Piga Kura: Nani atashinda Europa League Final leo? Atalanta au Leverkusen?

Piga Kura: Nani atashinda Europa League Final leo? Atalanta au Leverkusen?

Klabu gani itashinda Europa League Finali leo?


  • Total voters
    62
  • Poll closed .
Pole sana mkuu ,maisha ni vita ..😂😂😂 usibet na matokeo mfukoni nenda na takwimu zilizopo..
Mkuu game hii ya Atalanta imekua kama ile ya majuzi Osasuna vs Atletiko madrid.
Nikajua Yeees Osasuna anakula nyingi,Atletico akapigwa 4-1 rafiki yangu.
Hizi timu kubwa muda mwingine kama zinaugua.
 
Wanaosema sijui mechi imeuzwa au fixed tuwaache Haina haja ya kubishana nao bila shaka ni pesa walizobetia au ilizobidi wale ndo zinawauma maana wameingia na matokeo Yao mfukoni. Mtu anasema kabisa Kwa kujiamin ety timu flani haiwezekan kabisa kuifunga timu flani😂 akili za betting bhn daaah ko sasa hio mechi isingechezwa basi kama Atalanta hawez kumfunga Leverkusen sa sijui Atalanta hawana miguuu😂 kwamba hawawez kupasiana na kufunga 😂😂😂 dahh betting zinaua watu jmn sio poa. Duniani Kuna timu Bora ndio na zinapocheza na timu zenye ubora wa chini basi timu yenye nguvu inauwezekano mkubwa wa kushinda mechi na uwezekano hupimwa Kwa asilimia , na hakuna timu duniani yenye 100% ya kushinda mechi. Hyo haipo kamwe utakuta ata kma ikiwa na 99% za kushinda BDO hyo 1% ya kufungwa inaeza kutokea. Mim mwnyw mbona huwa nabeti sana tu high stake na nnaliwa fresh tu basi nakausha najua n matokeo ya mpira tu basi
 
Mechi imeuzwa
Jinsi Gani wachezaji na timu nzima pamoja na kocha Alonso walivokuwa na uchu wa kupata treble na pia kuendeleza unbeaten afu wauuze mechi kipuuzi kabisa 🤔 we bila shaka umebeti ndomana unaropoka . Mafanikio makubwa ya wachezaji na timu ni kutwaa Mataji ili kutengeneza CV na heshima ndomana watu wanashindania kombe na sio pesa.Kamwe haipo timu duniani eti ijifungishe mechi ya fainali wakose kombe ili wapewe pesa never. Mfano ww bila shaka huwezi kukubali kulawatiwa Kwa ajili ya pesa si ndio . Ko apa umechagua heshima ya uwanaume wako mbele ya pesa kuliko kulawatiwa .
 
Jinsi Gani wachezaji na timu nzima pamoja na kocha Alonso walivokuwa na uchu wa kupata treble na pia kuendeleza unbeaten afu wauuze mechi kipuuzi kabisa [emoji848] we bila shaka umebeti ndomana unaropoka . Mafanikio makubwa ya wachezaji na timu ni kutwaa Mataji ili kutengeneza CV na heshima ndomana watu wanashindania kombe na sio pesa.Kamwe haipo timu duniani eti ijifungishe mechi ya fainali wakose kombe ili wapewe pesa never. Mfano ww bila shaka huwezi kukubali kulawatiwa Kwa ajili ya pesa si ndio . Ko apa umechagua heshima ya uwanaume wako mbele ya pesa kuliko kulawatiwa .
Mkuu Game inachezwa uwanjani na nje ya uwanja.
Let say 85% ya waliobet wamempa bayer leverkusen.
15% Atalanta.

Assume kombe lina thamani ya mil.500

Wakati huo muhindi anahitaji kuchana 85% ya mikeka.

Bayer leverkusen anapewa 1.2B .

Unadhani atakataa kujifungisha akapiga 1.2B

Hapo ndo mtu anakosa penati.
Kila movie inatoka nje na kugonga post.

