Piga Kura: Klabu gani itashinda Champions League 2024?

Piga Kura: Klabu gani itashinda Champions League 2024?

Klabu gani itashinda Champions League 2024?


  • Total voters
    118
  • Poll closed .
sina mda wa kubishana na kitu ambacho hakiwezi kubadili uhalisia wa kilichotokea jana hakuna wa kubadili maamuzi ata kama tukiandika insha za page 100 ni kazi Bure unazungumzia utalamu wew una utalamu Gani kumzidi Refa aliyechezesha mechi ya jana Refa kasema offiside wew unataka kuaza kufanunuliwa haupo sawa wew afu kwanin unajisaulisha kwamba mpigaji alipiga mpira wakati tayari kibendera alikua amenyosha mkono juu kuwa ni offiside na ndio maana kipa alisimama tu hakutaka kuangaika na kitu chochote alikua tayari kaona kibendera kimenyoshwa Rudi kangalie mechi ya PSG na Dotmund ucheki Goli kama lile lilokataliwa unaweza kupata kitu maana inaonesha wew unaujaji mwingi afu hutazami Mechi vizuri kwa kusaidia mpira kuingia wavuni haimanishi Ni Goli
Sawa, asante kwa reply yako.
 
Ishapangwa mwaka huu ibebe timu hii, mwaka ujao ibebe timu ile, kiuhalisia mpira siku hizi una maamuzi ya kipumbavu sawa na masumbwi tu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Kwenye hizi hatua za mtoano ukikutana na real madrid unatakiwa kumkung'uta kisawa sawa mpaka refa ashindwe kuwabeba kama walivyofanya man city msimu jana lakini ubao uwe unasoma matokeo yanayokaribiana mfano 1-0, 1-1, 2-1 n.k halafu madrid ndio inabidi achomoe, apige goli ushindi au alinde ushindi lazima refa atoe maamuzi ya utata yatakawanufaisha real madrid. Sikuona sababu ya kulikataa lile goli la bayern la dakika ya mwisho.
 
Hajabebwa, refa anapuliza filimbi ya offside ikiwa ana uhakika ni offside.
Huwa wanaacha moves ziendelee ili waje kuthibitisha baadae kama offside ina utata.
Ila kama haina utata na riseman amejiridhisha ni offside chap kibendera kinapanda, refa wa kati anapuliza kipyeng
Goli la Dortmund lilifungwa wakati tayari kipyenga kimepulizwa, hata kipa wa Madrid alikua kasimama tu anawashangaa Dortmund wakiendelea kujipiga vyenga wakati filimbi ya offside ishapulizwa.
usip
You think your are very clever but the fact is you are empty-headed
asa mim na wew nani ni empty Head refa kasema Sio Goli wew unakataa unasema Goli kama sio uchizi ni kitu Gani tupunguzeni ujuaji kweny vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wetu apo ulipo yawezekana hujawahi ata kuchezesha mechi ya mchangana umenganana lile likua Goli nazani ata Elimu yako haijakukomboa mtu umesoma afu unashidwa kutofautusha kati ya fact,opinion,Reality,na Truth
 
usip

asa mim na wew nani ni empty Head refa kasema sio Goli wew unaanganana kama ni Goli kama sio uchizi ni kitu Gani tupunguzeni ujuaji kweny vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wetu apo ulipo yawezekana hujawahi ata kuchezesha mechi ya mchangana umenganana lile likua Goli nazani ata Elimu yako haijakukomboa mtu umesoma afu unashidwa kutofautusha kati ya fact,opinion,Reality,na Truth
 
Wale wazee wa kubeti kama ikitokea Madrid akafungwa utaskia oooh mechi imeuzwa fixed😂😂 wao akil zao zinawaza Hela th Yani apo ameliwa pesa au amekosa pesa ndefu ko anahusi real watauza mechi ili wapate pesa😂. Akati kuanzia timu wachezaji kocha mpka mashabiki kitu muhimu na Mataji Ile ni heshima kubwa sana ko kama hueza kuuza heshima ko kla timu lazima ipambane upate Mataji mana ni CV Kwa kocha mchezaji na timu. Kamwe hakuna timu au wachezaji duniani wajikoseshe ubingwa et Kwa sababu ya pesa never mana hakuna pesa inaeza nunua heshima kama Ile ya Mataji ndomana watu wanashindania kombe( heshima na CV nzuri) na sio pesa
 
Back
Top Bottom