Picha za dada na mchepuko wake zimenivuruga

Ukijali biashara zako utapungukiwa nini wewe?!
 
Hakuna mwanamke wa pekee yko. Ww ungefoward hzo picha kwenye simu yko. Next day ungemtumia dada yko tena.
 
Dah wanaume tunapunguwa skuizi wewe kuliwa aliwe dada ako afu kuumia uumie wewe
Ni kweli wanaume tunapungua...kama mtu badala ya kuandika "siku hizi" anaandika "skuizi" utasema huyo naye ni mwanamme kweli!?!?
 
Akiachika utakuwa tayari kumpokea nyumbani? pambana na maisha Yako achana naya wengine
 
Mkuu kwahiyo unataka ushauri ili ufanye nini labda, mind your busness fala ni huyo shemeji yako alieamua kujilipua kuweka tapeli ndani.
KATAA NDOA
 
Kataa ndoa tuchukue point 3 tena
 
ushauri wako uko vizuri ila nimecheka hapo
asimwone karudi kwa wazazi wake kwani ni kwake pale
 
Piga picha nawewe mpe simu yako afute azikute iwe ngoma droo
Kwanini uteseke na mawazo wewe peke yako?
 
Sasa unashangaa nini, muombe basi Shemeji yako simu yake kisha uende kwenye recycle bin yake kama hujakuta kashikishwa ukuta akiliwa na wenzake. Dunia hii ina watu wa hajabu sana. Dar mtu nyumbani anaitwa baba, akitoka tu kuingia mlango wa jirani basi anakuwa mke wa mtu na anaminywa pumbu mpaka anaguna, akirudi nyumbani kachokaaaaa ananuka mimavi tu 😡
 
Umenikumbusha kaka zangu. Waliniambiaga ukizingua usitegemee tutaja kukutetea, tukijua we mwingi tutakukung'uta na watoto wako wanaona, hatutaki ujinga. Nilishika adabu mameeeennnn....
 
Umenikumbusha kaka zangu. Waliniambiaga ukizingua usitegemee tutaja kukutetea, tukijua we mwingi tutakukung'uta na watoto wako wanaona, hatutaki ujinga. Nilishika adabu mameeeennnn....
hawa ndo mabro sasa, ukishaolewa heshimu ndoa, sio kila siku unamzingua mumeo kisa una kwenu, ukishaolewa kwenu ni huko sio huku, hakuna kutetea ujinga, et sis amtolee mumewe maneno ya shombo mbele yangu? sikubali hata kama mume ndo mwenye makosa, kuna utaratibu wa kufuata.
 
Haina shida mzazi, still wire imetusuuza roho, tunakituliza
 
niliwahi kujiambia...
"There are no saints,good and evil are two sides of the same coin"
 
Cha ajabu ni kipi hapo??
Umwambie nani na kwa nini??

Nadhani kakupa simu kwakua anakuamini, japo pia wanawake sio wazuri wa kuficha vitu kwenye simu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…