Picha za ndege alizonunua Mwalimu Nyerere

Naona hamtaki na ATCL ikaguliwe na CAG hahah,wapigaji bana.
kuna wahuni wamezifilisi... awamu ya 3 ilikuwa ya kupiga tu...

mali nyingi za uma zilipotelea awamu ya 3. na tuliyempa dhamana akajiuzia mgodi nae kwa bei ya boda boda
 
Unasesema sasa hivi nchi ina uwazi kwenye kila kitu wakati CAG ametaadharishwa asithubutu kusogelea hesabu za ATCL, hesabu za ujenzi wa barabara, hesabu za Chato International Airport nk
 
kuna wahuni wamezifilisi... awamu ya 3 ilikuwa ya kupiga tu...

mali nyingi za uma zilipotelea awamu ya 3. na tuliyempa dhamana akajiuzia mgodi nae kwa bei ya boda boda
Kuna mtu anaitwa Mataka yule jamaa wa kuua kabisa akaenda kuingia mkataba na wa south africa hadi shirika likafa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…