Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,141
- 3,838
Na hizi nazo zitamalizwa kimya kimyaWalifanya kimyakimya na waliozimaliza wakamaliza kimyakimya!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hizi nazo zitamalizwa kimya kimyaWalifanya kimyakimya na waliozimaliza wakamaliza kimyakimya!!
Hahaha hawa maprofesa wanafanya watoto wetu wakose molali wa kusoma maana shule amefundisha hivi akisikiliza au kutazama TV anaona tofautUnaguna mkuu ,Au maprofesa upo huwasikii prof bingwa kwenye law lakini hajui kutenganisha NCHi na serikali..namimacho inawatoka unazani anaongea ukweli
acheni uchokozi 🤣Yaani hiyo ni kuwakera tu ili mzidi kukunja ndita maana tumeshawaelewa kuwa huwa hamna sera bali mnaangalia mtu aseme nini ndio mdakie.
Hivi yote haya ni ili iweje hasa?Kwamba Magufuli hajafanya lolote la ajabu anajifaragua tu?Sawa,whatever,mwenye macho anaona.Ndio kafanya Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete walifanya nini?Si Kikwete anaishia kukiri tu kwamba waliachiwa ndege.Afterall Nyerere alikaa miaka mingapi,si ishirini.Sasa Magufuli akikaa miaka ishirini itakuaje kama mpaka sasa amenunua 8 na kufanya so much.Acheni chuki binafsi.Siyo kwamba hawakufanya, walifanya ila kimya kimya
Angalia midude
View attachment 1246228View attachment 1246229View attachment 1246230View attachment 1246231
Kikwete Anaeleza kwamba tuliachiwa ndege 14 na Nyerere
Jakaya Kikwete: Mzee Nyerere alituachia ndege za Taifa 14, kuna kipindi zimeisha hapa kati
Rais wa awamu ya Nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika kutathmini miaka mitatu ya Rais Magufuli ikulu amesifu juhudi zake za kuwa jasiri kurejesha heshima ya Taifa kwa kununua ndege mpya 4, ambazo zote zinafanya kazi za usafirshaji, Kasema yeye kipindi chake alishindwa sababu usimamizi wa...www.jamiiforums.com
Kuna Upotoshaji wa Hali ya Juu hasa Kutoka Kwa CCM
Wakisema kuwa ndege zilikuwa za Kukodi
Wengine eti ni za Former EAC
Tuweke kumbu kumbu sawa
Baada ya EAC kuvunjika mwaka 1977 Ndege zote zilichukuliwa na Kenya kwakuwa operation na makao makuu ilikuwa kule,
Ndege za Kukodi ni Kipindi cha Mwinyi mwaka 1991 walikodi Boeing kutoka Ethiopia,
Mzee Nyerere was far different from that one whom you praise
View attachment 1246535
ChatoSasa huu ushamba wa kuwasomba watu kwenye malori na kuwaambia washangilie umetoka wapi
Za EA zote zilibaki Kenya kasoro moja Tu ambayo jamaa aliamua kuondoka nayoHivi serikali ya JMT iliwahi kununua ndege kweli kabla ya JPM, mmh sidhani...
Zile sio zilikuwa za kukodi na zile nyingine za mwanzo ni urithi baada ya kuvunjika kwa E.A.C???
Akina Membe waliiteka Kwa maembe [emoji3][emoji3][emoji3] vijana wa Zamani walikuwa na uthubutu WallahiNakumbuka tulikuwa na Boeng 737 ambayo iliwahi kutekwa miaka ya 80 na tulikuwa na fokker
Mimi nimepanda Treni na mabasi yameandikwa EAC hii imekuwaje maana mara ya mwisho 1985 Basi la Dodoma - Arusha Moshi hizi nazo vipi?Acha kupotosha Tanzania tulineemeka na Meli tu , Ndege zote zilibakia Nairobi, hivi mnakwama wapi?
