Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Mkuu ungejadili iyo scenerio niliyoiongelea mimi, kikanuni unawwza kunielewesha kama refa alikua sahihi kukataa lile goli?kama refa alikua anataka kuwabeba angekawapa lile Goli la Nacho pia usisahau Refa aliongeza dakika zake mbili za ziada na bado akazidisha
Nb: tujadiliane kistaarabu