Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
UtabiriHapana, mimi nimechagua Bayern Munich. Harry Kane anahitaji kombe lake
😉
Kane atapishana na kombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UtabiriHapana, mimi nimechagua Bayern Munich. Harry Kane anahitaji kombe lake
😉
Madrid kesho atadroo na Bayern kisha atapita kwa Aggregate,
PSG nao leo watadroo na Dortmund kisha Dortmund anapita kwa Aggregate,
Final Madrid vs Dortmund
FT
RM 2
DT 0
Madrid anachukua ndoo.
Na kweli,seems ana nuksi sana. With all goals he scores but ending mzururaji.Utabiri
Kane atapishana na kombe
Bayern akifika fainali hana timu ya kumfunga Dortmund mnawachukilije DortmundHuu mzigo atabeba yeyote atakayeshinda kati ya Bayern Munich na Real Madrid.. yeyote atakaye fika final bas anabeba..
Real madrid akitoka Dortmund bigwa Bayern hana timu ya kumfungua Dortmund Msimu huuDortmund tumeshatanguliaa mapema tu, Madrid kujeni mtupe challenge ila bingwa ni wetu
TunAwaandareti sana sema wanaeza fanya maajabuBayern akifika fainali hana timu ya kumfunga Dortmund mnawachukilije Dortmund
Nani kapigwa kambaChuma ukoo
Umeshindaje urais ,SENEGALI stand with Borrussia Dortmund
Ila nimeoana kama madrid amebebwa vile lile goli la dakika ya mwisho alilofunga bayern sijaona kama kuna offside pale maana ni mchezaji wa madrid ndie aliepiga kichwa kwa lengo la kuokoa kabla mpira haujamkuta mchezaji wa bayern alietoa assist kwa kichwa hata yule jamaa wa bayern alieluka kutaka kuucheza mpira kwa kichwa wakati krosi imepigwa hakuucheza ule mpira ni mendy wa real madrid ndie aliurudisha mpira kwa kichwa wakati wa hekaheka za kutaka kuondoa hatari golini kwake2-1
Madrid mbele
Full Time
kama refa alikua anataka kuwabeba angewapa lile Goli la Nacho pia usisahau Refa aliongeza dakika zake mbili za ziada na bado akazidishaIla nimeoana kama madrid amebebwa vile lile goli la dakika ya mwisho alilofunga bayern sijaona kama kuna offside pale maana ni mchezaji wa madrid ndie aliepiga kichwa na kumkuta mfungaji hata yule jamaa wa bayern alieluka kutaka kuucheza mpira kwa kichwa hakua offside wakati krosi inapigwa