MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Kamari ngumu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona Bayer alichofanywa na timu za doping ?Leverkusen Moto wake sio wa kuchezea na Atalanta
Muhindi kafanya yake fixed game as usual, hapo watu wameliwa Pesa vibaya sana Jana wamemjazia mzigo LeverkusenUmeona Bayer alichofanywa na timu za doping ?
Tena hapo kura zimepungua kwavile wengine wamepiga baada ya kuona Atalanta anaongoza, kuna muda niliangalia matokeo nikakuta Leverkusen ana kura 80+ na hiyo inaashiria ni namna gani watu wa kubet wengi watakuwa wamepigwa za uso.Aliyepigiwa kura nyingi ndio kafungwa [emoji23][emoji23][emoji16]
Mimi nilikua nawachukulia poaAtalanta mnawachukulia poa poa mpango mechi utakuwa tofaut naiona mechi ngumu kwa Bayern Leverkusen
Wala hakuna fixed game, bali Leverkusen kazidiwa mbinu kama walivyofanyiwa wenzie LiverpoolMuhindi kafanya yake fixed game as usual, hapo watu wameliwa Pesa vibaya sana Jana wamemjazia mzigo Leverkusen
Unashangaa imekuaje haya maajabu hii SIO fixed watu wameliwa mpaka Nusu KUFAAh lamamayee mpira mwanaharamu.
Leverkusen SIO wa kufungwa na Atalanta Goli 3 kwa SifuriWala hakuna fixed game, bali Leverkusen kazidiwa mbinu kama walivyofanyiwa wenzie Liverpool
Naunga mkono hojaTena hapo kura zimepungua kwavile wengine wamepiga baada ya kuona Atalanta anaongoza, kuna muda niliangalia matokeo nikakuta Leverkusen ana kura 80+ na hiyo inaashiria ni namna gani watu wa kubet wengi watakuwa wamepigwa za uso.
Ni kweli haha 😂 Nimefanya edits sasa, haiwezekani kubadilisha votes tena. Kabla ya game imeanza jana watu wawili wamechagua Leverkusen tu 😂😂Tena hapo kura zimepungua kwavile wengine wamepiga baada ya kuona Atalanta anaongoza, kuna muda niliangalia matokeo nikakuta Leverkusen ana kura 80+ na hiyo inaashiria ni namna gani watu wa kubet wengi watakuwa wamepigwa za uso.
Hii noma Xavi Alonzo Amelia sana maana Dunia nzima ilimwamini muhindi akamwamini zaidi kauza gemu shenzi kabisaNi kweli haha 😂 Nimefanya edits sasa, haiwezekani kubadilisha votes tena. Kabla ya game imeanza jana watu wawili wamechagua Leverkusen tu 😂😂
Basi mkuu wewe ni miongoni mwa watu wasioupa heshima mchezo wa mpira wa miguu. Hakuna timu isiyofungika duniani. Mpira ni mbinu na ufundi, na makosa. Unadhani Leverkusen na huyo Alonso hawakutaka kupata sifa ya mataji? Ela zinatumika zinaisha, ila mataji ni kuongeza profile ya timu, CV ya kocha kupanda na pia ni kumbukumbu ya milele.Leverkusen SIO wa kufungwa na Atalanta Goli 3 kwa Sifuri
Alonzo Amelia sana Jana tamaa mbayaBasi mkuu wewe ni miongoni mwa watu wasioupa heshima mchezo wa mpira wa miguu. Hakuna timu isiyofungika duniani. Mpira ni mbinu na ufundi, na makosa. Unadhani Leverkusen na huyo Alonso hawakutaka kupata sifa ya mataji? Ela zinatumika zinaisha, ila mataji ni kuongeza profile ya timu, CV ya kocha kupanda na pia ni kumbukumbu ya milele.
😳😳😳😳Kauza mechi? Wabongo bwana kwa ujuaji tumebarikiwa. Matokeo yakienda vile msivyotaraji hamtaki kumsifu timu pinzani bali ni mihemko ya kihisia tu.Hii noma Xavi Alonzo Amelia sana maana Dunia nzima ilimwamini muhindi akamwamini zaidi kauza gemu shenzi kabisa
Mkeka wangu niliweka 30k ulikua unatema 170k lamamayee.Unashangaa imekuaje haya maajabu hii SIO fixed watu wameliwa mpaka Nusu KUFA
Sasa kama ingekuwa kauza, alikuwa na sababu gani ya kulia sana. Tumia akili basi kuchanganua mambo. Ndio shida ya kuidharau Atalanta wakati Liverpool anawajua vizuri tuAlonzo Amelia sana Jana tamaa mbaya
Mkuu nimegundua una hasira ya mkeka kuchanika ndio maana akili yako imelala tu kwenye kuuza mechi. Alonso ni kocha anayetaka kuipamba CV yake kwa udi na uvumba na alikuwa analisaka taji lake la kimataifa kwa mara ya kwanza na pia alikuwa anataka kuendeleza record yake ya unbeaten. Kilichotokea jana kimemuuma sana. Na inawezekana hakutegemea kukutana na ile surprise ile kutoka kwa waitalianoAlonzo Amelia sana Jana tamaa mbaya
Sure Alonzo Amelia sana maana tamaa zimemponza huwezi kuuza game km Ile kizembe namna Ile kuna game nilikua nasema kabisa hii Leverkusen hatoboi anaenda kunionyesha maajabu mpaka nashikwa na bumbuwazi Jana nimekaa Mguu juu najua kabisa Atalanta anaenda kutoboka sababu naijua Atalanta ni Sawa uikutanishe Yanga na Prisons unajua kabisa nani anaenda kushinda hapaKilichotokea jana kimemuuma sana. Na inawezekana hakutegemea kukutana na ile surprise ile kutoka kwa waitaliano