Picha za dada na mchepuko wake zimenivuruga

Picha za dada na mchepuko wake zimenivuruga

Ukijali biashara zako utapungukiwa nini wewe?!
 
Ndugu zangu leo sister alikuja kunitembelea home nikamuomba simu nipige picha maana camera yake ni nzuri.

Sasa nimemaliza kupiga picha nikajirushia na kuzifuta nikaenda kwenye recycle bin nikazifute jumla ndipo nikakuta mambo yaliyo nitoa kwenye mood.

Maana nilikuta picha kama kumi za dada yangu akiwa na jamaa chumbani, wakilana mate ambae sio shemeji yangu ninayemjua duh.

Nimeishiwa na pozi nikaanza kumuwaza alivyo kuwa mstaarabu na kunipa ushauri wa kubaki njia kuu, Kumbe yeye anazagamuliwa nje ya ndoa yake.

Nikamrudishia simu lakini nimebaki namuwaza dada yangu anavyo msaliti shemeji yangu yaani roho inaniuma kama nasalitiwa mimi.

Ushauri wenu ninawaza nimwabie au nikae kimya sina hata jibu.
Hakuna mwanamke wa pekee yko. Ww ungefoward hzo picha kwenye simu yko. Next day ungemtumia dada yko tena.
 
Dah wanaume tunapunguwa skuizi wewe kuliwa aliwe dada ako afu kuumia uumie wewe
Ni kweli wanaume tunapungua...kama mtu badala ya kuandika "siku hizi" anaandika "skuizi" utasema huyo naye ni mwanamme kweli!?!?
 
Akiachika utakuwa tayari kumpokea nyumbani? pambana na maisha Yako achana naya wengine
 
Mkuu kwahiyo unataka ushauri ili ufanye nini labda, mind your busness fala ni huyo shemeji yako alieamua kujilipua kuweka tapeli ndani.
KATAA NDOA
 
Ndugu zangu leo sister alikuja kunitembelea home nikamuomba simu nipige picha maana camera yake ni nzuri.

Sasa nimemaliza kupiga picha nikajirushia na kuzifuta nikaenda kwenye recycle bin nikazifute jumla ndipo nikakuta mambo yaliyo nitoa kwenye mood.

Maana nilikuta picha kama kumi za dada yangu akiwa na jamaa chumbani, wakilana mate ambae sio shemeji yangu ninayemjua duh.

Nimeishiwa na pozi nikaanza kumuwaza alivyo kuwa mstaarabu na kunipa ushauri wa kubaki njia kuu, Kumbe yeye anazagamuliwa nje ya ndoa yake.

Nikamrudishia simu lakini nimebaki namuwaza dada yangu anavyo msaliti shemeji yangu yaani roho inaniuma kama nasalitiwa mimi.

Ushauri wenu ninawaza nimwabie au nikae kimya sina hata jibu.
Kataa ndoa tuchukue point 3 tena
 
kama unataka uwe chanzo cha kero kwa wazazi wako mwambie shemeji yako, ningekuwa mm ningemwita sister nampeleka sehemu tulivu tunapata juice then nampa makavu na mwisho namwambia uamuzi ni wake kuacha au kuendelea ila akija kufumwa na kuvurumishwa na mumewe nisimwone karudi kwa wazazi aende kwa mchepuko.

ephen_ una kaka weye?
ushauri wako uko vizuri ila nimecheka hapo
asimwone karudi kwa wazazi wake kwani ni kwake pale
 
Piga picha nawewe mpe simu yako afute azikute iwe ngoma droo
Kwanini uteseke na mawazo wewe peke yako?
 
Ndugu zangu leo sister alikuja kunitembelea home nikamuomba simu nipige picha maana camera yake ni nzuri.

Sasa nimemaliza kupiga picha nikajirushia na kuzifuta nikaenda kwenye recycle bin nikazifute jumla ndipo nikakuta mambo yaliyo nitoa kwenye mood.

