Salvatory Feragamo
Member
- Sep 26, 2019
- 68
- 64
Vipi kama hawakukusanyika?Hizi pia watu walikusanyika Airport na kukata viuno kusherehekea???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kama hawakukusanyika?Hizi pia watu walikusanyika Airport na kukata viuno kusherehekea???
Za kukodi?Hvi hzi ndege ziliishia wapi?
Umejibu ambacho hujaulizwa. Unajiandikia andikia tu ili siku ziende.Airport chato
Bank chato
Tra chato
Uwanja wa soccer chato
Barabara za lami na Mataa pasipo magari chato
Huyu makabila, legacy au umabutu seseko?
Hii ni koment hatutaki kuona, zinaharibu uzi.Hivi serikali ya JMT iliwahi kununua ndege kweli kabla ya JPM, mmh sidhani...
Zile sio zilikuwa za kukodi na zile nyingine za mwanzo ni urithi baada ya kuvunjika kwa E.A.C???
Acha kupotosha Tanzania tulineemeka na Meli tu , Ndege zote zilibakia Nairobi, hivi mnakwama wapi?Hii ni koment hatutaki kuona, zinaharibu uzi.
Nimepotosha nini?Acha kupotosha Tanzania tulineemeka na Meli tu , Ndege zote zilibakia Nairobi, hivi mnakwama wapi?
SorryNimepotosha nini?
Umesoma nime-quote nini?
Au unajiandikia andikia tu kwa kuwa unajua kusoma?
Umejibu ambacho hujaulizwa. Unajiandikia andikia tu ili siku ziende.
CAG, ambaye ni idara tu ya serikali, kujifungia na kukagua, na wananchi, ambao ndo wameiweka serikali na Rais wake madarakani, kuambiwa moja kwa moja na Rais(serikali) kipi kinachobeba maana halisi ya uwazi?uwazi si ni kumuacha CAG afanye kazi yake huko
CAG, ambaye ni idara tu ya serikali kujifungia na kukagua, na wananchi ambao ndo wanaiweka serikali madarakani kuambiwa moja kwa moja na Rais wao, kipi chenye kubeba maana halisi ya uwazi?Unasesema sasa hivi nchi ina uwazi kwenye kila kitu wakati CAG ametaadharishwa asithubutu kusogelea hesabu za ATCL, hesabu za ujenzi wa barabara, hesabu za Chato International Airport nk
CAGCAG, ambaye ni idara tu ya serikali, kujifungia na kukagua, na wananchi, ambao ndo wameiweka serikali na Rais wake madarakani, kuambiwa moja kwa moja na Rais(serikali) kipi kinachobeba maana halisi ya uwazi?
DuuhZamani kulikua na serikali sio nchi...skuhizi tuna nchi ya Tanzania
Jakaya Kikwete: Mzee Nyerere alituachia ndege za Taifa 14, kuna kipindi zimeisha hapa kati
Rais wa awamu ya Nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika kutathmini miaka mitatu ya Rais Magufuli ikulu amesifu juhudi zake za kuwa jasiri kurejesha heshima ya Taifa kwa kununua ndege mpya 4, ambazo zote zinafanya kazi za usafirshaji, Kasema yeye kipindi chake alishindwa sababu usimamizi wa...www.jamiiforums.com
Siyo kwamba hawakufanya, walifanya ila kimya kimya
Angalia midude
View attachment 1246228View attachment 1246229View attachment 1246230View attachment 1246231
Kikwete Anaeleza kwamba tuliachiwa ndege 14 na Nyerere
Jakaya Kikwete: Mzee Nyerere alituachia ndege za Taifa 14, kuna kipindi zimeisha hapa kati