Nilivyoelewa Mimi si kumponda ila wanahoji ndege 14 zilizoachwa awamu ya kwanza zimepotelea awamu ipi? Hayo mengine ni kuupamba Uzi.Hivi yote haya ni ili iweje hasa?Kwamba Magufuli hajafanya lolote la ajabu anajifaragua tu?Sawa,whatever,mwenye macho anaona.Ndio kafanya Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete walifanya nini?Si Kikwete anaishia kukiri tu kwamba waliachiwa ndege.Afterall Nyerere alikaa miaka mingapi,si ishirini.Sasa Magufuli akikaa miaka ishirini itakuaje kama mpaka sasa amenunua 8 na kufanya so much.Acheni chuki binafsi.
Biashara ya ndege si lelemama.lazima uwe na business planNilivyoelewa Mimi si kumponda ila wanahoji ndege 14 zilizoachwa awamu ya kwanza zimepotelea awamu ipi? Hayo mengine ni kuupamba Uzi.
Sijui mkuu zilipopotelea wapi mkuu na hata hivyo si rahisi kujua kila jambo kwa sisi tulio nje ya establishment.Ila ni muda mrefu umepita na anything might have happened,including kuuzwa.Na pia sijui baada ya kuvunjika kwa the former East African Community tulibaki na ngapi,na hata baada ya kuingia ubia na South Africa ambao ulikuwa fake, sijui nini kilitokea.Nilivyoelewa Mimi si kumponda ila wanahoji ndege 14 zilizoachwa awamu ya kwanza zimepotelea awamu ipi? Hayo mengine ni kuupamba Uzi.
Baada ya kuvunjika EAC rubani wetu aliyekuwa Kenya alipogundua ndege zote zipo Kenya yeye aliamua kunyanyuka na Ile aliyekuwa anaiendesha hadi Tanzania, nimefurahi JPM kamtambua vizuri sanaSijui mkuu zilipopotelea wapi na si rahisi kujua kila jambo hata hivyo.Ila ni muda mrefu umepita na anything might have happened,including kuuzwa.Na pia sijui baada ya kuvunjika kwa the former East African Community tulibaki na ngapi,na hata baada ya kuingia ubia na South Africa sijui nini kilitokea.
That was a very heroic gesture frankly na inapendeza kwamba Rais Magufuli amemtambua.Baada ya kuvunjika EAC rubani wetu aliyekuwa Kenya alipogundua ndege zote zipo Kenya yeye aliamua kunyanyuka na Ile aliyekuwa anaiendesha hadi Tanzania, nimefurahi JPM kamtambua vizuri sana
| 2007 | 2008 | 2009 | 2010 | 2011 | 2012 | 2013 | 2014 | 2015 | 2016 | 2017 | 2018 | |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| Turnover (US$m) | | | | | | | | | | 0.3 | 1.9 | |
| Net profit (US$m) | | | | | | | | | | −6.2 | −1.9 | |
| Number of employees | | 300+ | 182 | 221 | | | | | | | | |
| Number of passengers (000s) | 295 | 207 | 60 | | | | | | | | | |
| Passenger load factor (%) | | | | | | | | | | | | |
| Number of aircraft (at year end) | 2 | 2 | 1 | 3 | 1 | 1 | 1 | 1 | 1 | 3 | 3 | 5 |
| Notes/sources | [69] | | [72] | [73] | [74] | [73] | [73] | [75] | |
Siyo kwamba hawakufanya, walifanya ila kimya kimya
Angalia midude
View attachment 1246228View attachment 1246229View attachment 1246230View attachment 1246231
Kikwete Anaeleza kwamba tuliachiwa ndege 14 na Nyerere
Jakaya Kikwete: Mzee Nyerere alituachia ndege za Taifa 14, kuna kipindi zimeisha hapa kati
Rais wa awamu ya Nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika kutathmini miaka mitatu ya Rais Magufuli ikulu amesifu juhudi zake za kuwa jasiri kurejesha heshima ya Taifa kwa kununua ndege mpya 4, ambazo zote zinafanya kazi za usafirshaji, Kasema yeye kipindi chake alishindwa sababu usimamizi wa...www.jamiiforums.com
