Picha zikiwaonyesha Wazamiaji wakidandia meli kwa kukaa kwenye kizimba cha majembe ya kusozea meli kwa muda wa siku 11

Picha zikiwaonyesha Wazamiaji wakidandia meli kwa kukaa kwenye kizimba cha majembe ya kusozea meli kwa muda wa siku 11

Watu watatu wamekutwa wamekaa juu ya kizimba cha majembe ya kusozea meli

View attachment 2431534

Mlinzi wa pwani ya Uhispania amewaokoa watu watatu waliopatikana wakiwa wamejiegesha juu ya ukingo wa majembe ya kusozea meli iliyowasili katika visiwa vya Canary kutoka Nigeria.

Wanigeria Watatu Wapatikana Wakiwa Wamekaa Kwenye Ungo wa Meli Walinusurika kwa kusafiri Safari ya Siku 11 Kutoka Nigeria.

View attachment 2431543

Katika picha iliyosambazwa na walinzi wa pwani siku ya Jumatatu, wahamiaji hao wanaonyeshwa wakiwa kwenye majembe ya meli ya mafuta na kemikali ya Althini II.

Waliwasili Las Palmas huko Gran Canaria Jumatatu baada ya safari ya siku 11 kutoka Lagos nchini Nigeria,

View attachment 2431547

Haya Ndio Matokeo Ya Ugumu wa maisha Nchini Nigeria
Wahamiaji hao walipelekwa bandarini na kuhudumiwa na huduma za afya,

View attachment 2431550

Wanaume hao, waliopatikana wakiwa kwenye ukingo wa majembe ya kusozea meli ya mafuta ya Alithini II kwenye bandari ya Las Palmas, walionekana kuwa na dalili za upungufu wa maji mwilini na hypothermia na walihamishiwa katika hospitali za kisiwa hicho kwa matibabu.

Meli hiyo yenye bendera ya Malta iliondoka Lagos, Nigeria mnamo Novemba 17 na kufika Las Palmas Jumatatu, Novemba 28, 2022.

View attachment 2431553

Ijapokuwa ni hatari sana, si mara ya kwanza kwa wazamiaji wa meli kupatikana wakisafiri kwa kudandia ukingo wa majembe ya kusozea meli za kibiashara hadi Visiwa vya Canary.

Mwaka jana mvulana wa miaka 14 wa Nigeria alihojiwa na gazeti la El País la Uhispania baada ya kunusurika kwa wiki mbili kwenye majembe ya meli, Alikuwa pia ameondoka Lagos.

Miguu yao ilikuwa ikining'inia kwa inchi chache tu juu ya maji nyuma ya kizimba hicho kikubwa. Walitibiwa kwa upungufu wa maji mwilini na hypothermia.

Meli hiyo - iliyoondoka Lagos, Nigeria, mnamo Novemba 17 - ilisafiri maili 2,000 wakati wa safari ya siku 11 hadi eneo la Uhispania Kaskazini Magharibi mwa Afrika.

View attachment 2431556

Txema Santana, mshauri wa uhamiaji wa serikali ya mtaa, alisema katika tweet: "Sio wa kwanza na hautakuwa wa mwisho. Mnamo 2020, mvulana wa miaka 14 wa Nigeria alihojiwa baada ya kudumu kwa siku 15 kwenye kizimba cha meli baada ya safari kutoka Lagos.
Alinusurika kwa maji ya chumvi na kwa kulala kwa zamu kwenye shimo juu ya kizimba pamoja na watu wengine aliokuwa akisafiri nao.

“Tulikuwa dhaifu sana. Sikuwahi kufikiria inaweza kuwa ngumu hivi.” kijana alisema. Pia mwaka huo, wanaume 4 walipatikana kwenye kizimba cha meli ya mafuta ya Norway Champion Pula, ambayo pia ilisafiri kutoka Nigeria hadi Las Palmas. Walijificha kwenye chumba nyuma ya majembe wakati wa siku 10 baharini.