Ukubali ukatae mechi Zinauzwa 100%
 
Jinsi Gani wachezaji na timu nzima pamoja na kocha Alonso walivokuwa na uchu wa kupata treble na pia kuendeleza unbeaten afu wauuze mechi kipuuzi kabisa [emoji848] we bila shaka umebeti ndomana unaropoka . Mafanikio makubwa ya wachezaji na timu ni kutwaa Mataji ili kutengeneza CV na heshima ndomana watu wanashindania kombe na sio pesa.Kamwe haipo timu duniani eti ijifungishe mechi ya fainali wakose kombe ili wapewe pesa never. Mfano ww bila shaka huwezi kukubali kulawatiwa Kwa ajili ya pesa si ndio . Ko apa umechagua heshima ya uwanaume wako mbele ya pesa kuliko kulawatiwa .
Mkuu Game inachezwa uwanjani na nje ya uwanja.
Let say 85% ya waliobet wamempa bayer leverkusen.
15% Atalanta.

Assume kombe lina thamani ya mil.500

Wakati huo muhindi anahitaji kuchana 85% ya mikeka.

Bayer leverkusen anapewa 1.2B .

Unadhani atakataa kujifungisha akapiga 1.2B

Hapo ndo mtu anakosa penati.
Kila movie inatoka nje na kugonga post.

Ukubali ukatae mechi Zinauzwa 100%
 
Wanaosema sijui mechi imeuzwa au fixed tuwaache Haina haja ya kubishana nao bila shaka ni pesa walizobetia au ilizobidi wale ndo zinawauma maana wameingia na matokeo Yao mfukoni. Mtu anasema kabisa Kwa kujiamin ety timu flani haiwezekan kabisa kuifunga timu flani😂 akili za betting bhn daaah ko sasa hio mechi isingechezwa basi kama Atalanta hawez kumfunga Leverkusen sa sijui Atalanta hawana miguuu😂 kwamba hawawez kupasiana na kufunga 😂😂😂 dahh betting zinaua watu jmn sio poa. Duniani Kuna timu Bora ndio na zinapocheza na timu zenye ubora wa chini basi timu yenye nguvu inauwezekano mkubwa wa kushinda mechi na uwezekano hupimwa Kwa asilimia , na hakuna timu duniani yenye 100% ya kushinda mechi. Hyo haipo kamwe utakuta ata kma ikiwa na 99% za kushinda BDO hyo 1% ya kufungwa inaeza kutokea. Mim mwnyw mbona huwa nabeti sana tu high stake na nnaliwa fresh tu basi nakausha najua n matokeo ya mpira tu basi
Katika historia yangu ya kubet kamwe siwezi kubet mechi ya fainali. Game ya fainali watu wanapambana kufa na kupona. Game ya fainali usishangae wigan akampiga arsenal. Man u kila siku anatobolewa na watoto wadogo tu cheki fainali ya fa walivyomkazia man city sasa
 
Mkuu Game inachezwa uwanjani na nje ya uwanja.
Let say 85% ya waliobet wamempa bayer leverkusen.
15% Atalanta.

Assume kombe lina thamani ya mil.500

Wakati huo muhindi anahitaji kuchana 85% ya mikeka.

Bayer leverkusen anapewa 1.2B .

Unadhani atakataa kujifungisha akapiga 1.2B

Hapo ndo mtu anakosa penati.
Kila movie inatoka nje na kugonga post.

Ukubali ukatae mechi Zinauzwa 100%
Mkuu pesa hainunui legacy. Ukiuza mechi utapata hela nyingi kuliko hela ambayo ungepata kama ungechukua kombe lakini brand yako itapolomoka. Thamani ya kombe ni ndogo sana ukilinganisha na gharama za kuendesha timu lakini kwanini timu zinashiriki hayo mashindano? Kwa sababu zinapambania kukuza brand. Brand ndio yenye hela.
 
