Picha za dada na mchepuko wake zimenivuruga

Picha za dada na mchepuko wake zimenivuruga

Ndugu zangu leo sister alikuja kunitembbelea home nikamuomba simu nipige picha maana camera yake ninzuri.

Sasa nimemaliza kupiga picha nika jirushia na kuzifuta nika enda kwenye recycle bin nikzifute jumla ndipo nikakuta mambo yaliyo nitoa kwenye mood.
Maana nilikuta picja kama kumi za dada yangu akiwa na jamaa chumbani, wakilana mate ambae sio shemeji yangu ninae mjua duh,

Nimeishiwa na pozi nikaanza kumuwaza alivyo kuwa mstaarabu na kunipa ushauri wa kubaki njia kuu, Kumbe yeye ana zagamuliwa nje ya ndoa yake.

Nikamrudishia simu lakini nimebaki namuwaza dada yangu anavyo msaliti shemeji yangu yaani roho inaniuma kama nasalitiwa mimi,

Ushauri wenu ninawaza nimwabie au nikae kimya sina hata jibu.
Kwani wewe hujawahi kuchepuka au unamuonea wivu dada yako? Pengine sio simu ya dada yako ni ya mkeo au mchumba wako
 
Haya mambo magumu sana, ukishakua mtoto wa kiume hata uwe na umri wa miaka minne, ukiona mambo yoyote ya kimahusiano kumhusu ndugu Yako wa kike hata awe anakaribia kustaafu, hua tunachefukwa balaa.

Shida ni Ile kujua, kama usingeona hizo picha heshima kwa dada ingebaki pale pale. Unatumia kwanza Kwa kuona hizo picha ( hata angekuja yupo na Shem wako, Bado isingekuacha bila mfadhaiko). Mbaya zaidi wewe umeona akiwa na mtu mwingine, lazima ikuvuruge zaidi.

Hauwezijua kwanini dada Yako kafikia hayo maamuzi ( sitetei Wala kutoa uhalali wa anachokifanya). Hii mioyo imebeba mambo mazito sana ni vile tu hatuna uwezo wa kufungua tuone yaliyomo kwenye vifua vya watu.

Hapo una mawili, umwambie au unyamaze kimya na usiseme Kwa mtu yeyote.

Na ukiamua kumwambia nenda straight bila kupindisha maneno kikubwa fikisha ujumbe wako Kwa staha. Akianza kuja juu na kurukaruka ndio unamkumbusha tukio la picha na jinsi ulivyouona ushahidi.

Itamsaidia siku ingine kutokufanya huo ujinga wa kupigapiga picha.

Usipomwambia haujui kesho simu itadondokea mikono ya nani na atafanya Nini na hizo picha.

Zima moto mapema kabla haujasambaa zaidi.

Kapeace fanya kupita na hapa utoe neno tafadhali, hii ligi ngumu sana.
 
Ilishawahi kutokea kwangu hapo nyuma kidogo...!

Nilimfungulia Sister angu facebook account, simu yake Ilikua inazingua, so nikamfungulia kupitia kwangu kwa Chrome then nika log in kwake, nikamwelekexa kidogo then nikamwacha a enjoy....!

Baada ya miaka kama 3, kukatokea shida kidogo kwa facebook app, nikawa siwezi ku log in, ikasema ngoja niingie kwa kutumia Chrome then baadaye ntarekebisha kuhusu app, coz kuna mtu muhimu wa nje nilijua atakua keshatuma message...!

Ku search facebook ikafunguka, chap nikaenda messenger nikagundua hii sio facebook yangu, nikakumbuka Miaka 3 nyuma nilimfungulia Account sister angu...!

Nikaanza kusoma messages, Lah...! Haula.,...!
Nikajikuta natetemeka siamini nachokiona, sister angu ni mkubwa sana kwangu, ndo alinilea mimi, naanza Maisha yangu nikitoka kwake, ni kama Mzazi hivi kwangu, kukuta chatting zake na Wanaume wengine nje ya Shemeji yangu kulinipa Shida sana, hafu sio mwanaume mmoja...!

Kwa miaka 3 hiyo keshaliwa na 3, kuna kama 4 wanalishia, 2 kawaelewa, mmoja nadhani siku yeye tu akiamua akale mzigo, mwingine ndo wanaweka mambo sawa...!

Hawa 2 ndo Damu hazikuendana nadhani, kila wakitupa sound zinatolewa Mbavuni, anawaambia waache kumsumbua...! Nika log out kwa account yake...! Nikaanza kumtafakari...!
Hakuna anachokosa, mme wake ni aina ya mtu akinunua Gari mpya yake, ujue atanunua mpya pia kwa mkewe, ana kila kitu.... Nikasema WHY....!?