View attachment 2431558
Maelfu ya wahamiaji na wakimbizi wa Kiafrika wamefika Visiwa vya Canary katika miaka ya hivi karibuni kwa kufanya safari hiyo hatari kwa boti zilizojaa watu baada ya kuondoka katika pwani ya Morocco, Sahara Magharibi, Mauritania na hata Senegal.


Kufikia sasa mwaka huu, zaidi ya watu 11,600 wamefika visiwa vya Uhispania kwa boti.

View attachment 2431566

Chanzo: CNN

View attachment 2431560
Aiseee

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
sijui nilipata wapi mahojiano itakuwa mtandao wa TED .anasema "wazungu ndio walilazimisha kuharibu africa ili vyote viende kwao ila mwisho wa siku waafrika watawafata huko huko sababu vipo kwao"
Wazungu wana mabaya waliotufanyia, lakini waafrika tunaumizwa na watawala wetu,
Mfano Mwigulu Nchemba anatembelea gari ya 450m, wakati kuna wagonjwa wanalala chini, wanafunzi wanakalia mawe na matofali,
Pia wakituibia wanaenda kuficha huko kwa wazungu, halafu wanaenda hukohuko kuomba msaada na mikopo,
 
sijui nilipata wapi mahojiano itakuwa mtandao wa TED .anasema "wazungu ndio walilazimisha kuharibu africa ili vyote viende kwao ila mwisho wa siku waafrika watawafata huko huko sababu vipo kwao"
Bure tunasingizia wazungu. Haya ''ma-ugoro'' ya kusingizia kushindwa kwetu eti ni wazungu wamesababisha yalishapitwa na wakati. Tatizlo la mwafrika chanzo chake ni yeye mwenyewe.
 
Watu watatu wamekutwa wamekaa juu ya kizimba cha majembe ya kusozea meli

View attachment 2431534

Mlinzi wa pwani ya Uhispania amewaokoa watu watatu waliopatikana wakiwa wamejiegesha juu ya ukingo wa majembe ya kusozea meli iliyowasili katika visiwa vya Canary kutoka Nigeria.

Wanigeria Watatu Wapatikana Wakiwa Wamekaa Kwenye Ungo wa Meli Walinusurika kwa kusafiri Safari ya Siku 11 Kutoka Nigeria.

View attachment 2431543

Katika picha iliyosambazwa na walinzi wa pwani siku ya Jumatatu, wahamiaji hao wanaonyeshwa wakiwa kwenye majembe ya meli ya mafuta na kemikali ya Althini II.

Waliwasili Las Palmas huko Gran Canaria Jumatatu baada ya safari ya siku 11 kutoka Lagos nchini Nigeria,

View attachment 2431547

Haya Ndio Matokeo Ya Ugumu wa maisha Nchini Nigeria
Wahamiaji hao walipelekwa bandarini na kuhudumiwa na huduma za afya,

View attachment 2431550

Wanaume hao, waliopatikana wakiwa kwenye ukingo wa majembe ya kusozea meli ya mafuta ya Alithini II kwenye bandari ya Las Palmas, walionekana kuwa na dalili za upungufu wa maji mwilini na hypothermia na walihamishiwa katika hospitali za kisiwa hicho kwa matibabu.

Meli hiyo yenye bendera ya Malta iliondoka Lagos, Nigeria mnamo Novemba 17 na kufika Las Palmas Jumatatu, Novemba 28, 2022.

View attachment 2431553

Ijapokuwa ni hatari sana, si mara ya kwanza kwa wazamiaji wa meli kupatikana wakisafiri kwa kudandia ukingo wa majembe ya kusozea meli za kibiashara hadi Visiwa vya Canary.

Mwaka jana mvulana wa miaka 14 wa Nigeria alihojiwa na gazeti la El País la Uhispania baada ya kunusurika kwa wiki mbili kwenye majembe ya meli, Alikuwa pia ameondoka Lagos.

Miguu yao ilikuwa ikining'inia kwa inchi chache tu juu ya maji nyuma ya kizimba hicho kikubwa. Walitibiwa kwa upungufu wa maji mwilini na hypothermia.

