Picha zinatisha; Huu ni ugonjwa gani?

Huu ugonjwa unaitwa Genital Warts ugonjwa huu huambukizwa na Virus ambao uitwa Papinomavirus
Na kwa kifupi ukitumia choo cha kukaa ambacho anakitumia huyo mgonjwa lazima ukupate hata yale maji maji yake akikuingia tu ni soo
 
Kuna dawa fulani kama mafuta hivi huwa wanatumia mahosp kuvichoma inauma balaa ataita majina yote mwee mwee heri kuoa au kuolewa kuliko kuaka tamaa
kuna kidude fulani kam peni, halafuwanakupaka mafuta ya vaseline ndo wanavigusa kimoja kimoja wanakichoma...
unakua unaskia ok tu..
baada ya hapo ,kama dk5 vinawasha moto utaomba uzame ardhini, hosp inabidi kuwe karibu wallah...
the unaambiwa ukae kwenye beseni la maji yaliyochanganywa na detol vinabanduka kila siku mpaka viishe
 
Sio hicho kwa maeneo hayo laini huwa wanatumia podophylin na ina asilimia zake na huwezi pewa bila cheti cha dr
 
Duh kumbe madhara ngono ni makubwa hivi nang'atuka kwenye harakati
 
Silver nitrate
 
Guys dont post such . . . .
Hamu yoote ya biere imeisha.



[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Haha ha ha haiwezi kuisha asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…