Picha za ndege alizonunua Mwalimu Nyerere

Ungefanya editing kwenye mikia ya ndege unazodai zilikuwa za ATC ili urubuni manyumbu wengi maana ATC ambayo kwa sasa ni ATCL tangu miaka hiyo huko kwenye mkia wa ndege huwa kuna picha ya twiga hiyo rangi iliyoko nyuma ni sijui ni ya shirika gani labda ni South African Airways sina uhakika ila ATC haijawahi kuwa na rangi hiyo huko kwenye mkia.
 
Sasa huu ushamba wa kuwasomba watu kwenye malori na kuwaambia washangilie umetoka wapi
Unapoambiwa awamu hii imelirudisha taifa 50yrs back hii ndio maana yake imagine mpk mkuu wa majeshi anaenda kushangilia ndege.....
 
Ndege zilikuwa zinatimba mpk ulaya
Route hizooo

Ova
 
kuna wahuni wamezifilisi... awamu ya 3 ilikuwa ya kupiga tu...

mali nyingi za uma zilipotelea awamu ya 3. na tuliyempa dhamana akajiuzia mgodi nae kwa bei ya boda boda
Wewe acha tu,
Yule jamaa na wenzie walifanya ufisadi sana kuliko hata enzi za baba Riz Moko.
 
Ile aliyoikwapua mzalendo Mzee Mapunda ndo ipi?

Hiyo kimya kimya ya Nyerere ndiyo aliitumia kuchota pesa zetu na kuzipeleka kwenye harakati za ukombozi Kusini mwa Afrika kwa ajili ya legacy yake tu.
Una akili sana,nyerere angeacha hayo mambo au afanye kwa uchache leo tungekuwa mbali sana,wazee wengi hata tulio nao humu if waliishi mazingira ya kimasikini kiss nyerere ila hawajui,wanadhani umasikini ulikuwa kwao
 
Duuuuh madude ya maaana kumbe yalikuwa Tanzania wengine tulikuwa tunachunga mbuzi na ng'ombe enzi hizo yakipita tunasema wazungu wanaenda mwezini.

Mpaka mengine double flow premium luxury, Engine 4
Una maana mwezini kwenda hedhi au mwezini anga la mbali
 
Duuuuh madude ya maaana kumbe yalikuwa Tanzania wengine tulikuwa tunachunga mbuzi na ng'ombe enzi hizo yakipita tunasema wazungu wanaenda mwezini.

Mpaka mengine double flow premium luxury, Engine 4
Mzee Nyerere alifanya mengi kumbe tofauti na tunavyoelezwa na baadhi ya Wanasiasa kuwa jambo Fulani linafanyika Mara ya kwanza toka nchi hii ipate uhuru.
 
Mdanganye waliozaliwa miaka ya 90 wengine tulikuwepo tangu enzi za mwalimu na waharibifu wote waliofuatia hakuna cha maana zaidi ya kutuletea ndege za ovyo za kukodi za wezi.Hizi za sasa angalau tunajua ni za kwetu haya leteni Maraisi wenu tena wa majaribio waje waziuze tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…