LEARNED BROTHER
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 592
- 844
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utagombea kupitia chama gani!Karibu jimboni Nyamagana. Wapiga kura wanajua brother.
Masalu Jacob mtoto wa mjini.
Unaandika kishamba sana.utakua ccm tu si bureNitake radhi brother. Mimi sio muhuni. Mimi ni bonge moja la mstaarabu Nyamagana Mwanza wanajua.
Siasa ya sasa hivi sio lelemama brother jiangalie.
Kupitia chama gani ?Nukuu "penda kazi usipende ofisi".
Ukiamua kuwa mwanasiasa na ukafahamu majukumu yako kwa jamii basi hautababaishwa na madhira utakayokutana nayo wakati wa safari.
Hakuna kitu rahisi hapa duniani hata usingizi kuupata lazima uupambanie. Huwezi kuchagua kuwatumikia watu ukaweka maslai yako mbele.
Sisi bado tupo hatupungui na hatuishiwi kamwe. Tunazidi tu kuchipua tena tuna nguvu zaidi ya jana.
Karibu
Piga kura yako kwa mtoto wa mjini Masalu Jacob (Jimbo la Nyamagana)
MWANZA - NYAMAGANA STAND UP
Anaudhi sana huyu..mtoto wa mjini..ni sifa ipi hiyo...Mpiga chabo aka Kozimeni au?Ndo maana umaskini hauishi..yaan km ww ndo Mb mtarajiwa nahama nchi!u aleta uhuni hapa..mtot wa mjini sasa sisi tufanyeje
Anaudhi sana huyu..mtoto wa mjini..ni sifa ipi hiyo...Mpiga chabo aka Kozimeni au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana yeye sio Wa kile chama cha washambaKwanza ww ni chama gani
Kama wewe ni ccm hatukupi kura zetu
Siwezi nikatabiri chama chakeIna maana yeye sio Wa kile chama cha washamba
Ni mzigua?Nukuu "penda kazi usipende ofisi".
Ukiamua kuwa mwanasiasa na ukafahamu majukumu yako kwa jamii basi hautababaishwa na madhira utakayokutana nayo wakati wa safari.
Hakuna kitu rahisi hapa duniani hata usingizi kuupata lazima uupambanie. Huwezi kuchagua kuwatumikia watu ukaweka maslai yako mbele.
Sisi bado tupo hatupungui na hatuishiwi kamwe. Tunazidi tu kuchipua tena tuna nguvu zaidi ya jana.
Karibu
Piga kura yako kwa mtoto wa mjini Masalu Jacob (Jimbo la Nyamagana)
MWANZA - NYAMAGANA STAND UP
Acha ukabila wewe.Ni mzigua?
Haahaa unawaza ukabila? Nyamagana mimi ni home sio wakuja brother.ni msukuma?
Haahaa ushaambiwa mimi mtoto wa mjini wasiwasi wa nini brother.Siwezi nikatabiri chama chake
Mtoto wa mjini maana yake mtoto anayejua njia nzuri na mbaya.Anaudhi sana huyu..mtoto wa mjini..ni sifa ipi hiyo...Mpiga chabo aka Kozimeni au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu Mwanza - Nyamagana.Ndo maana umaskini hauishi..yaan km ww ndo Mb mtarajiwa nahama nchi!u aleta uhuni hapa..mtot wa mjini sasa sisi tufanyeje