Piga ua, mradi wa JKN Power Plant (Stiegler's Gorge) lazima ukamilike

Piga ua, mradi wa JKN Power Plant (Stiegler's Gorge) lazima ukamilike

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Binadamu tuna maneno sana. Lakini kati ya vitu vyote, Magufuli atakumbukwa kwa vizazi vingi vikavyo kwa kutekeleza mradi wa Umeme wa JK Nyerere Power plant kule Stieglers Gorge.

Huu mradi kiuchumi ni game changer.

Umeme rahisi utapunguza sana gharama za uzalishaji na hata kimaisha kwa matumizi ya nyumbani.

Kwa hili, kongole kwa President. Magufuli.
 
Bavicha wanafikiri roho zao mbaya zitafanya mipango isiendelee
 
Kuhusu gharama za umeme kupungua hilo sahau. Mkopo wa shs trillion 7+ na riba yake zinazotumika kujenga bwawa unadhani tutaulipaje? Ni kupitia manunuzi ya units za umeme.

Muda utaongea tuombe uzima
 
Kukamilika ni lazima, halafu siyo ombi, nipe like!
Miaka 10 ijayo hiyo project itaonekana ni jambo dogo sana . tutakapokuwa na matumizi ya 10,000 MW unadhani 2115MW za sriegler's itakuwa a novice project. Future yetu IPO kwenye renewables kama solar na Wind kama dunia inavyoelekea . Stiegler ni ka project kadogo mno tukifika uchumi nzuri. In the near future tutalazimika kugeukia gas ( 5 years) ni mbali kabla hatujageukia kinyerezi phase 3 na 4. Labda tungekuwa na potential kama Congo yenye 35000 MW ndio tungejidai. Lakini kwa sasa , ni uchumi dhafu ndio unafanya stiegler ionekane ni giant project. Hata hivyo tukikamjlsha stiegler tutapumua kwa miaka michache tufikirie zaidi ya hapo.
 
Miaka 10 ijayo hiyo project itaonekana ni jambo dogo sana . tutakapokuwa na matumizi ya 10,000 MW unadhani 2115MW za sriegler's itakuwa a novice project. Future yetu IPO kwenye renewables kama solar na Wind kama dunia inavyoelekea . Stiegler ni ka project kadogo mno tukifika uchumi nzuri. In the near future tutalazimika kugeukia gas ( 5 years) ni mbali kabla hatujageukia kinyerezi phase 3 na 4. Labda tungekuwa na potential kama Congo yenye 35000 MW ndio tungejidai. Lakini kwa sasa , ni uchumi dhafu ndio unafanya stiegler ionekane ni giant project. Hata hivyo tukikamjlsha stiegler tutapumua kwa miaka michache tufikirie zaidi ya hapo.
Acha hizo.
Mwaka 1934 , Rais Edgar Hoover alijenga dam, Hoover Dam yenye mitambo ya kutengeneza 2080MW za umeme.
(JKNyerere Dam itatengeneza 2115MW)
Leo karibia miaka 90 bado umeme huo ni milestone katika uchumi wa Marekani.
Tumpe Magufuli heko anayostahili.
 
Kabla ya huu ule wagas umeishia wapi? unajengwa na watanzania na utauwawa na watanzania wenyewe.
 
Back
Top Bottom