Kuna Upotoshaji wa Hali ya Juu hasa Kutoka Kwa CCM
Wakisema kuwa ndege zilikuwa za Kukodi
Wengine eti ni za Former EAC
Tuweke kumbu kumbu sawa
Baada ya EAC kuvunjika mwaka 1977 Ndege zote zilichukuliwa na Kenya kwakuwa operation na makao makuu ilikuwa kule,
Ndege za Kukodi ni Kipindi cha Mwinyi mwaka 1991 walikodi Boeing kutoka Ethiopia,
Mzee Nyerere was far different from that one whom you praise
View attachment 1246535
Hakuna kama NyerereSiyo kwamba hawakufanya, walifanya ila kimya kimya
Angalia midude
View attachment 1246228View attachment 1246229View attachment 1246230View attachment 1246231
Kikwete Anaeleza kwamba tuliachiwa ndege 14 na Nyerere
Jakaya Kikwete: Mzee Nyerere alituachia ndege za Taifa 14, kuna kipindi zimeisha hapa kati
Rais wa awamu ya Nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika kutathmini miaka mitatu ya Rais Magufuli ikulu amesifu juhudi zake za kuwa jasiri kurejesha heshima ya Taifa kwa kununua ndege mpya 4, ambazo zote zinafanya kazi za usafirshaji, Kasema yeye kipindi chake alishindwa sababu usimamizi wa...www.jamiiforums.com
Kuna Upotoshaji wa Hali ya Juu hasa Kutoka Kwa CCM
Wakisema kuwa ndege zilikuwa za Kukodi
Wengine eti ni za Former EAC
Tuweke kumbu kumbu sawa
Baada ya EAC kuvunjika mwaka 1977 Ndege zote zilichukuliwa na Kenya kwakuwa operation na makao makuu ilikuwa kule,
Ndege za Kukodi ni Kipindi cha Mwinyi mwaka 1991 walikodi Boeing kutoka Ethiopia,
Mzee Nyerere was far different from that one whom you praise
View attachment 1246535
Ccm ni hatari kwa afya ya uchumi wa taifa letuWalifanya kimyakimya na waliozimaliza wakamaliza kimyakimya!!
Na wao wanakubali kupakizwa kwenye mafuso utadhani magunia ya viazi kutoka umalilaSasa huu ushamba wa kuwasomba watu kwenye malori na kuwaambia washangilie umetoka wapi
Ufipa bana. Yaani kuweka wikipedia unaona umemaliza kazi. Hivi unajua hata mie naweza editi hiyo nitatoa kilichowekwa n kuweka changu?Siyo kwamba hawakufanya, walifanya ila kimya kimya
Angalia midude
View attachment 1246228View attachment 1246229View attachment 1246230View attachment 1246231
Kikwete Anaeleza kwamba tuliachiwa ndege 14 na Nyerere
Jakaya Kikwete: Mzee Nyerere alituachia ndege za Taifa 14, kuna kipindi zimeisha hapa kati
Rais wa awamu ya Nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika kutathmini miaka mitatu ya Rais Magufuli ikulu amesifu juhudi zake za kuwa jasiri kurejesha heshima ya Taifa kwa kununua ndege mpya 4, ambazo zote zinafanya kazi za usafirshaji, Kasema yeye kipindi chake alishindwa sababu usimamizi wa...www.jamiiforums.com
Kuna Upotoshaji wa Hali ya Juu hasa Kutoka Kwa CCM
Wakisema kuwa ndege zilikuwa za Kukodi
Wengine eti ni za Former EAC
Tuweke kumbu kumbu sawa
Baada ya EAC kuvunjika mwaka 1977 Ndege zote zilichukuliwa na Kenya kwakuwa operation na makao makuu ilikuwa kule,
Ndege za Kukodi ni Kipindi cha Mwinyi mwaka 1991 walikodi Boeing kutoka Ethiopia,
Mzee Nyerere was far different from that one whom you praise
View attachment 1246535