Piga ua, mradi wa JKN Power Plant (Stiegler's Gorge) lazima ukamilike

Piga ua, mradi wa JKN Power Plant (Stiegler's Gorge) lazima ukamilike

Binadamu tuna maneno sana.
Lakini kati ya vitu vyote
Magufuli atakumbukwa kwa vizazi vingi vikavyo kwa kutekeleza mradi wa Umeme wa JK Nyerere Power plant kule Stieglers Gorge.

Huu mradi kiuchumi ni game changer.
Umeme rahisi utapunguza sana gharama za uzalishaji na hata kimaisha kwa matumizi ya nyumbani.

Kwa hili, kongole kwa Prez. Magufuli.
Tupe picha mradi ulipofikia
 
Binadamu tuna maneno sana.
Lakini kati ya vitu vyote
Magufuli atakumbukwa kwa vizazi vingi vikavyo kwa kutekeleza mradi wa Umeme wa JK Nyerere Power plant kule Stieglers Gorge.

Huu mradi kiuchumi ni game changer.
Umeme rahisi utapunguza sana gharama za uzalishaji na hata kimaisha kwa matumizi ya nyumbani.

Kwa hili, kongole kwa Prez. Magufuli.
Katika umri wako,kipi ulichoshuhudia katika maisha yako kikipungua,zaidi ya kila siku galama za maisha zikipanda,kama maji tu yamekuwa gharama kubwa wakati tumebarikiwa mito na maziwa chungu nzima
 
Katika umri wako,kipi ulichoshuhudia katika maisha yako kikipungua,zaidi ya kila siku galama za maisha zikipanda,kama maji tu yamekuwa gharama kubwa wakati tumebarikiwa mito na maziwa chungu nzima
Mkuu ukona maji gharama , chimba kisima chako!
Tatizo watu hatujiongezi.
 
Binadamu tuna maneno sana. Lakini kati ya vitu vyote, Magufuli atakumbukwa kwa vizazi vingi vikavyo kwa kutekeleza mradi wa Umeme wa JK Nyerere Power plant kule Stieglers Gorge.

Huu mradi kiuchumi ni game changer.

Umeme rahisi utapunguza sana gharama za uzalishaji na hata kimaisha kwa matumizi ya nyumbani.

Kwa hili, kongole kwa Prez. Magufuli.

Huwa ninacheka sana nikisikia umeme wa maji utakuwa wa bei rahisi. Kabla ya umeme wa mafuta mazito na gas tulikuwa tunatumia umeme wa maji, mbona haukuwa rahisi? Kama huo mradi wote ni wa mkopo, unajua terms za huo mkopo mpaka useme utakuwa wa bei rahisi? Au Mkuu na ww unaingizwa chaka na hii serikali ya siasa za ulaghai na kiki?
 
Unajua garama ya kuchimba visima tena ukiwa mikoa ya nyanda za juu,au kazi ya selikali maana yake nini?
Yes, kama ni gharama ni lazima uelewe kuwa wakati wa uhuru tulikuwa milioi 9 tunaoombaa maji, leo tuko milioni 60.
Sasa ukisubiri ufanyiwe a serikali utalala mlango wazi.
 
Usema kweli Rais JPM amefanya kazi nzuri, ila kawaida ya dunia lazima wawepo na wa kupinga. Ila amekuwa na uthubutu kama kiongozi na ndio inavyotakiwa.

Jana kuna uzi umeletwa humu kuwa TANESCO watapata mkopo wa AFDB kujenga mradi wa umeme katika mto malagarasi, kama kuna umeme wa 2,115mg iweje tena serikali iingie mkopo wa kuzalisha umeme mwingine? Mkuu toka nje ya box.
 
Huwa ninacheka sana nikisikia umeme wa maji utakuwa wa bei rahisi. Kabla ya umeme wa mafuta mazito na gas tulikuwa tunatumia umeme wa maji, mbona haukuwa rahisi? Kama huo mradi wote ni wa mkopo, unajua terms za huo mkopo mpaka useme utakuwa wa bei rahisi? Au Mkuu na ww unaingizwa chaka na hii serikali ya siasa za ulaghai na kiki?
Mkuu basic principle ya Hydroelectric power projects duniani kote ni heavy investment t project inception na baadaye running costs ni ndogo sana maana inabaki almost maintainance tu.

Diesel electric power ni ghali sana, si tu kwa maintainance bali fuel, whether ni diesel, HDO(heavy diesel oil) au hata gas.
harama za umeme utategemea gharama ya fuel na jinsi ulikoipata.
Gas ingeweza kuwa rahisi, lakini vile vile uchimbaji wake ,usafirishaji ni kizungumkuti.
 
Kuna mazuri ya kumkumbuka, mabaya pia tumsamehe.
 
Jana kuna uzi umeletwa humu kuwa TANESCO watapata mkopo wa AFDB kujenga mradi wa umeme katika mto malagarasi, kama kuna umeme wa 2,115mg iweje tena serikali iingie mkopo wa kuzalisha umeme mwingine? Mkuu toka nje ya box.
Nakubaliana na wewe juu ya hili na TANESCO inabidi walijibu swali hili.
2115MW kwa kiwango chochote ni umeme mkubwa kwa sasa na hata miaka pengine 20 ijayo.
Sasa hivi installed power capacity ni around 1300-1600MW ingawaje demand iko juu.

Hivyo basi in two years time installed capacity inweza fika over 3600MW inayoweza tupeleka miaka si chini ya 10 ijayo.
Hata hivyo ukiweka smelter moja tu kwa mfano ya Aluminium smelter, yenyewe peke yako inabeba over 1000MW.
Hivyo ni bora tukawa na capacity kwa huko mbele ya safari.
 