Maana nilikuta picha kama kumi za dada yangu akiwa na jamaa chumbani, wakilana mate ambae sio shemeji yangu ninayemjua duh.

Nimeishiwa na pozi nikaanza kumuwaza alivyo kuwa mstaarabu na kunipa ushauri wa kubaki njia kuu, Kumbe yeye anazagamuliwa nje ya ndoa yake.

Nikamrudishia simu lakini nimebaki namuwaza dada yangu anavyo msaliti shemeji yangu yaani roho inaniuma kama nasalitiwa mimi.

Ushauri wenu ninawaza nimwabie au nikae kimya sina hata jibu.
Sasa unashangaa nini, muombe basi Shemeji yako simu yake kisha uende kwenye recycle bin yake kama hujakuta kashikishwa ukuta akiliwa na wenzake. Dunia hii ina watu wa hajabu sana. Dar mtu nyumbani anaitwa baba, akitoka tu kuingia mlango wa jirani basi anakuwa mke wa mtu na anaminywa pumbu mpaka anaguna, akirudi nyumbani kachokaaaaa ananuka mimavi tu 😡
 
mkuu ebu nikupe ishu iliyotokeaga home kwetu, sister yangu alikujaga likizo na mume wake home, sasa sijui walizinguana nn huko ndani tupo nje na mshua na bi mkubwa mara tunasikia watu wanajibizana huko ndani, mara sister anatoka huku anamrushia mumewe maneno ya shombo, namuangalia mshua yupo kimya nageuka kwa mother naye kimya, nilisimama nikamwambia sister kwa ukali, dada, kama unamnyanyasaga mumeo kamnyanyasie huko huko kwenu sio hapa, na ukiendelea kuongea huo upuuzi wako kwa mumeo kesho mnaondoka hapa. sister aliniangalia kwa mshangao hakuamini alichokuwa anasikia kutoka kwangu maana tulipishana umri sana, badaye mshua na bi mkubwa wakaniita mshua akaniambia mwanangu leo umefanya kitu cha kijasiri sana, akanipa mkono, bi mkubwa akanipa buku tano akaniambia kesho nenda mjini ukatembee umenikosha sana mwanangu.

kwa hyo mkuu ulitakiwa baada ya kuona hzo mambo umkemee sister hapo hapo.
Umenikumbusha kaka zangu. Waliniambiaga ukizingua usitegemee tutaja kukutetea, tukijua we mwingi tutakukung'uta na watoto wako wanaona, hatutaki ujinga. Nilishika adabu mameeeennnn....
 
Umenikumbusha kaka zangu. Waliniambiaga ukizingua usitegemee tutaja kukutetea, tukijua we mwingi tutakukung'uta na watoto wako wanaona, hatutaki ujinga. Nilishika adabu mameeeennnn....
hawa ndo mabro sasa, ukishaolewa heshimu ndoa, sio kila siku unamzingua mumeo kisa una kwenu, ukishaolewa kwenu ni huko sio huku, hakuna kutetea ujinga, et sis amtolee mumewe maneno ya shombo mbele yangu? sikubali hata kama mume ndo mwenye makosa, kuna utaratibu wa kufuata.
 
hawa ndo mabro sasa, ukishaolewa heshimu ndoa, sio kila siku unamzingua mumeo kisa una kwenu, ukishaolewa kwenu ni huko sio huku, hakuna kutetea ujinga, et sis amtolee mumewe maneno ya shombo mbele yangu? sikubali hata kama mume ndo mwenye makosa, kuna utaratibu wa kufuata.
Haina shida mzazi, still wire imetusuuza roho, tunakituliza
 
niliwahi kujiambia...
"There are no saints,good and evil are two sides of the same coin"
 
Cha ajabu ni kipi hapo??
Umwambie nani na kwa nini??

Nadhani kakupa simu kwakua anakuamini, japo pia wanawake sio wazuri wa kuficha vitu kwenye simu.
 
Back
Top Bottom