Meli hiyo - iliyoondoka Lagos, Nigeria, mnamo Novemba 17 - ilisafiri maili 2,000 wakati wa safari ya siku 11 hadi eneo la Uhispania Kaskazini Magharibi mwa Afrika.

View attachment 2431556

Txema Santana, mshauri wa uhamiaji wa serikali ya mtaa, alisema katika tweet: "Sio wa kwanza na hautakuwa wa mwisho. Mnamo 2020, mvulana wa miaka 14 wa Nigeria alihojiwa baada ya kudumu kwa siku 15 kwenye kizimba cha meli baada ya safari kutoka Lagos.
Alinusurika kwa maji ya chumvi na kwa kulala kwa zamu kwenye shimo juu ya kizimba pamoja na watu wengine aliokuwa akisafiri nao.

“Tulikuwa dhaifu sana. Sikuwahi kufikiria inaweza kuwa ngumu hivi.” kijana alisema. Pia mwaka huo, wanaume 4 walipatikana kwenye kizimba cha meli ya mafuta ya Norway Champion Pula, ambayo pia ilisafiri kutoka Nigeria hadi Las Palmas. Walijificha kwenye chumba nyuma ya majembe wakati wa siku 10 baharini.

View attachment 2431558
Maelfu ya wahamiaji na wakimbizi wa Kiafrika wamefika Visiwa vya Canary katika miaka ya hivi karibuni kwa kufanya safari hiyo hatari kwa boti zilizojaa watu baada ya kuondoka katika pwani ya Morocco, Sahara Magharibi, Mauritania na hata Senegal.


Kufikia sasa mwaka huu, zaidi ya watu 11,600 wamefika visiwa vya Uhispania kwa boti.

View attachment 2431566

Chanzo: CNN

View attachment 2431560
Dahh..
 
Bure tunasingizia wazungu. Haya ''ma-ugoro'' ya kusingizia kushindwa kwetu eti ni wazungu wamesababisha yalishapitwa na wakati. Tatizlo la mwafrika chanzo chake ni yeye mwenyewe.

kwani anaye kuhujumu ni nani !. bila wao tokea kukutawala na sasa wanakutawala mpaka ujinga wako
 
kwani anaye kuhujumu ni nani !. bila wao tokea kukutawala na sasa wanakutawala mpaka ujinga wako
Kusingizia wazungu ni uzembe wa kutotumia akili na maarifa.Kama umelijua tatizo(kama ni tatizo halisi)basi umepata kwa kuanzia na wala si kulaumu au kusingizia.
 
sijui nilipata wapi mahojiano itakuwa mtandao wa TED .anasema "wazungu ndio walilazimisha kuharibu africa ili vyote viende kwao ila mwisho wa siku waafrika watawafata huko huko sababu vipo kwao"
Toa taito waikumbuka
 
Nigeria imekuwa kama eneo la vita kila mtu anataka kutoroka kwa vyovyote vile!
Sio tu Nigeria ila nchi zote za West na North Africa wapo tayari kwa lolote ili waingie Ulaya.. na hii inatokana na ufahamu wao mkubwa juu ya maisha ya ulaya...let's see 100 euros malipo ya chini kwa siku moja, sawa na lakimbili na nusu ya Bongo nani hataki kuzipata hizi?? Si wabongo pekeyao wasiojuwa umuhimu wa ulaya....kuna mtu humu alitangaza ana mgahawa mshahara lakimoja kwa mwezi mzima.
 
Sijui nilipata wapi mahojiano itakuwa mtandao wa TED .anasema "wazungu ndio walilazimisha kuharibu africa ili vyote viende kwao ila mwisho wa siku waafrika watawafata huko huko sababu vipo kwao"
Ina maana hata leo bado wazungu wanatutawala?
 
Kuna ndg yangu Ali storeway alipitia boda Sudan sjui waitafute misri waingie ulaya mpaka leo hatujamuona wala kumsikia
Miaka ya 87 hiyo alindokaga

Ova
Dah inauma sana, enzi hizo kuzamia ndo dili, Vip hakuacha watoto?
 
Back
Top Bottom