Nikasema japo ni mkubwa kwangu nitamwita....! Wakati najiandaa kumwita kuna jambo likatokea sehemu yake ya biashara, kwa nje hutaona kama lina uhusiano na mambo ya kuchepuka, ila mimi nikaenda kufanya Uchunguzi nikapata picha, nikamwambia nataka tuongee, akakataa coz alihisi nataka kuongea nae nini hasa kwa tukio la pili...!

Nikamwambia kama atakataa kuonhea na mimi means anakataa Ujumbe wa Mungu kupitia mimi... (Sio mlokole na Kanisani niliasi)
Akakubari...!

Tukaonana, nikaanzq kumpa Makavu yake mwanzo Mwisho, nikamwambia umri huo ukiachika utaenda wapi...!?

Nilimsema sana, na ukweli mpaka leo huwa ananambia kikao changu na yeye kilibadirisha Maisha yake... Huwa ananishukuru...!

Binadamu ni Wabishi tu na ujuaji mwingi usio na Maana, wale wanawake walojitunza ujanani, wakiingia kwenye Ndoa, wakikutana na changamoto kidogo tu kwenye Ndoa, huwa wanafungua Mlango, Shetani anachofanya ni kuchochea tu hisia zao, na vile wenzetu wanatumia hisia zaidi, Shetani anakazia hapo, kitakachofata ni Mke wako atafunuliwa ovyo ovyo na Wanaume tofauti huku yy akiona hakuna tatizo coz hujui, sasa Mungu ana namna ya kusaidia Watu wake.....!

Niamini mimi Mungu anataka kumsaidia Dada ako kupitia wewe, wewe mwenyewe nadhani hata issue ya kupiga picha kwa simu ya Dada ako haikua planned...!

Muite Dada ako, ni Damu yako, achana na mawazo Negatively ya members hapa, wengine ni Wanawake walishaingia mkataba na Satan.

Mkanye, mwambie aache.... Mwambie asipoacha kuna kitu kibaya kitatokea... Then Mungu atamgusa, ataacha njia yake Mbaya..!

Mwambie afunge na Kuomba, ni kwa njia hiyo tu ndo Ndoa yake itakua salama...!
Shetani anaharibu Ndoa nyingi sasa katika ulimwengu wa Roho....!

Mlio kwenye Ndoa.....Bila kufunga, bila maombi.... Hamtatoboa....! Sisemi juu ya Ulokole.... Nasema wewe mwenyewe funga na kuomba....! Ukifunga na kuomba utakua karibu na Mungu, then yeye menyewe atakupa njia.....!

Mkuu...! Mkanye Sister ako, usiogope, mimi nilifanya hivyo na ilimsaidia....!
 
Tafuta iyo pussy shem 2 umpunuse pesa, sio anakula dada ovyo, ajakutana na ma bro wahuni kama sie,
 
yasiyokuhusu yasikushughulishe,na simu ukipewa fanya kile kitu ulichoiombea simu,usifanye zaidi ya hicho
Hujaelewa mimi najua kuna hizi simu za sasa ukifuta kitu kina hifadhiwa kwenye recycle bin kwa siku 30 ndio kina disappear ndio maana nikaenda kuzifuta kule ndio nika kutana na zakwake alizo zifutaga
 
Ilishawahi kutokea kwangu hapo nyuma kidogo...!

Nilimfungulia Sister angu facebook account, simu yake Ilikua inazingua, so nikamfungulia kupitia kwangu kwa Chrome then nika log in kwake, nikamwelekexa kidogo then nikamwacha a enjoy....!

Baada ya miaka kama 3, kukatokea shida kidogo kwa facebook app, nikawa siwezi ku log in, ikasema ngoja niingie kwa kutumia Chrome then baadaye ntarekebisha kuhusu app, coz kuna mtu muhimu wa nje nilijua atakua keshatuma message...!

Ku search facebook ikafunguka, chap nikaenda messenger nikagundua hii sio facebook yangu, nikakumbuka Miaka 3 nyuma nilimfungulia Account sister angu...!

Nikaanza kusoma messages, Lah...! Haula.,...!
Nikajikuta natetemeka siamini nachokiona, sister angu ni mkubwa sana kwangu, ndo alinilea mimi, naanza Maisha yangu nikitoka kwake, ni kama Mzazi hivi kwangu, kukuta chatting zake na Wanaume wengine nje ya Shemeji yangu kulinipa Shida sana, hafu sio mwanaume mmoja...!

Kwa miaka 3 hiyo keshaliwa na 3, kuna kama 4 wanalishia, 2 kawaelewa, mmoja nadhani siku yeye tu akiamua akale mzigo, mwingine ndo wanaweka mambo sawa...!

