Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Kuna ndg yangu Ali storeway alipitia boda Sudan sjui waitafute misri waingie ulaya mpaka leo hatujamuona wala kumsikia
Miaka ya 87 hiyo alindokaga
Ova
dah alirisk sana, bora zama zile angecheza kamari kwa kuchukua mtemba bandarini hapo au Mozambique au Durban.
Dah kukatiza hiyo chocho ya Sudan ukaibukie Misri ni hatari, ni kama sasa watu wanavyokatiza hiyo Chad uingie Libya then ujimwage majini to Italy.
...