Rais wa awamu ya Nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika kutathmini miaka mitatu ya Rais Magufuli ikulu amesifu juhudi zake za kuwa jasiri kurejesha heshima ya Taifa kwa kununua ndege mpya 4, ambazo zote zinafanya kazi za usafirshaji, Kasema yeye kipindi chake alishindwa sababu usimamizi wa...www.jamiiforums.com
Kuna Upotoshaji wa Hali ya Juu hasa Kutoka Kwa CCM
Wakisema kuwa ndege zilikuwa za Kukodi
Wengine eti ni za Former EAC
Tuweke kumbu kumbu sawa
Baada ya EAC kuvunjika mwaka 1977 Ndege zote zilichukuliwa na Kenya kwakuwa operation na makao makuu ilikuwa kule,
Ndege za Kukodi ni Kipindi cha Mwinyi mwaka 1991 walikodi Boeing kutoka Ethiopia,
Mzee Nyerere was far different from that one whom you praise
View attachment 1246535
Siyo kwamba hawakufanya, walifanya ila kimya kimya
Angalia midude
View attachment 1246228View attachment 1246229View attachment 1246230View attachment 1246231
Kikwete Anaeleza kwamba tuliachiwa ndege 14 na Nyerere
Jakaya Kikwete: Mzee Nyerere alituachia ndege za Taifa 14, kuna kipindi zimeisha hapa kati
Rais wa awamu ya Nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika kutathmini miaka mitatu ya Rais Magufuli ikulu amesifu juhudi zake za kuwa jasiri kurejesha heshima ya Taifa kwa kununua ndege mpya 4, ambazo zote zinafanya kazi za usafirshaji, Kasema yeye kipindi chake alishindwa sababu usimamizi wa...www.jamiiforums.com
Kuna Upotoshaji wa Hali ya Juu hasa Kutoka Kwa CCM
Wakisema kuwa ndege zilikuwa za Kukodi
Wengine eti ni za Former EAC
Tuweke kumbu kumbu sawa
Baada ya EAC kuvunjika mwaka 1977 Ndege zote zilichukuliwa na Kenya kwakuwa operation na makao makuu ilikuwa kule,
Ndege za Kukodi ni Kipindi cha Mwinyi mwaka 1991 walikodi Boeing kutoka Ethiopia,
Mzee Nyerere was far different from that one whom you praise
View attachment 1246535
Duuuuh madude ya maaana kumbe yalikuwa Tanzania wengine tulikuwa tunachunga mbuzi na ng'ombe enzi hizo yakipita tunasema wazungu wanaenda mwezini.
Mpaka mengine double flow premium luxury, Engine 4
Uzuri mnaoponda hapa hamtafika hata 50. Ni walewale wa 5 mnapost na kujijibu uzi unafika kurasa 10.
Mnataka Serikali inunue kimyakimya halafu zipotee kimyakimya baadae. Sasa hivi ni uwazi kila mtu aone ili baadae ahoji.
Ndiyo maana watu wengi hawakujua kuwa Tz ilikuwa na ndege kipindi cha nyuma mpaka Magu alipowaeleza. Na kitu kingine serikali lazima iwaambie wananchi wake kuhusu mafanikio yao ili wawe na kujivunia nchi yao.
Kingine, kwa sasa hatuzungumzii picha za ndege za kipindi cha Baba wa Taifa. Mambo ya kuzungumzia picha bila ndege yalikuwa awamu ya 4 na 3, sasa hivi tunazungumzia ndege halisi 11 za AirTz.
... Mapambana juu ya kutetea na kuboresha maslahi ya wanyonge yamebebwa kama agenda za kujipatia umaarufu kwa kundi hili kubwa la watanzania wanasiasa wetu ndio wataalam wa kila kitu nyakati hizi na wasomi ndio wamekuwa wachumia tumbo mifano tunayo ...Sasa huu ushamba wa kuwasomba watu kwenye malori na kuwaambia washangilie umetoka wapi
Unaguna mkuu ,Au maprofesa upo huwasikii prof bingwa kwenye law lakini hajui kutenganisha NCHi na serikali..namimacho inawatoka unazani anaongea ukweliDuuh