nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,806
- 5,347
te tehe tehe mtani unaniumbuaTumia browser mtani. Teh teh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
te tehe tehe mtani unaniumbuaTumia browser mtani. Teh teh.
Sitaki upate shida Mtani. 😀te tehe tehe mtani unaniumbua
Mbele nyuma c ndo slogan yenu ninyi vyura?????Mashabiki wengi wa simba ni vijana wasio na mbele wala nyuma
Hakika hii mechi na As vita kuwania robo fainali moja ya mechi bora kabsa ktk maisha yangu ya soka.Hivi wewe kama simba mungu akupe nini
Nakumbuka comeback ya nkana
Nakumbuka mechi ya platinum
Nakumbuka mechi ya al Ahly zote mbili Taifa
Nakumbuka 4_1 vs chura
Lakini
Mechi ya As Vita ndo naipenda zaidi
Ile Haruna Niyonzima anaacha pasi Chama anafunga goli maridadi kabisa[emoji16][emoji16][emoji16]
mtani nimeshapiga kura, asante sana mtaniSitaki upate shida Mtani. 😀
😂😂 Haya. 🤝mtani nimeshapiga kura, asante sana mtani
KivpUtaona wanaweka Front Nyuzi za Jeni
Anazoziokota Facebook
🧧UMBEA.
😭USHIRIKINA.
🐼Majungu
Mtakula mlichopandaPiga kura hapa ili tumalize huu utata humu jukwaani, timu gani ina mashabiki wengi kati ya Simba (Wenye nchi) na Young Africans/Yanga (Wananchi)?
Usipoteze kura yako.