Atakuwa anafikiria ile stock yake ya dhahabu anamuachia nani? Wazo la kufa linapotea hapo hapoWatu walioishi pamoja kwa muda wote huo huwa hawapishani sana kusepa. Soon Malkia nae ajali yake itafika. Kuna vitu atamis hususan zile story za kukumbushana ya ujanan kabla ya kulala usiku, upweke na kinga dhaifu kulingana na umri vitamwondoa mapema.
Inawezekana Malkia naye hatadumu, bond ya miaka 73 sio mchezo ati...Inasemekana mwili wa Prince watauhifadhi mpaka mke wake akifariki watawafanyia mazishi ya pamoja.
Inaelekea aliandaliwa kuwa mume wa Malkia. Alianza mafunzo ya kijeshi kambini ndipo mke wa King George alimuandikia barua kumuomba kuwapa guiding your watoto wake Elizabeth na Margaret. Walati huo Elizabeth alikua na miaka 13. Baada ya hiyo tour waliendelea kuandikiana barua.Huyu Kijana Philip ali-break vipi kasiri la King George hadi kumpata binti yake? kweli atakuwa alikuwa ni kijana Jasiri sana huyu.
Hakika.Sawa
Ujana moshi ukienda haurudi.
Alikuwa na mwanamke wa nguvu na yeye mwenyewe pia alikuwa ni mme wa nguvu. Wanaume wengi hupenda sana kuwatetea na kuwalinda wake zao wanapojua kuwa wanawake hao wanawategemea na kuwaheshimu; jamaa alimlinda sana malkia hata kama ni kweli yeye ndiye alikuwa anamtegemea malkia. Kwa sisi waswahili mwanamke akishapata shilingi moja zaidi yako au hata akidhani anaweza kuishi bila kukutegemea wewe anaaza kukuletea nyodo hadi unashindwa kuona kama una mke wa kutetea kweli. Jamaa kila siku alikuwa anajua ana mke, na alikuwa anakaa nyuma yake kuhakikisha mke wake yuko salama hata kama mke huyo alikuwa ndiye amiri jeshi mkuu.View attachment 1175074
Siku wanatangaza engagement yao 1947
View attachment 1175075
Picha ya kumbukumbu ya engagement
View attachment 1175076
View attachment 1175077
View attachment 1748000
Prince Philip and Queen Elizabeth II first met when she was just 13 years old.
After his boyhood school days were over, Philip enrolled as a naval cadet at the Royal Naval College at Dartmouth. This was where he met his future wife for the very first time.
During a 1939 royal visit to Dartmouth, Queen Elizabeth (that is, the present queen’s mother, the wife of George VI) asked if Philip would chaperone her two young daughters, princesses Elizabeth and Margaret, for the duration of the visit. Philip and the future Queen Elizabeth II began exchanging letters shortly afterwards, and a romance quickly bloomed.
Ni kweli kabisa, na Malkia alikua anajivunia kuwa na mume kama yeye.Alikuwa na mwanamke wa nguvu na yeye mwenyewe pia alikuwa ni mme wa nguvu. Wananume wengi hupenda sana kuwatetea na kuwalinda wake zaod wanapojua kuwa wanawake hao wanawategemea; jamaa alimrinda malkikia hata kama ni kweli yeye ndiye alikuwa anamtegemea malkia. Kwa sisi waswahili mwanamke akishapata shilingi moja zaidi yako au hata akidhani anaweza kuishi bila kukutegemea wewe anaaza kukuletea nyodo hadi unashindwa kuona kama una mke wa kutetea kweli. Jamaa kila siku alikuwa anajua ana mke, na alikuwa anakaa nyuma yake kuhakikisha mke wake yuko salama hata kama mke huyo alikuwa ndiye amiri jeshi mkuu.
Mama Maria Nyerere mpaka leo anadunda.Watu walioishi pamoja kwa muda wote huo huwa hawapishani sana kusepa. Soon Malkia nae ajali yake itafika. Kuna vitu atamis hususan zile story za kukumbushana ya ujanan kabla ya kulala usiku, upweke na kinga dhaifu kulingana na umri vitamwondoa mapema.
Ni kweli kabisa, na Malkia alikua anajivunia kuwa na mume kama yeye.
Wanaume wote wa Royal Family ni maofisa wa jeshi na walitakiwa leo wote wavae sare za jeshi kumuaga Prince Philip. Lakini kwakua Harry amevuliwa vyeo vyake vya kijeshi, Malkia amesema wote wavae suit wasiwe tofauti na Harry. Malkia ametumia busara kubwa.Kitendo cha kuwaona William na Harry wakiongea leo hadharani japo for few minutes kimenipa faraja na kuona their future as Brothers is very bright. My favourite members of Royal Family were Lady Di and the two Brothers but nowadays only Prince Harry and his wife.
nakumbuka mazishi ya Princess Diana "Candle in the wind" ilitutoa sana machozi....may her soul continue to rest well.Kitendo cha kuwaona William na Harry wakiongea leo hadharani japo for few minutes kimenipa faraja na kuona their future as Brothers is very bright. My favourite members of Royal Family were Lady Di and the two Brothers but nowadays only Prince Harry and his wife.
Wanaume wote wa Royal Family ni maofisa wa jeshi na walitakiwa leo wote wavae sare za jeshi kumuaga Prince Philip. Lakini kwakua Harry amevuliwa vyeo vyake vya kijeshi, Malkia amesema wote wavae suit wasiwe tofauti na Harry. Malkia ametumia busara kubwa.
nakumbuka mazishi ya Princess Diana "Candle in the wind" ilitutoa sana machozi....may her soul continue to rest well.