Haya sio yakufurahia hata kidogo tatizo linaletwa na serikali haiangalii migogoro kama hii kwa jicho la tatu unaweza kukuta pengine hili jambo wamelipeka kwenye mamlaka husika wao wakafanya mzaha matokeo ndo haya dah so sad Allah awaponye majeraha yao
Sent using
Jamii Forums mobile app