Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa Mkuu vipi Mabula kashaanza kuaga jimboni , maana Uchaguzi huu afe Kipa afe beki CCM hana chake siyo Mwanza tu ,bali Tanzania nzima.Sitasema chama brother naijua siasa ya bongo.
Brother najua unajua mimi chama gani.
Kwa muda mfupi nimesoma unachoandika, na jinsi unavyijibu maswali na kujitapa umefanya mengi kwa taifa, nawezasema wewe siyo mtu wa kushika nafasi ya ubunge wa Mwanza. Unatafuta ajira tu!Unahisi nina mzaha brother? utakuwa unakosea sana. Mimi ni kijana mtaratibu na mwenye heshima sana.
Ndio maana naifahamu siasa brother. Hutajuta siku ukinifahamu na ukajua nilishaifanyia nini taifa unaweza niamini.
Nakujibu kwa staha nafahamu fika lengo lako.Kwa muda mfupi nimesoma unachoandika, na jinsi unavyijibu maswali na kujitapa umefanya mengi kwa taifa, nawezasema wewe siyo mtu wa kushika nafasi ya ubunge wa Mwanza. Unatafuta ajira tu!
Haahaa wewe utakuwa chama kuonea sio bure.Chama chochotr eakikupitisha kugom ea wewe! Nahama makazi yangu nyamagana bora niende hata gaboshi kuishi hulo kuliko kuwakilishwa na mtu kama wewe.
Brother mimi ni 26 namba. Mtoto wa mjini.
Karibu jimboni Nyamagana - Mwanza piga kura yako kwa mtoto wa mjini Masalu Jacob.
Haahaa tutamsaidia kumfanyia sherehe ya sindikiza hana chake yule mjamaa.Poa Mkuu vipi Mabula kashaanza kuaga jimboni , maana Uchaguzi huu afe Kipa afe beki CCM hana chake siyo Mwanza tu ,bali Tanzania nzima.
Jimbo la Nyamagana Mwanza lilikuwa linanisubiri kwa hamu sasa ndio nakuja.
Haahaa mtanawa mikono mwaka huu nawaambia si mnajifanya siasa zenu za mafaili mtajiona hamna.
Naijua nia yako sijiweki mtegoni abadani.CCM hamuna ubavu wa kushindana kwa njia ya kura, subiri kuteuliwa kama wenyeviti wa serekali za mitaa.
Mwambie dkt john nae aache ukabila na ukandaAcha ukabila wewe.
Hapa kwenye vitambulisho vya umachinga ndipo ninapokosa hamu ya kuwasikia watoto wa mjini, mlitupiga ishirini ishirini zetu kupitia mradi wenu huu wa vitambulisho na kusepa nazo, mmetuacha tunakimbizana na watendaji mkokimya utafikri siyo ninyi mliotupiga ishirini zetu.Haahaa unamjua wewe mwasisi wa vitambulisho vya wamachinga hapa nchini?
Sijakurupuka brother.
Sifungamanishwi na hisia hizo. Mimi niliweka wazo la kuondoa changamoto ya wamachinga kwa kushauri wafanyiwe urasimishaji huduma zao na watambuliwe na mamlaka husika tu baada ya ile hama hama kutoka Tanganyika Bus stand kwenda Nyegezi Bus stand, kutoka Lango lango kwenda Buswelu na kutoka Makoroboi kwenda Kitangiri Market. Rejea kumbukumbu za mwezi 10 mwaka 2016.Hapa kwenye vitambulisho vya umachinga ndipo ninapokosa hamu ya kuwasikia watoto wa mjini, mlitupiga ishirini ishirini zetu kupitia mradi wenu huu wa vitambulisho na kusepa nazo, mmetuacha tunakimbizana na watendaji mkokimya utafikri siyo ninyi mliotupiga ishirini zetu.
Mwambie Nyamagana hana chake na pale sio sehemu ya majaribio. Mkumbushe mwezi 10 mtoto wa mjini anakabidhiwa jimbo.Mimi nitampigia Mhe. Mabula.
Utoto upi brother? Mimi nakujibu kutokana na ulivyouliza. Pia naelewa sheria zetu zilivyo nipo makini sana. Sitaweza kuteleza katika hilo au kuanguka katika ujuha.NAona kama muonesha niya ana utoto mwiingi!
Bora umemwambiaSawa mtoto wa mjini. Kwa huku Kinondoni ukisema mtoto wa mjini kuna tafsiri nyingi sana.