Messi na Ronaldo wanapiga pesa ndefu sana kwny mpira na nje ya mpira kupitia matangazo mbalimbali ya kampuni lakini ndoto Yao kubwa na kubeba kombe la Dunia ambapo Messi tayar BDO Ronaldo ko apo ujiulize kwamba wanalisaka sana kombe la Dunia Kwa sababu Lina Hela au kuweka legacy na heshima . Bila shaka jibu unalo heshima au legacy ya Mataji ni ndoto ya Kila mchezaji Wala sio pesa Kwa maana mshahara wanao hawachezi bure . Harry Kane anasema anajihisi ana mkosi amefunga magoli mengi lkn Hana kombe ata Moja ko akili za timu na wachezaji ni kuchukua Mataji na si vinginevo Yani we umaskini wako ndo unahisi Kila sehemu ni pesa tu ko ulawitiwe ili upewe pesa utakubali🤔 bila shaka hauwez kuruhusu hvo mana utavunja heshima yko ya uwanaume. NB ; kama unabeti mbeti kistaarabu hakuna matokeo ya uhakika afu pia fainali sio za kuzibetia kimbia kabisa mana watu wanaliona kombe Lile pale hawawez cheza kizembe mfana man u alitumia mfumo wa 4-2-2-2 apa wanakabia katikati mana man city sio watu wa kutokea pembeni sana mana wanachezea mpira katikati ili wakufungue ko ten hag akatumia mbinu nzuri dhidi ya pep . Ten hag kaweka viungo wakabaji watatu mctomminay mainoo na amrabat, ko mpira n mbinu zaidi . Atalanta kamfunga Liverpool 3-0 kwake ata hukushtuka ukaamua ubetie fainali pesa Yako yote umpe Leverkusen ukaayatimba😂
 
Liverpool angekutana na Bayer Leverkusen asingechomoka jino moja.
Leverkusen msimu huu ina performance ya kushindana na timu yeyote ile.
Bayern munich yenyewe inasanda kwa Leverkusen.
Na kama Leverkusen ingeingia UCL msimu huu balaa lingetokea.
Mchambuzi toka bonyokwa
 
Sasa swali gani hili la kuja kufungulia uzi humu mkuu?

Umewahi kuona mtu anapigwa na kugalagazwa mitaroni kwenye maji machafu mpaka anakatiwa vifungo vya shati kwa kipigo?

Ndo kitakachomkuta Atlanta [emoji23]
Mchambuzi toka matakataka Fm
 
Mkuu Game inachezwa uwanjani na nje ya uwanja.
Let say 85% ya waliobet wamempa bayer leverkusen.
15% Atalanta.

Assume kombe lina thamani ya mil.500

Wakati huo muhindi anahitaji kuchana 85% ya mikeka.

Bayer leverkusen anapewa 1.2B .

Unadhani atakataa kujifungisha akapiga 1.2B

Hapo ndo mtu anakosa penati.
Kila movie inatoka nje na kugonga post.

Ukubali ukatae mechi Zinauzwa 100%
We jamaa akili zako zimekaa kibetting kabisa mana mtu ambaye habeti Wala hawezi kuongelea upuuzi huo eti wa kuuza mechi we kaa na akili Yako hvohvo kwamba mechi zinauzwa . Kwakweli mi sijawah ona timu duniani iuze kombe Tena ni timu ambayo Ina uwezo wa kubeba Hilo kombe. Nashindwa kuelewa kwann watu wanaongelea sna mechi kuuzwa🤔 nikaja kugundua kumbe ni wamebeti. Sijui ni timu Gani duniani inashinda mechi zake zote bila ata kutoa sare au kufungwa msimu mzima, mana ata ikiwa na msimu mzuri ikawa hajafungwa basi lazima itatoa sare mechi kazaa sasa inaeza angukia sare kwny timu dhaifu apo ndo utaskia mechi imeuzwa😂😂 basi ingia uwanjani ukacheze ww km ni rahisi unazani. Alokwambia uwabetie nan😄🤔 we yko mbona ndogo sana watu washabetia timu imepewa odd 1.02 kushinda afu sare odds 13 na kufungwa odds 24 na BDO hyo timu yenye oddal 1.02 haikushinda mechi. Pia tambua wachezaji ni binadamu sio marobot sio kla sku watacheza katka fomu na mudi ileile siku zote
 
Back
Top Bottom