Hawa 2 ndo Damu hazikuendana nadhani, kila wakitupa sound zinatolewa Mbavuni, anawaambia waache kumsumbua...! Nika log out kwa account yake...! Nikaanza kumtafakari...!
Hakuna anachokosa, mme wake ni aina ya mtu akinunua Gari mpya yake, ujue atanunua mpya pia kwa mkewe, ana kila kitu.... Nikasema WHY....!?

Nikasema japo ni mkubwa kwangu nitamwita....! Wakati najiandaa kumwita kuna jambo likatokea sehemu yake ya biashara, kwa nje hutaona kama lina uhusiano na mambo ya kuchepuka, ila mimi nikaenda kufanya Uchunguzi nikapata picha, nikamwambia nataka tuongee, akakataa coz alihisi nataka kuongea nae nini hasa kwa tukio la pili...!

Nikamwambia kama atakataa kuonhea na mimi means anakataa Ujumbe wa Mungu kupitia mimi... (Sio mlokole na Kanisani niliasi)
Akakubari...!

Tukaonana, nikaanzq kumpa Makavu yake mwanzo Mwisho, nikamwambia umri huo ukiachika utaenda wapi...!?

Nilimsema sana, na ukweli mpaka leo huwa ananambia kikao changu na yeye kilibadirisha Maisha yake... Huwa ananishukuru...!

Binadamu ni Wabishi tu na ujuaji mwingi usio na Maana, wale wanawake walojitunza ujanani, wakiingia kwenye Ndoa, wakikutana na changamoto kidogo tu kwenye Ndoa, huwa wanafungua Mlango, Shetani anachofanya ni kuchochea tu hisia zao, na vile wenzetu wanatumia hisia zaidi, Shetani anakazia hapo, kitakachofata ni Mke wako atafunuliwa ovyo ovyo na Wanaume tofauti huku yy akiona hakuna tatizo coz hujui, sasa Mungu ana namna ya kusaidia Watu wake.....!

Niamini mimi Mungu anataka kumsaidia Dada ako kupitia wewe, wewe mwenyewe nadhani hata issue ya kupiga picha kwa simu ya Dada ako haikua planned...!

Muite Dada ako, ni Damu yako, achana na mawazo Negatively ya members hapa, wengine ni Wanawake walishaingia mkataba na Satan.

Mkanye, mwambie aache.... Mwambie asipoacha kuna kitu kibaya kitatokea... Then Mungu atamgusa, ataacha njia yake Mbaya..!

Mwambie afunge na Kuomba, ni kwa njia hiyo tu ndo Ndoa yake itakua salama...!
Shetani anaharibu Ndoa nyingi sasa katika ulimwengu wa Roho....!

Mlio kwenye Ndoa.....Bila kufunga, bila maombi.... Hamtatoboa....! Sisemi juu ya Ulokole.... Nasema wewe mwenyewe funga na kuomba....! Ukifunga na kuomba utakua karibu na Mungu, then yeye menyewe atakupa njia.....!

Mkuu...! Mkanye Sister ako, usiogope, mimi nilifanya hivyo na ilimsaidia....!
Shukran sana kwa mchango wako
 
Ndugu zangu leo sister alikuja kunitembelea home nikamuomba simu nipige picha maana camera yake ni nzuri.

Sasa nimemaliza kupiga picha nikajirushia na kuzifuta nikaenda kwenye recycle bin nikazifute jumla ndipo nikakuta mambo yaliyo nitoa kwenye mood.

Maana nilikuta picha kama kumi za dada yangu akiwa na jamaa chumbani, wakilana mate ambae sio shemeji yangu ninayemjua duh.

Nimeishiwa na pozi nikaanza kumuwaza alivyo kuwa mstaarabu na kunipa ushauri wa kubaki njia kuu, Kumbe yeye anazagamuliwa nje ya ndoa yake.

Nikamrudishia simu lakini nimebaki namuwaza dada yangu anavyo msaliti shemeji yangu yaani roho inaniuma kama nasalitiwa mimi.

Ushauri wenu ninawaza nimwabie au nikae kimya sina hata jibu.
Kaa kimya ndiyo. Ushaona wapi wivu kwa dada?

Dada ana hadhi ya mamako, ukikuta mamako anatoka na lijamaa ambalo siyo babako, utalia wivu au utatia neno ili ushauriwe na jamii?
 
Kuna makosa watu wangu wa karibu (walio nizidi umri) walikua wakiyafanya nlikua nawaona wajinga sana, awajiheshimu, wachoyo, na wabinafisi... ila sasa hvi nna miaka 30 nimeanza kuona walikua sawa
 
Back
Top Bottom