Sorry mkuu,, ni usukuma wa meko tu ndio shidaUsukuma ni nini mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry mkuu,, ni usukuma wa meko tu ndio shidaUsukuma ni nini mkuu?
Ushamba ni mzigo
Burigi.Sasa huu ushamba wa kuwasomba watu kwenye malori na kuwaambia washangilie umetoka wapi
Tafadhali usihusishe siasa na ukabila.Usukuma ni kitu kibaya sana
Yaani hayo makitu ni kawaida sana kwa serikali
kuna wahuni wamezifilisi... awamu ya 3 ilikuwa ya kupiga tu...
mali nyingi za uma zilipotelea awamu ya 3. na tuliyempa dhamana akajiuzia mgodi nae kwa bei ya boda boda
Usifananishe usukuma na mambo ya kijingaUsukuma ni kitu kibaya sana
Yaani hayo makitu ni kawaida sana kwa serikali
Tumpongeze Rais Magufuli kwa kufufua shirika
Unasesema sasa hivi nchi ina uwazi kwenye kila kitu wakati CAG ametaadharishwa asithubutu kusogelea hesabu za ATCL, hesabu za ujenzi wa barabara, hesabu za Chato International Airport nkUzuri mnaoponda hapa hamtafika hata 50. Ni walewale wa 5 mnapost na kujijibu uzi unafika kurasa 10.
Mnataka Serikali inunue kimyakimya halafu zipotee kimyakimya baadae. Sasa hivi ni uwazi kila mtu aone ili baadae ahoji.
Ndiyo maana watu wengi hawakujua kuwa Tz ilikuwa na ndege kipindi cha nyuma mpaka Magu alipowaeleza. Na kitu kingine serikali lazima iwaambie wananchi wake kuhusu mafanikio yao ili wawe na kujivunia nchi yao.
Kingine, kwa sasa hatuzungumzii picha za ndege za kipindi cha Baba wa Taifa. Mambo ya kuzungumzia picha bila ndege yalikuwa awamu ya 4 na 3, sasa hivi tunazungumzia ndege halisi 11 za AirTz.
Mmemchukulia hatua gani huyo mpigaji?kuna wahuni wamezifilisi... awamu ya 3 ilikuwa ya kupiga tu...
mali nyingi za uma zilipotelea awamu ya 3. na tuliyempa dhamana akajiuzia mgodi nae kwa bei ya boda boda
Siyo kwamba hawakufanya, walifanya ila kimya kimya
Angalia midude
View attachment 1246228View attachment 1246229View attachment 1246230View attachment 1246231
Ni kweli ni wa kupongeza wasi wasi ni je,hawatazinywa tena kama zile zilizonunuluwa enzi za Nyerere?Tumpongeze Rais Magufuli kwa kufufua shirika
Baadhi,lakini hizo mbili ( Kilimanjaro na Ngorongoro) zenye nembo ya twiga tulinunua wenyewe brand newHizo zilikua za kukodi mzee baba
Tanu. Niliipanda ile yenye gorofa kwenda London aliiendesha Kaptain Mazura RIP. Huyu baba alilitumikia taifa Mkapa akamnyang'anya nyumba ambayo angenunua pale oysterbay. Mtoto wake akauawa kinyama wakati wa Kikwetwe na waliomuua ni wabongo.Hivi nao walikuwa Ccm au walikuwa chama kingne
Kama walivyokunywa nyumba za serikali.Ni kweli ni wa kupongeza wasi wasi ni je,hawatazinywa tena kama zile zilizonunuluwa enzi za Nyerere?
Kuna mtu anaitwa Mataka yule jamaa wa kuua kabisa akaenda kuingia mkataba na wa south africa hadi shirika likafakuna wahuni wamezifilisi... awamu ya 3 ilikuwa ya kupiga tu...
mali nyingi za uma zilipotelea awamu ya 3. na tuliyempa dhamana akajiuzia mgodi nae kwa bei ya boda boda
Hakukuwa na social media. Ila lazima magazeti ya mfanyakazi yaliandika.Walifanya kimyakimya na waliozimaliza wakamaliza kimyakimya!!