Mkuu basic principle ya Hydroelectric power projects duniani kote ni heavy investment t project inception na baadaye running costs ni ndogo sana maana inabaki almost maintainance tu.

Diesel electric power ni ghali sana, si tu kwa maintainance bali fuel, whether ni diesel, HDO(heavy diesel oil) au hata gas.
harama za umeme utategemea gharama ya fuel na jinsi ulikoipata.
Gas ingeweza kuwa rahisi, lakini vile vile uchimbaji wake ,usafirishaji ni kizungumkuti.

Mkuu ulichozungumza hapa ni jinsi inavyotakiwa iwe, ila kuna ilivyo. Ndio maana nikasema kabla ya kuanza kutumia umeme wa mafuta mazito, na gas baada ya kisingizio cha mabadiliko ya tabia nchi, tulikuwa tunatumia umeme wa maji, mbona bado hatukuwa na umeme wa bei rahisi kufananisha na nchi kadhaa za East Africa?
 
Nakubaliana na wewe juu ya hili na TANESCO inabidi walijibu swali hili.
2115MW kwa kiwango chochote ni umeme mkubwa kwa sasa na hata miaka pengine 20 ijayo.
Sasa hivi installed power capacity ni around 1300-1600MW ingawaje demand iko juu.

Hivyo basi in two years time installed capacity inweza fika over 3600MW inayoweza tupeleka miaka si chini ya 10 ijayo.
Hata hivyo ukiweka smelter moja tu kwa mfano ya Aluminium smelter, yenyewe peke yako inabeba over 1000MW.
Hivyo ni bora tukawa na capacity kwa huko mbele ya safari.

Hebu twende taratibu maana nimeshindwa kupata mantiki ya hii post yako. Kabla ya kuingia Magufuli madarakani tuliimbishwa wimbo wa umeme wa gas sijui uchumi wa gas kama wendawazimu. Tuliambiwa bomba la gas likifika Dar tutazalisha umeme wa 5,000mg awamu kwa awamu. Mradi ule mpaka bomba kufika Dar toka Mtwara ilikuwa ni $1.2b, kama 2.5t kwa mkopo. Kwanini huu mkopo tunachukua sasa wa 6.5t kujenga SG ya kuzalisha 2,115mg, tusiweke 3t kwenye vinu vya gas hapo tupate umeme mwingi zaidi ya huo 2,115mg, kwani tayari bomba liko hapa Dar na uzalishaji umeme wa gas umeanza, kisha hizo 3.5 zinaingizwa kwenye viwanda au kilimo?

Ili tusijikute tunasifia mambo kama wajinga, ni vyema ukatufafanulia kwanini 6.5t zijenge umeme wa maji, kisha tuache kuweka 3t kwenye umeme wa gas ili kupata umeme mwingi wa 5,000m, kuliko 2,115m za maji? Msaada hapo kwenye tuta maana bado tuna akili zetu timamu.
 
Jana kuna uzi umeletwa humu kuwa TANESCO watapata mkopo wa AFDB kujenga mradi wa umeme katika mto malagarasi, kama kuna umeme wa 2,115mg iweje tena serikali iingie mkopo wa kuzalisha umeme mwingine? Mkuu toka nje ya box.
Sizani kama ni shida kuwa na vyanzo mbali mbali vya umeme. Umeme mwingine nafikiri utauzwa nje ya Tanzania. Nchi kama ina nafasi zaidi si mbaya kuwa na vyanzo mbali mbali vya nishati.
 
Mkuu ulichozungumza hapa ni jinsi inavyotakiwa iwe, ila kuna ilivyo. Ndio maana nikasema kabla ya kuanza kutumia umeme wa mafuta mazito, na gas baada ya kisingizio cha mabadiliko ya tabia nchi, tulikuwa tunatumia umeme wa maji, mbona bado hatukuwa na umeme wa bei rahisi kufananisha na nchi kadhaa za East Africa?
Mkuu biashara ya TANESCO hapo katikati mazonge yake tunayafahamu fika.
Aggreko nafikiri wamezima, sina uhakika.
Salasala ile 100MW imezimwa.
Hali ni ile ile, ila sasa unaona kukatika umeme kumepungua kiasi.

Hata hivyo hii ni general observation.
 
Sizani kama ni shida kuwa na vyanzo mbali mbali vya umeme. Umeme mwingine nafikiri utauzwa nje ya Tanzania. Nchi kama ina nafasi zaidi si mbaya kuwa na vyanzo mbali mbali vya nishati.

Uko sahihi sana, je kipaombele kwa sasa ni umeme tu? Ingekuwa ni kwa fedha zetu wenyewe hapo sawa, lakini za mkopo sioni kama ni sawa. Kwani hizo 2,115mg hatuwezi kufanya biashara ya umeme, au kuna kiwango tunatakiwa tupeleke kwenye hilo soko la umeme hivyo tutakuwa na mzigo mdogo? Toka nje ya box unaingizwa mjini boss.
 
Mkuu biashara ya TANESCO hapo katikati mazonge yake tunayafahamu fika.
Aggreko nafikiri wamezima, sina uhakika.
Salasala ile 100MW imezimwa.
Hali ni ile ile, ila sasa unaona kukatika umeme kumepungua kiasi.

Hata hivyo hii ni general observation.

Kama TANESCO wana mazonge na tumeridhika, una uhakika gani hiyo SG haitakuwa na mazonge? Au ndio haya haya ya kufufua shirika la ndege lililokuwa limekufa, lakini mahesabu ya ndege hizi ni siri hayakaguliwi? Mkuu kuwa makini maana unacheza ngoma usiyoijua.
 
Back
Top Bottom