MulengaMulenga
Member
- Dec 29, 2021
- 54
- 89
Leverkusen bila shaka.BAYER 04 LEVERKUSENView attachment 2996466 VSView attachment 2996467ATALANTA BC
Naomba kujua maoni yenu! Klabu gani itashinda Europa League finali leo na kwa nini?
Lakini Atalanta amewashinda Liverpool kwa urahisi!!Leverkusen bila shaka.
Hili sio suala la kuuliza.
Liverpool angekutana na Bayer Leverkusen asingechomoka jino moja.Lakini Atalanta amewashinda Liverpool kwa urahisi!!
Leverkusen Moto wake sio wa kuchezea na AtalantaLakini Atalanta amewashinda Liverpool kwa urahisi!!
Ilipaswa kuisha leo leo saa mbili usikuUpigaji kura utaisha trh 24 May wakati tayari mshindi atakuwa amejulikana 😂
Ni kweli, lakini nadhani Leverkusen wanahitaji Overtime ndefu tena. Bila Overtime itakuwa kigumu zaidi 😂Liverpool angekutana na Bayer Leverkusen asingechomoka jino moja.
Leverkusen msimu huu ina performance ya kushindana na timu yeyote ile.
Bayern munich yenyewe inasanda kwa Leverkusen.
Na kama Leverkusen ingeingia UCL msimu huu balaa lingetokea.
Overtime kiaje kaka!?Ni kweli, lakini nadhani Leverkusen wanahitaji Overtime ndefu tena. Bila Overtime itakuwa kigumu zaidi 😂
Yani mkuu hizo timu ulizoleta unazifananisha na Atalanta kweli?
tulia kaka, sijasema hawatashinda leo. Nimesema tu wamepata bahati nzuri mara kwa mara. Kwa mfano mechi wameshinda na Qarabag, wamepata bahati nzuri sana.Yani mkuu hizo timu ulizoleta unazifananisha na Atalanta kweli?
Are you serious!?
Basi sawa,unataka kunambia MECHI ZOTE ALIZOSHINDA LEVERKUSEN KASHINDA KWA ADDITIONAL MINUTES!?
Chukua uwiano wa mechi ulizoleta na mechi alizoshinda ndani ya uwanja ndani ya 90 minutes plain je zinawiana!?
Mkuu samahani ila hii hoja yako mfu na butu.
Kutegemea magoli yao ya dakika za mwisho yale wakichichanganya leo watapakiwa basi la kufa mtuNi kweli, lakini nadhani Leverkusen wanahitaji Overtime ndefu tena. Bila Overtime itakuwa kigumu zaidi 😂
game saa ngapi mkuu?BAYER 04 LEVERKUSEN
View attachment 2996466
VS
View attachment 2996467
ATALANTA BC
Mabingwa wa bundesliga bayer leverkusen kumenyana na atalanta fainali ya ligi ya europa.
Naomba kujua maoni yenu! Klabu gani itashinda Europa League Finali leo na kwa nini?