Piga Kura: Klabu gani itashinda Champions League 2024?

Klabu gani itashinda Champions League 2024?


  • Total voters
    118
  • Poll closed .
Sawa, asante kwa reply yako.
 
Ishapangwa mwaka huu ibebe timu hii, mwaka ujao ibebe timu ile, kiuhalisia mpira siku hizi una maamuzi ya kipumbavu sawa na masumbwi tu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Kwenye hizi hatua za mtoano ukikutana na real madrid unatakiwa kumkung'uta kisawa sawa mpaka refa ashindwe kuwabeba kama walivyofanya man city msimu jana lakini ubao uwe unasoma matokeo yanayokaribiana mfano 1-0, 1-1, 2-1 n.k halafu madrid ndio inabidi achomoe, apige goli ushindi au alinde ushindi lazima refa atoe maamuzi ya utata yatakawanufaisha real madrid. Sikuona sababu ya kulikataa lile goli la bayern la dakika ya mwisho.
 
usip
You think your are very clever but the fact is you are empty-headed
asa mim na wew nani ni empty Head refa kasema Sio Goli wew unakataa unasema Goli kama sio uchizi ni kitu Gani tupunguzeni ujuaji kweny vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wetu apo ulipo yawezekana hujawahi ata kuchezesha mechi ya mchangana umenganana lile likua Goli nazani ata Elimu yako haijakukomboa mtu umesoma afu unashidwa kutofautusha kati ya fact,opinion,Reality,na Truth
 
 
Wale wazee wa kubeti kama ikitokea Madrid akafungwa utaskia oooh mechi imeuzwa fixedπŸ˜‚πŸ˜‚ wao akil zao zinawaza Hela th Yani apo ameliwa pesa au amekosa pesa ndefu ko anahusi real watauza mechi ili wapate pesaπŸ˜‚. Akati kuanzia timu wachezaji kocha mpka mashabiki kitu muhimu na Mataji Ile ni heshima kubwa sana ko kama hueza kuuza heshima ko kla timu lazima ipambane upate Mataji mana ni CV Kwa kocha mchezaji na timu. Kamwe hakuna timu au wachezaji duniani wajikoseshe ubingwa et Kwa sababu ya pesa never mana hakuna pesa inaeza nunua heshima kama Ile ya Mataji ndomana watu wanashindania kombe( heshima na CV nzuri) na sio pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…