo kuwa mstaarabu na kunipa ushauri wa kubaki njia kuu, Kumbe yeye ana zagamuliwa nje ya ndoa yake.

Nikamrudishia simu lakini nimebaki namuwaza dada yangu anavyo msaliti shemeji yangu yaani roho inaniuma kama nasalitiwa mimi,

Ushauri wenu ninawaza nimwabie au nikae kimya sina hata jibu.
kaka ni kama baba ko nazan unajua nini cha kufanya kama baba.
 
mkuu ebu nikupe ishu iliyotokeaga home kwetu, sister yangu alikujaga likizo na mume wake home, sasa sijui walizinguana nn huko ndani tupo nje na mshua na bi mkubwa mara tunasikia watu wanajibizana huko ndani, mara sister anatoka huku anamrushia mumewe maneno ya shombo, namuangalia mshua yupo kimya nageuka kwa mother naye kimya, nilisimama nikamwambia sister kwa ukali, dada, kama unamnyanyasaga mumeo kamnyanyasie huko huko kwenu sio hapa, na ukiendelea kuongea huo upuuzi wako kwa mumeo kesho mnaondoka hapa. sister aliniangalia kwa mshangao hakuamini alichokuwa anasikia kutoka kwangu maana tulipishana umri sana, badaye mshua na bi mkubwa wakaniita mshua akaniambia mwanangu leo umefanya kitu cha kijasiri sana, akanipa mkono, bi mkubwa akanipa buku tano akaniambia kesho nenda mjini ukatembee umenikosha sana mwanangu.

kwa hyo mkuu ulitakiwa baada ya kuona hzo mambo umkemee sister hapo hapo.
 
Ndugu zangu leo sister alikuja kunitembbelea home nikamuomba simu nipige picha maana camera yake ninzuri.

Sasa nimemaliza kupiga picha nika jirushia na kuzifuta nika enda kwenye recycle bin nikzifute jumla ndipo nikakuta mambo yaliyo nitoa kwenye mood.
Maana nilikuta picja kama kumi za dada yangu akiwa na jamaa chumbani, wakilana mate ambae sio shemeji yangu ninae mjua duh,

Nimeishiwa na pozi nikaanza kumuwaza alivyo kuwa mstaarabu na kunipa ushauri wa kubaki njia kuu, Kumbe yeye ana zagamuliwa nje ya ndoa yake.

Nikamrudishia simu lakini nimebaki namuwaza dada yangu anavyo msaliti shemeji yangu yaani roho inaniuma kama nasalitiwa mimi,

Ushauri wenu ninawaza nimwabie au nikae kimya sina hata jibu.
Nadhani ulichokitaka umekipata sasa. Unawezaje kupekua simu ya dada yako hadi mbali kote huko? Siku zote ukipekua unapata vilivyofichwa.

Ova
 
Hakuna mke wa mtu ambaye haliwi siku hizi so potezea usijipe mda na mambo ya watu
inaonekana kichwani ni zero kabisa kwahyo wewe upoteyari ndugu yako aende njia ambayo si sahihi wakati unajua anapotea. je, ukisikia taarifa za mauaji kwa mapanga kwa wivu wa mapenzi na alieuwawa ni dada ako utajisikiaje na ulikua na nafasi ya kumweleza kwa nafasi yako au napo utaendelea na shughuli zako ukidai mambo ya watu hayakuhusu? samahan kama kunasehem nimetumia lugha kali.
 
inaonekana kichwani ni zero kabisa kwahyo wewe upoteyari ndugu yako aende njia ambayo si sahihi wakati unajua anapotea. je, ukisikia taarifa za mauaji kwa mapanga kwa wivu wa mapenzi na alieuwawa ni dada ako utajisikiaje na ulikua na nafasi ya kumweleza kwa nafasi yako au napo utaendelea na shughuli zako ukidai mambo ya watu hayakuhusu? samahan kama kunasehem nimetumia lugha kali.
KATAA NDOAA
 
inaonekana kichwani ni zero kabisa kwahyo wewe upoteyari ndugu yako aende njia ambayo si sahihi wakati unajua anapotea. je, ukisikia taarifa za mauaji kwa mapanga kwa wivu wa mapenzi na alieuwawa ni dada ako utajisikiaje na ulikua na nafasi ya kumweleza kwa nafasi yako au napo utaendelea na shughuli zako ukidai mambo ya watu hayakuhusu? samahan kama kunasehem nimetumia lugha kali.
wala hujatumia lugha kali, ulichomwambia huyo mjinga mmoja ni sahihi kabisa.
 
Back
Top Bottom