Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Nakuelewa vizuri sana mkuu. Ila kila serikali iliyopo madarakani ina stategy zake ( kwa lugha ingine ina vipaumbele vyake ), maana sie sio kama marekani au baadhi ya nchi zenye mifumo ya kusimamia policy flani. Sie kiongozi yoyote ane ingie madarakani anafanya kile anacho ona yeye kwa wakati huo kwamba ni bora. Katika yale anayo amin Rais wa sasa kafanya vyema. Shida inakuja katika yale yasio kipaumbele chake ndio watu wanapata ukakasi, ila hawezi fanya kila kitu, atakuja mwingine nae anaweza wekeza zaidi kwa watu. Na ndio maana maanambiwa mchawi katibaUko sahihi sana, je kipaombele kwa sasa ni umeme tu? Ingekuwa ni kwa fedha zetu wenyewe hapo sawa, lakini za mkopo sioni kama ni sawa. Kwani hizo 2,115mg hatuwezi kufanya biashara ya umeme, au kuna kiwango tunatakiwa tupeleke kwenye hilo soko la umeme hivyo tutakuwa na mzigo mdogo? Toka nje ya box unaingizwa mjini boss.