Hvi hzi ndege ziliishia wapi?
CCM watakwambia chadema walizihujumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hvi hzi ndege ziliishia wapi?
Sawa Nabii titoNYUMBU UNITED katika ubora wako!!!!!!
Hii logo imekaa poa sana bora huyo twiga angewekwa pembeni kama hivyo!..
Siwezi sababu mke wake ni mtu wa karibu sana na mimi na ni watu wamestrugle maisha yao kupata haki mpaka Shemeji Mazura anafariki. Tusiende mbele maana wengi wanasoma humu ila tujue watu waliolitumikia taifa hili wamekufa vifo vya aibu. Mazura aliwazuga wale wakuteka ndege akawarudisha Dar wenyewe wanadhani wanaingia London hao ni wa pili. Wa kwanza walishushwa wakakamatwa ndo hao walifungwa huko UK akina Memba.Mkuu hii inaweza kutuandika history mpya na kumbukumbu za watu walio litumikia taifa na kukosa kukumbukwa
Unaonaje ukatuandalia kumbukumbu za huyu rubani na mambo yanyo mhusu kama unaelewa japo kwa uchache
Samah kama nimekupa kazi ngumu
Sawa mkuu usijal nashkuruSiwezi sababu mke wake ni mtu wa karibu sana na mimi na ni watu wamestrugle maisha yao kupata haki mpaka Shemeji Mazura anafariki. Tusiende mbele maana wengi wanasoma humu ila tujue watu waliolitumikia taifa hili wamekufa vifo vya aibu. Mazura aliwazuga wale wakuteka ndege akawarudisha Dar wenyewe wanadhani wanaingia London hao ni wa pili. Wa kwanza walishushwa wakakamatwa ndo hao walifungwa huko UK akina Memba.
TANUHivi nao walikuwa Ccm au walikuwa chama kingne
Mwalimu katuacha na Ndege 14, alafu we unasema Mwalimu hajawahi kununua ndege?Hivi serikali ya JMT iliwahi kununua ndege kweli kabla ya JPM, mmh sidhani...
Zile sio zilikuwa za kukodi na zile nyingine za mwanzo ni urithi baada ya kuvunjika kwa E.A.C???
Unataka akikune kitu gani nikutumie nambaHata mimi nilikuwepo ila sikubahatika kumuona yule Rubani wangu..... Bado sijabahatika kupata flight ambayo yeye ndo Rubani..... nna shaukwa....
Oooh sawa nashkuru mkuuTANU
Unataka akikune kitu gani nikutumie namba
Kwani Chato siyo watanzania? Huyo aliyepeleka kodi zetu kwenye harakati kuna mtanzania yeyote ananufaika kwa namna yeyote?Airport chato
Bank chato
Tra chato
Uwanja wa soccer chato
Barabara za lami na Mataa pasipo magari chato
Huyu makabila, legacy au umabutu seseko?
Kwani Chato siyo watanzania? Huyo aliyepeleka kodi zetu kwenye harakati kuna mtanzania yeyote ananufaika kwa namna yeyote?
Kuna mahali hizi taarifa zipo nikasome?Mwalimu katuacha na Ndege 14, alafu we unasema Mwalimu hajawahi kununua ndege?
Shirika la Ndege la Afrika mashariki lilivyokufa sisi tulichonufaika nacho ni meli tu,
Ndege zote wakenya walikomba
Britannica
Jiwe enzi hizo hajaja mjini alikua anapiga chaki mbwinde hukoLilikuwa halina script ya kumsifia jiwe lile
Nani alikuambia ilikuwa kimya kimya wakati hata mimba yako ilikuwa haijatugwa!?Siyo kwamba hawakufanya, walifanya ila kimya kimya
Angalia midude
View attachment 1246228View attachment 1246229View attachment 1246230View attachment 1246231
Mpaka sasa ziko wapi au ulivyokufa bana wa taifa nazo zilikufaSiyo kwamba hawakufanya, walifanya ila kimya kimya
Angalia midude
View attachment 1246228View attachment 1246229View attachment 1246230View attachment 1246231
Kwani Nyerere ni benchmark ya uongozi nchi hii? Mbona ni loser mzuri tu.Kwani ulisikia Nyerere kafanya hivo butiama? Si umemlinganisha Nyerere na wa chato!